Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Aisee!! atamlipa Tobo kweli??Hizi ni dharau Tobo. Kwani Tobo mwenyewe hawezi kumlipa? AU umekariri malipo ni pesa tu?
Kwani Amsterdam kasema anapendelea kulipwaje/kulipwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!! atamlipa Tobo kweli??Hizi ni dharau Tobo. Kwani Tobo mwenyewe hawezi kumlipa? AU umekariri malipo ni pesa tu?
Kwani Amsterdam kasema anapendelea kulipwaje/kulipwa nini?
Kwani nawe zombi walipwa na nani kuwatetea MATAGA?Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.
Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?
Tanzania kama taifa tuwe makini.
Maendeleo hayana vyama!
Rudi tena shule aisee, ubongo wako bado umejaa kamasi kama zote!Yaani ndani ya nchi Lissu chali. Anataka umaarufu nje ya nchi ili atawazwe kuwa rais wa nchi hii? Labda Mungu wa Mbinguni aende likizo. Less than that Lissu ataishia majanga tuuu. Ila muacheni huyu Lissu ajifariji.
Naona akili yako imekaa kimataga mataga,unachojua ni kumsifu na kumwabudu mungu mtu wenu jiwe,huna unachokijua zaidi ya kujaza tumbo tu.Huo umaarufu wa Lissu uko kwa kina nyumbu labda na huyo Amsterdam anayekula pesa ya Lissu kiulaini kabisa na siku hao wafadhili wa Lissu wakitambua umbumbu wa Lissu kuwa pesa yake inaliwa kiulaini kiasi kile hata wewe nyumbu utarudi kwenye akili yako
Naona akili yako imekaa kimataga mataga,unachojua ni kumsifu na kumwabudu mungu mtu wenu jiwe,huna unachokijua zaidi ya kujaza tumbo tu.
Kwa staili hii Sisiemu waendelee tu kushika hatamu hadi miaka buku ya JPM. #1000 tena!!!Siku zote mtu asiyejitambua akikosa hoja huporomosha matusi. Jitahidi uanze kujitambua wewe
Rudi tena shule aisee, ubongo wako bado umejaa kamasi kama zote!
Hivi huyu Mr Mzungu angalia bado anafanya kampeni au!????History is science. Nobody on earth has ever succeeded using Lissu's stupid tactics. Nobody.
Sijakutukana Mkuu,ila nimekwambia ukweli vile akili yako imekaa.Sema kwa vile hujitambui ndio maana unahisi nimekutukana lkn siku ukija kujijua kuwa akili yako ilikuwa matope utanishukuru Sana.Siku zote mtu asiyejitambua akikosa hoja huporomosha matusi. Jitahidi uanze kujitambua wewe
Kuna jamaa mmoja alikuwa bondeni, sasa akawa anamwita, anamwambia mwenzake aliyekuwa juu mlimani: Aiseee! Panda, panda huku haraka! Panda huku! Njoo, niko huku juu mlimani kabisa! Unanionaaaaaaa!????Sijakutukana Mkuu,ila nimekwambia ukweli vile akili yako imekaa.Sema kwa vile hujitambui ndio maana unahisi nimekutukana lkn siku ukija kujijua kuwa akili yako ilikuwa matope utanishukuru Sana.
Sijakutukana Mkuu,ila nimekwambia ukweli vile akili yako imekaa.Sema kwa vile hujitambui ndio maana unahisi nimekutukana lkn siku ukija kujijua kuwa akili yako ilikuwa matope utanishukuru Sana.
Sasa mimi nijifariji kwa lipi?,km ni shida zilizosababishwa na Serikali hii nimeshazizoea.Sasa kipi Cha kunitisha?.Jifariji wewe unayeabudu binadamu mwenzako maana kula yako inategemea huruma ya mtu wakati mimi namtegemea Mungu aishiye milele yote.Pole sana mno tena sana. Endelea kujifariji ila kama ni ajira shikamana nayo ili wewe na familia mpate cha kujikimu japo ni ajira inayokaribia utumwa
Kafumbo kako nimekaelewa sana tu.Kuna jamaa mmoja alikuwa bondeni, sasa akawa anamwita, anamwambia mwenzake aliyekuwa juu mlimani: Aiseee! Panda, panda huku haraka! Panda huku! Njoo, niko huku juu mlimani kabisa! Unanionaaaaaaa!????
Mnadanganywa mchana mnakubali. Hakuna cha kesi wala mtoto au mjukuu wake kesi achilia mbali baba au babu yake kesi.Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.
Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?
Tanzania kama taifa tuwe makini.
Maendeleo hayana vyama!
Haya majamaa hata uyaambie ukweli hayaelewi. Acha waendelee na unyumbu wao.Mnadanganywa mchana mnakubali. Hakuna cha kesi wala mtoto au mjukuu wake kesi achilia mbali baba au babu yake kesi.![]()
Tanzania elections: Why Chadema hasn’t filed a case at the ICC
Politician Tundu Lissu, who was a presidential candidate in the 2020 election in Tanzania, explains what the ICC route would entail.nation.africa
Wewe unalipwa na nani kukesha humu kujaza post zako za kilevi?Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.
Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?
Tanzania kama taifa tuwe makini.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa....... Mlevi ni yule aliyeanguka kwenye ngazi baada ya kutoka Chako ni Chako!Wewe unalipwa na nani kukesha humu kujaza post zako za kilevi?
Hapana nazungumzia mlevi wewe unayeweka mabandiko yako ya kilevi humu nani anakulipa kwa upuuzi huu? Usikwepe swali na kuingiza mada ambayo haiko mezani.Hahahaaaa....... Mlevi ni yule aliyeanguka kwenye ngazi baada ya kutoka Chako ni Chako!