Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

Hypothesis iko hivi:
Lissu angechaguliwa kuwa rais > serikali yake ingeweka rehani natural resources zetu ili kupata mikopo ya shughuli za maendeleo > negotiator wa kuingia hiyo mikataba ya mikopo angekuwa mwanasheria wa rais lissu > hapo ndipo Amsterdam angepata commission zake.
Sasa kwa kuwa la urais limeenda arijojo, sina uhakika analipwa na nani. Labda anafanya kwa matumaini ya 'uchaguzi kurudiwa' na 'mtu wake' (deeper meaning) ashinde ili mambo yajipe!
Kwa sababu Ccm mnafanya vitu kwa kuangalia matumbo yenu mnafikiri kila mtu yupo hivyo
 
Unaweza kumtoza mke wako pesa endapo utakuwa wakili wake? Acheni kuhoji vitu vya ajabu, anamtetea mke wake kwahiyo msihoji
Kwa sababu Ccm mnafanya vitu kwa kuangalia matumbo yenu mnafikiri kila mtu yupo hivyo
 
Hayo magenge yaliyomshambulia Lissu ndiyo yaliyoondoa na camera za ulinzi?

Wacha kuiaibisha serikali bwashee
Hebu Imagine !!! Ina maana hayo magenge yaliamrisha polisi waliokuwa wanalinda pale siku hiyo waondoke , Kwanini mnakuwa wavivu wa kufikiri, tunajua mnatumia akili za kupewa pale Lumumba, lakini wakati mwingine muone hata aibu kidogo!!
 
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Hizi ni dharau kwa Tobo. Kwani Tobo mwenyewe hawezi kumlipa? AU umekariri malipo ni pesa tu?
Kwani Amsterdam kasema anapendelea kulipwaje/kulipwa nini?
 
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani lumumba buku saba mnalipwa na nani kutetea mashudu yenu?
 
Kuinua watanzania ni kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani? Kuwainua watanzania ni kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani?
Lawama pole sana, uchungu wa kupoteza uchaguzi haujaisha? Usiwe na wasi 2025 ipo karibu.
 
Wapinzani wa bongo hovyo kweli,yani hapo hawataki kujua nani anamlipa Amsterdam sio muhimu kwao kujua ila wao wanafuatilia ccm kamlipa au kumlipia nani kufanya nini. Tuliona hivyo kwa Dr.Slaa na hata juzi kwa Halima Mdee na wenzie.
 
Wapinzani wa bongo hovyo kweli,yani hapo hawataki kujua nani anamlipa Amsterdam sio muhimu kwao kujua ila wao wanafuatilia ccm kamlipa au kumlipia nani kufanya nini. Tuliona hivyo kwa Dr.Slaa na hata juzi kwa Halima Mdee na wenzie.
Mashabiki wa upinzani wasivyotaka kujua nani anagharamia lakini wanafurahia nashindwa kuwatofautisha na mtu anayekula msosi bora nyumbani kwake kila siku lakini hajui wala hataki kujua nani ameununua
 
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Baadhi ya wanaukoo wa panya
 
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani shida yako Ni nini hapo?. Ulitaka akitetee wewe?
 
Yohana kama ungekuwa unaidodosa serikali na CCM unavyohangaika na Chadema. Tungekuwa na majibu ya maswala tata yanayisumbua nchi .
Umeona eennhh?!!!,Anashindwa kuhoji Trilioni 1 ilienda wapi,Wasiojulikana,Wapi wamemweka Azori Gwanda,Ben saanane,nk.yeye anahangaika na Lissu na Chadema.
 
Tundu Lissu alishambulia na magenge ya chadema humo humo kwenu. Kama unabisha jaribu kutaja jina la dereva wake uone jinsi wanavyopanic.
Kwanini Sasa Policcm hawakuwakamata hao watu?.Hadi leo kwanini mpo kimya?.
 
Yaani ndani ya nchi Lissu chali. Anataka umaarufu nje ya nchi ili atawazwe kuwa rais wa nchi hii? Labda Mungu wa Mbinguni aende likizo. Less than that Lissu ataishia majanga tuuu. Ila muacheni huyu Lissu ajifariji.
Mimi nadhani wewe ndo ujifariji, kwasababu Lissu km ni Umaarufu tayari anao.
 
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani Wewe unalipwa na Nani?
 
Mimi nadhani wewe ndo ujifariji, kwasababu Lissu km ni Umaarufu tayari anao.

Huo umaarufu wa Lissu uko kwa kina nyumbu labda na huyo Amsterdam anayekula pesa ya Lissu kiulaini kabisa na siku hao wafadhili wa Lissu wakitambua umbumbu wa Lissu kuwa pesa yake inaliwa kiulaini kiasi kile hata wewe nyumbu utarudi kwenye akili yako
 
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Analipwa na na NGO ya George Soros wa marekani, ambayo moja ya agenda zake kubwa ni kueneza ushoga duniani.
Kama ulikuwa hujui now you know.
Btw, Amsterdam mwenyewe ni shoga!
 
Back
Top Bottom