J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Jan 11, 2021 Thread starter #141 UNKNOW DEVIL HIMSELF said: Hapana nazungumzia mlevi wewe unayeweka mabandiko yako ya kilevi humu nani anakulipa kwa upuuzi huu? Usikwepe swali na kuingiza mada ambayo haiko mezani. Click to expand... Tanzania mlevi ni mmoja tu kutoka machame. Kalewa hadi kaporwa wabunge wote mmebakia viazi mbatata watupu hapo bandani Ufipa!
UNKNOW DEVIL HIMSELF said: Hapana nazungumzia mlevi wewe unayeweka mabandiko yako ya kilevi humu nani anakulipa kwa upuuzi huu? Usikwepe swali na kuingiza mada ambayo haiko mezani. Click to expand... Tanzania mlevi ni mmoja tu kutoka machame. Kalewa hadi kaporwa wabunge wote mmebakia viazi mbatata watupu hapo bandani Ufipa!
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Jan 11, 2021 #142 johnthebaptist said: Tanzania mlevi ni mmoja tu kutoka machame. Kalewa hadi kaporwa wabunge wote mmebakia viazi mbatata watupu hapo bandani Ufipa! Click to expand... Naona unazidi kudhihirisha ulevi wako wa wanzuki,.wewe nani anakulipa kubwabwaja hapa jukwaani?
johnthebaptist said: Tanzania mlevi ni mmoja tu kutoka machame. Kalewa hadi kaporwa wabunge wote mmebakia viazi mbatata watupu hapo bandani Ufipa! Click to expand... Naona unazidi kudhihirisha ulevi wako wa wanzuki,.wewe nani anakulipa kubwabwaja hapa jukwaani?
MKANDAHARI JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 5,727 Reaction score 6,615 Jan 11, 2021 #143 Kwani ulivyoandika huu uzi umelipwa na nani?