Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer

Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer

Wakati mwingine mnastahili..Ndio!!
Kwa mtu msomi, unaexperience na exposure kama wewe
huwezi ukatetea mambo yanayofanywa na viongozi wetu. Ni BIG NO! Zaidi utakuwa mmoja wao unaenjoy maovu.

Kuna gape kubwa sana kati ya watawalaliwa na watawala ambao wamejiona Miungu watu, hawapendi kukosolewa, kupingwa na kushauriwa.

Tuna amani ya kitumwa( woga) na sio ya uhuru binafsi. Tunaamuliwa kila kitu tena kwa kutishiwa.

Nchi hii ukijitanabaisha wewe ni mpinzani tayali umekuwa adui kila baya ni wewe. Uliona wapi mkuu?

Tanzania wajinga ni wengi hata waliosoma ni wajinga kupitiliza.. huwezi kutetea mfumo wetu chini ya CCM kama unaakili timamu.
Salute mingi sana Mkuu
 
:FIRE: 🅻🅸🆅🅴 : Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer


View: https://m.youtube.com/watch?v=FI2RG25sVzk

Patrick Nhigula host of America Swahili News in depth conversation with his guest Robert Amsterdam who is an Advocacy and International Lawyer @ 29 September 2024

Covering :
  • On Tundu Lissu appointing Robert Amsterdam as his attorney
  • Court hearing in London, which depicts that the Tanzanian govt was involved in state sponsored unlawful activities
  • Unsolved 2017 assassination attempt
  • We expect the Tanzanian govt will take a proper action following the new information coming from London
  • The Samia Suluhu Hassan administration
  • The cancer of impunity in Tanzania
  • Violence against political opponents, the recent killing of Ali Mohamed Kibao a senior CHADEMA party official
  • Commonwealth should expel Tanzania membership
  • International community should get involved closely with what is happening in Tanzania political space
  • Breach of Harare agreement
  • Reconciliation, Reforms, Resilience and Rebuilding under abbreviations the 4R are a camouflage
  • One party dominance
  • Coming local elections 2024 and the General election 2025
  • Etc

Mungu Wabariki Wazungu
 
Unaishi kwa bahati mbaya sana hapa duniani!
mwisho wa watu kama wewe kuishi ulikuwa karne ya 12! kwa sasa unavuta hii hewa bure tu!
Zaidi ya kunikejeli na kuniombea mabaya umesikiliza hiyo interview.

Ungekuwa na hoja ya kujibiwa kutokana na nilichoandika maana nimeokota points zangu kwenye hiyo interview exchange.

Sasa kunilaani tu, nje ya nilichoandika na kuonyesha makosa yangu yalipo huo ni uonevu.

Kwa utaratibu huo hata nikifika huko nakotakiwa kujibu laana zako nitamwambia wahusika laana za huyu jamaa ni uzushi mtupu, hata hakutaka kukosoa hoja zangu zaidi ya kunilaani ndio maana leo nipo mbele yenu.

Good morning 👋
 
Wewe (based on your summary) na huyo Dr. Nhigula, based on your bias summary. Level zenu za utahiira zinafanana.

Hata huyo chawa wa Lissu (Amsterdam) kuna leading questions alizokuwa anauliza alikuwa anaona hawezi ku-commit on their next move.

Mimi ushauri wangu kwa Lissu. Ningekuwa Magufuli ningefanya alichofanya kwa tabia zake kipindi kiłę.

Huyo Dr Nhigula, amekazana na TIGO kila saa, Amsterdam kila saa anamkumbusha kesi ni ya Millicom.

Amsterdam anaendelea kumkumbusha mpaka sasa hawana jurisdiction ya kufungua zaidi ya kujaribu kutumia ‘Harare Declaration’ ambayo uwezi shitaki mtu bali nchi na kuishia kuondolewa common wealth.

Binafsi nimeshaonywa na watu humu kuacha personal conclusion zisizo na ushahidi, I take that abroad. Ila Lissu inabidi ajitafakari zama hizi za kufumbiana macho, maana dhambi alizofanya leo anapumua ni kwa baraka za mungu tu (ingekuwa, mimi ni gęga ya kiłę kiłę alichofanya Magufuli).

Nchi haiwezi vumilia watu wa aina yake.

Shida ya andiko lako, umekuwa emotional na kuhukumu ukiwa umejiwekea upande.

1: Robert A. anazungumza vyema kuwa kutokana na taarifa mpya, wataipatia serikali ya Tanzania nafasi ya kufanyia kazi tatizo husika kabla hawajaendelea mbele. Hii ni kutokana na serikali kuwa haijafanya chochote kwa jambo husika.

Wewe unasema ilikuwa ni sawa kufanya kile kilichofanyika.
A: Hapa unamjibia nani kulingana na tatizo?
B: Kwa katiba ipi unasema ni sawa kufanyika?
C: Sheria ipi inakupa hiyo haki wewe? Maana hata serikali haijasema chochote.
D: Hata kama mambo haya hufanyika, je hutawajibika unapogundulika?
E: Unazo huzo sababu ambazo zinakupelekea kutenda jambo husika dhidi ya katiba? Unaweza kujitetea nazo?

2: Kuna matatizo ya kiuongozi kwa nchi zote duniani ila za kiafrika hali ni ngumu zaidi jinsi zinavyohusiana na wapinzani wa serikali.
A: Je hili lipo au halipo?
B: Je tiba ni kuumiza/kuua?

3: Maendeleo:
A: Je spidi ya maendeleo vs matumizi ya serikali zetu na matumizi ya maliasili vinaridhisha?
B: Vinaendana na hali halisi?
C: Huna cha kuhoji?

4: Kuhusu nani ashitakiwe:
Millicom vs Tigo vs Serikali
Millicom wanasema ni suala la debate ngumu, kulingana na taarifa yao.
A: Sisi ni nani ambao tunasema 123? B:Serikali iko kimya, Robert naye anasema bado hawezi kusema hakika.
C:Sisi tunafikiaje hapa kwako kumnyooshe kidole Robert A au Lisu?
D: Je suala hili halikutokea?
 
Wewe (based on your summary) na huyo Dr. Nhigula, based on your bias summary. Level zenu za utahiira zinafanana.

Hata huyo chawa wa Lissu (Amsterdam) kuna leading questions alizokuwa anauliza alikuwa anaona hawezi ku-commit on their next move.

Mimi ushauri wangu kwa Lissu. Ningekuwa Magufuli ningefanya alichofanya kwa tabia zake kipindi kiłę.

Huyo Dr Nhigula, amekazana na TIGO kila saa, Amsterdam kila saa anamkumbusha kesi ni ya Millicom.

Amsterdam anaendelea kumkumbusha mpaka sasa hawana jurisdiction ya kufungua zaidi ya kujaribu kutumia ‘Harare Declaration’ ambayo uwezi shitaki mtu bali nchi na kuishia kuondolewa common wealth.

Binafsi nimeshaonywa na watu humu kuacha personal conclusion zisizo na ushahidi, I take that abroad. Ila Lissu inabidi ajitafakari zama hizi za kufumbiana macho, maana dhambi alizofanya leo anapumua ni kwa baraka za mungu tu (ingekuwa, mimi ni gęga ya kiłę kiłę alichofanya Magufuli).

Nchi haiwezi vumilia watu wa aina yake.
Haya tueleze hayo makinikia mmepata hela kiasi gani?hivi kuna wanaosaliti hili taifa zaidi ya waliopewa mamlaka yakulinda nakutetea rasilimali zetu?
 
Kwenu kwenyewe kuna mashoga kibao na unaishi nao

Ova
Kama urangini kwenu wanawake wanavyotoa tundu huzuni, mama yako nimemla kiboga jana Kondoa, nilimkosa kosa baba yako maana alikuwa analiwa na jamaa yangu
 
Kama urangini kwenu wanawake wanavyotoa tundu huzuni, mama yako nimemla kiboga jana Kondoa, nilimkosa kosa baba yako maana alikuwa analiwa na jamaa yangu
😄 ushapanik umeingia kwenye mfumo 😄

Ova
 
Shida ya andiko lako, umekuwa emotional na kuhukumu ukiwa umejiwekea upande.

1: Robert A. anazungumza vyema kuwa kutokana na taarifa mpya, wataipatia serikali ya Tanzania nafasi ya kufanyia kazi tatizo husika kabla hawajaendelea mbele. Hii ni kutokana na serikali kuwa haijafanya chochote kwa jambo husika.

Wewe unasema ilikuwa ni sawa kufanya kile kilichofanyika.
A: Hapa unamjibia nani kulingana na tatizo?
B: Kwa katiba ipi unasema ni sawa kufanyika?
C: Sheria ipi inakupa hiyo haki wewe? Maana hata serikali haijasema chochote.
D: Hata kama mambo haya hufanyika, je hutawajibika unapogundulika?
E: Unazo huzo sababu ambazo zinakupelekea kutenda jambo husika dhidi ya katiba? Unaweza kujitetea nazo?

2: Kuna matatizo ya kiuongozi kwa nchi zote duniani ila za kiafrika hali ni ngumu zaidi jinsi zinavyohusiana na wapinzani wa serikali.
A: Je hili lipo au halipo?
B: Je tiba ni kuumiza/kuua?

3: Maendeleo:
A: Je spidi ya maendeleo vs matumizi ya serikali zetu na matumizi ya maliasili vinaridhisha?
B: Vinaendana na hali halisi?
C: Huna cha kuhoji?

4: Kuhusu nani ashitakiwe:
Millicom vs Tigo vs Serikali
Millicom wanasema ni suala la debate ngumu, kulingana na taarifa yao.
A: Sisi ni nani ambao tunasema 123? B:Serikali iko kimya, Robert naye anasema bado hawezi kusema hakika.
C:Sisi tunafikiaje hapa kwako kumnyooshe kidole Robert A au Lisu?
D: Je suala hili halikutokea?
Ndugu baada ya kupata extract za kesi husika Amsterdam ni interpreter tu kama wewe wa kilichopo.

Ndio maana aliekuwa anamuuliza maswali alikuwa anatumia porojo za press conference ya Lissu.

Lakini Amsterdam akawa mkweli kisheria hawana jurisdiction ya kesi wala international law argument mpaka sasa zaidi ya kutumia Common wealth ‘Harare treaty’ ukiisoma treaty yenyewe even on scanning utaona anaongea wazimu tu yaani nchi isolated kwa sababu ya Lissu.

Hayo mengine kasome kesi nakala zipo JF achana na porojo za vitu ambavyo havipo kwa kusikiliza hadithi za Lissu.

Ata huyo Amsterdam kwenye interview yake ajataja TiGo pamoja na kutajiwa mara kadhaa yeye akawa anasema millicom.

Mnatabia ya kujiaminisha vitu ambavyo havipo sio kwa bahati mbaya, Iła kwa kuaminishwa na watu mano waamini.

80% ya maudhui ya Lissu ni ujinga mtupu, ata ukisilikizq hiyo interview ya Amsterdam he can’t back up Lissu claims; ambazo unataka ujibiwe. But then ni mambo ambayo nishayaeleza kwenye mada nyingine (.mambo ye kufirika tu kwenye kichwa cha Lissu).
 
80% ya maudhui ya Lissu ni ujinga mtupu, ata ukisilikizq hiyo interview ya Amsterdam he can’t back up Lissu claims; ambazo unataka ujibiwe. But then ni mambo ambayo nishayaeleza kwenye mada nyingine (.mambo ye kufirika tu kwenye kichwa cha Lissu).
Una uhakika na usemacho baba?
Weka akiba ya maneno ndugu kwani kuna kesho
 
Una uhakika na usemacho baba?
Weka akiba ya maneno ndugu kwani kuna kesho
Sikiliza interview uone hata huyo mwanasheria wake ambavyo hawezi ku-commit kwenye maswali anayoulizwa kutokana press conference ya Lissu.

Mambo mengine yanahitaji foundation level tu ya sheria, kuelewa hayawezekani. Shida yenu kuamini kila anachosema Lissu. Na ndiyo kilichompoza baada ya kuombwa aache yeye hakutaka kuelewa somo.
 
Wewe hata humugopi Mungu, unadhani utaishi milele na hi roho kutu unaweza kutangulia kabla yake kama alivyotangilia unayemshabikia. Yaani tukitofautiana hoja dawa ni kuuwana ndio unaona sawa bora umejificha aibu kwako.
Wewe (based on your summary) na huyo Dr. Nhigula, based on your bias summary. Level zenu za utahiira zinafanana.

Hata huyo chawa wa Lissu (Amsterdam) kuna leading questions alizokuwa anauliza alikuwa anaona hawezi ku-commit on their next move.

Mimi ushauri wangu kwa Lissu. Ningekuwa Magufuli ningefanya alichofanya kwa tabia zake kipindi kiłę.

Huyo Dr Nhigula, amekazana na TIGO kila saa, Amsterdam kila saa anamkumbusha kesi ni ya Millicom.

Amsterdam anaendelea kumkumbusha mpaka sasa hawana jurisdiction ya kufungua zaidi ya kujaribu kutumia ‘Harare Declaration’ ambayo uwezi shitaki mtu bali nchi na kuishia kuondolewa common wealth.

Binafsi nimeshaonywa na watu humu kuacha personal conclusion zisizo na ushahidi, I take that abroad. Ila Lissu inabidi ajitafakari zama hizi za kufumbiana macho, maana dhambi alizofanya leo anapumua ni kwa baraka za mungu tu (ingekuwa, mimi ni gęga ya kiłę kiłę alichofanya Magufuli).

Nchi haiwezi vumilia watu wa aina yake.
 
Wewe hata humugopi Mungu, unadhani utaishi milele na hi roho kutu unaweza kutangulia kabla yake kama alivyotangilia unayemshabikia. Yaani tukitofautiana hoja dawa ni kuuwana ndio unaona sawa bora umejificha aibu kwako.
Kuna mipaka hata huyo unaesema nina mshabikia (japo nilikuwa na kubali sana) mara kadhaa nimesema. Imani yake haikuwa sababu ya kuzuia chanjo kwa wengine, kama safari yake ni kumtoa ili watanzania wapate chanjo. Ata mimi ningekuwa na mamlaka ningehalisha.

You can’t be emotional katika kuongoza nchi, hawa wenzetu hawqjaendelea kwa kubenbekezana
 
Ndugu baada ya kupata extract za kesi husika Amsterdam ni interpreter tu kama wewe wa kilichopo.

Ndio maana aliekuwa anamuuliza maswali alikuwa anatumia porojo za press conference ya Lissu.

Lakini Amsterdam akawa mkweli kisheria hawana jurisdiction ya kesi wala international law argument mpaka sasa zaidi ya kutumia Common wealth ‘Harare treaty’ ukiisoma treaty yenyewe even on scanning utaona anaongea wazimu tu yaani nchi isolated kwa sababu ya Lissu.

Hayo mengine kasome kesi nakala zipo JF achana na porojo za vitu ambavyo havipo kwa kusikiliza hadithi za Lissu.

Ata huyo Amsterdam kwenye interview yake ajataja TiGo pamoja na kutajiwa mara kadhaa yeye akawa anasema millicom.

Mnatabia ya kujiaminisha vitu ambavyo havipo sio kwa bahati mbaya, Iła kwa kuaminishwa na watu mano waamini.

80% ya maudhui ya Lissu ni ujinga mtupu, ata ukisilikizq hiyo interview ya Amsterdam he can’t back up Lissu claims; ambazo unataka ujibiwe. But then ni mambo ambayo nishayaeleza kwenye mada nyingine (.mambo ye kufirika tu kwenye kichwa cha Lissu).

Unaendelea ku-attack watu si issue, wao wanawajibu wa kwenda mbele ya sheria na kujenga hoja zao. Sisi tujadili muktadha wa yaliyotokea kwa kurejea maswali niliyokuuliza kwa kutokana na hoja yako ya mwanzo.
Basi sema:
1: Jaribio la mauaji lilikuwepo au halikuwepo?
2: Nani ashitakiwe?
3: Nani ana haki ya kuua waziwazi?
4: Aliyejaribiwa kuuwawa ana haki ya kutafuta haki yake?
5: Je tumchagulie mtu wa kumwakilisha mahakamani?
6: Tumchagulie wapi pa kufungua kesi?
 
:FIRE: 🅻🅸🆅🅴 : Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer


View: https://m.youtube.com/watch?v=FI2RG25sVzk

Patrick Nhigula host of America Swahili News in depth conversation with his guest Robert Amsterdam who is an Advocacy and International Lawyer @ 29 September 2024

Covering :
  • On Tundu Lissu appointing Robert Amsterdam as his attorney
  • Court hearing in London, which depicts that the Tanzanian govt was involved in state sponsored unlawful activities
  • Unsolved 2017 assassination attempt
  • We expect the Tanzanian govt will take a proper action following the new information coming from London
  • The Samia Suluhu Hassan administration
  • The cancer of impunity in Tanzania
  • Violence against political opponents, the recent killing of Ali Mohamed Kibao a senior CHADEMA party official
  • Commonwealth should expel Tanzania membership
  • International community should get involved closely with what is happening in Tanzania political space
  • Breach of Harare agreement
  • Reconciliation, Reforms, Resilience and Rebuilding under abbreviations the 4R are a camouflage
  • One party dominance
  • Coming local elections 2024 and the General election 2025
  • Etc

mnatwanga maji kwenu kinu
 
:FIRE: 🅻🅸🆅🅴 : Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer


View: https://m.youtube.com/watch?v=FI2RG25sVzk

Patrick Nhigula host of America Swahili News in depth conversation with his guest Robert Amsterdam who is an Advocacy and International Lawyer @ 29 September 2024

Covering :
  • On Tundu Lissu appointing Robert Amsterdam as his attorney
  • Court hearing in London, which depicts that the Tanzanian govt was involved in state sponsored unlawful activities
  • Unsolved 2017 assassination attempt
  • We expect the Tanzanian govt will take a proper action following the new information coming from London
  • The Samia Suluhu Hassan administration
  • The cancer of impunity in Tanzania
  • Violence against political opponents, the recent killing of Ali Mohamed Kibao a senior CHADEMA party official
  • Commonwealth should expel Tanzania membership
  • International community should get involved closely with what is happening in Tanzania political space
  • Breach of Harare agreement
  • Reconciliation, Reforms, Resilience and Rebuilding under abbreviations the 4R are a camouflage
  • One party dominance
  • Coming local elections 2024 and the General election 2025
  • Etc

Tanzania is a failed f*ucken state
 
Duh...!.
P
Mkuu Paskal hivi unaelewa maana ya kusema TO END ONE PARTY DOMINANCE? Kwangu this is undemocratic because this is through the election- it can not be granted rather it is achieved. I see he is talking about redistribution jambo amabalo hata UN kwenyewe haliwezekani acha kufikirika. Wale members wenye VETO wagawane ni Burudi? Huyo mzungu ni mgonjwa
 
Unaendelea ku-attack watu si issue, wao wanawajibu wa kwenda mbele ya sheria na kujenga hoja zao. Sisi tujadili muktadha wa yaliyotokea kwa kurejea maswali niliyokuuliza kwa kutokana na hoja yako ya mwanzo.
Basi sema:
1: Jaribio la mauaji lilikuwepo au halikuwepo?
2: Nani ashitakiwe?
3: Nani ana haki ya kuua waziwazi?
4: Aliyejaribiwa kuuwawa ana haki ya kutafuta haki yake?
5: Je tumchagulie mtu wa kumwakilisha mahakamani?
6: Tumchagulie wapi pa kufungua kesi?
Wewe kwa akili yako unaweza kuiondoa serikali ya Tanzania kwa kwenda UN? COMMONWEALTH? AU?
 
Back
Top Bottom