Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer

Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer

Awali ya yote, kwa shingo upande, nakubaliana na Stardam.

Hiyo haina maana namshobokea huyu beberu.

Hatahivyo...

Tanzania ijiondoe tu kutoka hii Jumuiya ya Madola.

Wanaofaidika na Jumuiya hii ya Madola ni Familia ya Mfalme wa Uingereza.

Mwacheni aturahisishie mchakato wa kujiondoa Commonwealth, where the wealth is so uncommon.

Ngoja nirudi kwenye Interview.
Mnaenda wapi? BRICS?
 
🙏

Would love to hear to hear your opinion on the matter.

Let’s not keep entertaining the culture of fear based on certain people social status.

Watu wa hovyo ni hovyo tu.
Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspended their individual reasoning because of flattering or working in favour of group objective and hypocrite, well defined as kuahirisha kufikiri kizalendo, a.k.a kujizima data
 
Mnaenda wapi? BRICS?
🤭😂😂😂😂😂🔥

Bora huko. Where we are not going to be "Subjects" of the British Empire.

Ukiwa kwenye hii Jumuiya Lazima umpigie magoti Mfalme. Yaani mpaka tupate Katiba, ni lazima tujiondoe kwanza ama tusubiri Mfalme atoe ridhaa.
 
Ila unaweza kuvumilia mabwana zako wanaoingia mikataba ya kuuza utu wetu na rasilmali zetu.

Jinga wewe
Embu jiulize sasa tutajadili nini na mimi nikikujibu kwa lugha mbofu.

Nikosoe kwa mtazamo wako wa hoja nikujibu kwa hoja zangu kwanini nafikiria kwa nilivyoandika.

Unajua watu wengine kutukana mnatulazimisha tu kutokana na majibu yenu. Lakini sio tabia zetu kabisa.
 
Embu jiulize sasa tutajadili nini na mimi nikikujibu kwa lugha mbofu.

Nikosoe kwa mtazamo wako wa hoja nikujibu kwa hoja zangu kwanini nafikiria kwa nilivyoandika.

Unajua watu wengine kutukana mnatulazimisha tu kutokana na majibu yenu. Lakini sio tabia zetu kabisa.
Wakati mwingine mnastahili..Ndio!!
Kwa mtu msomi, unaexperience na exposure kama wewe
huwezi ukatetea mambo yanayofanywa na viongozi wetu. Ni BIG NO! Zaidi utakuwa mmoja wao unaenjoy maovu.

Kuna gape kubwa sana kati ya watawalaliwa na watawala ambao wamejiona Miungu watu, hawapendi kukosolewa, kupingwa na kushauriwa.

Tuna amani ya kitumwa( woga) na sio ya uhuru binafsi. Tunaamuliwa kila kitu tena kwa kutishiwa.

Nchi hii ukijitanabaisha wewe ni mpinzani tayali umekuwa adui kila baya ni wewe. Uliona wapi mkuu?

Tanzania wajinga ni wengi hata waliosoma ni wajinga kupitiliza.. huwezi kutetea mfumo wetu chini ya CCM kama unaakili timamu.
 
Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspended their individual reasoning because of flattering or working in favour of group objective and hypocrite, well defined as kuahirisha kufikiri kizalendo, a.k.a kujizima data
I can’t place exactly where you want to justify ‘herding’ in this discussion.

Herding in psychological sense fits in several social situations to name a few in trading, culture thinking, religion, etc (we don’t have to go there to justify my point).

Let’s adhere to the topic of this thread, which is about ‘Amsterdam’ contribution on the recent Millicom Employment Tribunal its implication to our current politics
 
I can’t place exactly where you want to justify ‘herding’ in this discussion.

Herding in psychological sense fits in several social situations to name a few in trading, culture thinking, religion, etc (we don’t have to go there to justify my point).

Let’s adhere to the topic of this thread, which is about ‘Amsterdam’ contribution on the recent Millicom Employment Tribunal its implication to our current politics
Human herding in politics
 
Mwandishi uchwara huyo Dr Nhigula kabla kuuliza alitakiwa asome vizuri hiyo kesi badala tu ya kubeba mihemko ya Lisu ya kukomalia Tigo isiyokuwemo kwenye hiyo kesi
Mmekamatwa pabaya mnakurupuka bila kujisetiri mpaka aibu.

tiGO ni wahuni pia ni sahihi washtakiwe
 
:FIRE: 🅻🅸🆅🅴 : Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer


View: https://m.youtube.com/watch?v=FI2RG25sVzk

Patrick Nhigula host of America Swahili News in depth conversation with his guest Robert Amsterdam who is an Advocacy and International Lawyer @ 29 September 2024

Covering :
  • On Tundu Lissu appointing Robert Amsterdam as his attorney
  • Court hearing in London, which depicts that the Tanzanian govt was involved in state sponsored unlawful activities
  • Unsolved 2017 assassination attempt
  • We expect the Tanzanian govt will take a proper action following the new information coming from London
  • The Samia Suluhu Hassan administration
  • The cancer of impunity in Tanzania
  • Violence against political opponents, the recent killing of Ali Mohamed Kibao a senior CHADEMA party official
  • Commonwealth should expel Tanzania membership
  • International community should get involved closely with what is happening in Tanzania political space
  • Breach of Harare agreement
  • Reconciliation, Reforms, Resilience and Rebuilding under abbreviations the 4R are a camouflage
  • One party dominance
  • Coming local elections 2024 and the General election 2025
  • Etc

On Tundu Lissu appointing Robert Amsterdam as his attorney
Court hearing in London, which depicts that the Tanzanian govt was involved in state sponsored unlawful activities
Unsolved 2017 assassination attempt
 
Wakati mwingine mnastahili..Ndio!!
Kwa mtu msomi, unaexperience na exposure kama wewe
huwezi ukatetea mambo yanayofanywa na viongozi wetu. Ni BIG NO! Zaidi utakuwa mmoja wao unaenjoy maovu.

Kuna gape kubwa sana kati ya watawalaliwa na watawala ambao wamejiona Miungu watu, hawapendi kukosolewa, kupingwa na kushauriwa.

Tuna amani ya kitumwa( woga) na sio ya uhuru binafsi. Tunaamuliwa kila kitu tena kwa kutishiwa.

Nchi hii ukijitanabaisha wewe ni mpinzani tayali umekuwa adui kila baya ni wewe. Uliona wapi mkuu?

Tanzania wajinga ni wengi hata waliosoma ni wajinga kupitiliza.. huwezi kutetea mfumo wetu chini ya CCM kama unaakili timamu.
Sasa kiongozi uoni kama ni tatizo.

Maana una akili ambayo imeshaamua wapinzani wanaonewa bila ya kutaka kupima merit ya arguments who is right or wrong,

Hapo unanutuhumu kwa makosa ambayo sistahili.

Unapomsoma mtu sio lazima ukubaliane nae, Iła mpinge kwa hoja kwanini hayuko sahihi.

Walau huo ndio mwanzo, ukiona jitu lenyewe alielekei kwa merit (na wewe kama kweli upo analytical) kwenye arguments zake. Baada ya hapo kulibeza haki yako.

Sasa kunishutumu mimi ni shaabiki maandazi bila kuonyesha mapungufu yangu ya hoja kwa mtazamo wako uoni huko ni uwanja wa watu wasio na uwezo.

Hoja za siasa hazina mjuzi, zina merit tu; na muungwana anakubali. Na wakati mwingine kukubaliana kuwa amto kubaliana kutokana na mitazamo yenu. Hakuna sababu ya kutukanana na mkitoka hapo sijui Iła kwa upande wangu nakua nimejufunzq kitu.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Atulize mshono huyo Shoga nae,
He need special oil
GYVx-kIXsAAm4fL.jpeg
 
Defeat occured before of self submission

Hapo hujui hata moja, wewe na Mafwele tofauti yenu ni majina tu
😂😂😂 Salaleh, kiongozi mama kakukera hadi kada kama wewe kuniwekq huko.
 
On Tundu Lissu appointing Robert Amsterdam as his attorney
Court hearing in London, which depicts that the Tanzanian govt was involved in state sponsored unlawful activities
Unsolved 2017 assassination attempt
EX-GOVERNMENT OF THAT TIME, UNDER LATE JPM.
Wajifunze, serekali ikiwa chini ya, kikwete maana yake ni nini?, na anapoingia mwingine maana yake ni nini?,
NO case here!, bullshit,
--Serekali ikilegea wahuni watakomba fedha kweli hawa!
 
Una roho ya uuwaji.

Hiki kimama kilisema kinaifungua nchi, lakini badala yake kimejifunua.
Natakiwa nijibu nini hapo In justification “mimi ni muuaji’ au ‘hoja yako ya mama’.

Mimi sifichi na wala sioni aibu kusema kwa kanuni za kuendesha nchi, sio kwa kupenda Iła kwa uchokozi wa Lissu kipinde kiłę ningeamuru achwapwe risasi. That’s just how nations are managed.

Sasa uwezi kuelezea kila kitu kwa watu wasio elewa.

Kwa mimi binafsi na wala sijali maamuzi ya Magufuli au alimtuma nani, nisingemuacha Lissu; uwezi kuleta mdomo kwa maswala ya kitaifa.

Na Lissu anisome ningekuwa raisi hata mimi ile ndio ingekuwa amri yangu.

Similarly ningekuwa head wa usalama pamoja na kumkubali Magufuli, kwa kuzuia chanjo za COVID ningesema (inauma ila atoke) kwa kipindi kiłe (jitu alitaki chanjo kwa imani zake) what more can you do.

Kuna nafasi maamuzi yake inabidi ufanye kwa faida ya wengi.
 
Mwisho wa ubaya AIBU
Majivuno yalianzia mbinguni, mwendelezo wake ni hapa duniani na mwisho wake ni JEHENAM
 
Sasa kiongozi uoni kama ni tatizo.

Maana una akili ambayo imeshaamua wapinzani wanaonewa bila ya kutaka kupima merit ya arguments who is right or wrong,

Hapo unanutuhumu kwa makosa ambayo sistahili.

Unapomsoma mtu sio lazima ukubaliane nae, Iła mpinge kwa hoja kwanini hayuko sahihi.

Walau huo ndio mwanzo, ukiona jitu lenyewe alielekei kwa merit (na wewe kama kweli upo analytical) kwenye arguments zake. Baada ya hapo kulibeza haki yako.

Sasa kunishutumu mimi ni shaabiki maandazi bila kuonyesha mapungufu yangu ya hoja kwa mtazamo wako uoni huko ni uwanja wa watu wasio na uwezo.

Hoja za siasa hazina mjuzi, zina merit tu; na muungwana anakubali. Na wakati mwingine kukubaliana kuwa amto kubaliana kutokana na mitazamo yenu. Hakuna sababu ya kutukanana na mkitoka hapo sijui Iła kwa upande wangu nakua nimejufunzq kitu.
sawa
 
Natakiwa nijibu nini hapo In justification “mimi ni muuaji’ au ‘hoja yako ya mama’.

Mimi sifichi na wala sioni aibu kusema kwa kanuni za kuendesha nchi, sio kwa kupenda Iła kwa uchokozi wa Lissu kipinde kiłę ningeamuru achwapwe risasi. That’s just how nations are managed.
Unaishi kwa bahati mbaya sana hapa duniani!
mwisho wa watu kama wewe kuishi ulikuwa karne ya 12! kwa sasa unavuta hii hewa bure tu!
 
Back
Top Bottom