Wewe (based on your summary) na huyo Dr. Nhigula, based on your bias summary. Level zenu za utahiira zinafanana.
Hata huyo chawa wa Lissu (Amsterdam) kuna leading questions alizokuwa anauliza alikuwa anaona hawezi ku-commit on their next move.
Mimi ushauri wangu kwa Lissu. Ningekuwa Magufuli ningefanya alichofanya kwa tabia zake kipindi kiłę.
Huyo Dr Nhigula, amekazana na TIGO kila saa, Amsterdam kila saa anamkumbusha kesi ni ya Millicom.
Amsterdam anaendelea kumkumbusha mpaka sasa hawana jurisdiction ya kufungua zaidi ya kujaribu kutumia ‘Harare Declaration’ ambayo uwezi shitaki mtu bali nchi na kuishia kuondolewa common wealth.
Binafsi nimeshaonywa na watu humu kuacha personal conclusion zisizo na ushahidi, I take that abroad. Ila Lissu inabidi ajitafakari zama hizi za kufumbiana macho, maana dhambi alizofanya leo anapumua ni kwa baraka za mungu tu (ingekuwa, mimi ni gęga ya kiłę kiłę alichofanya Magufuli).
Nchi haiwezi vumilia watu wa aina yake.
Shida ya andiko lako, umekuwa emotional na kuhukumu ukiwa umejiwekea upande.
1: Robert A. anazungumza vyema kuwa kutokana na taarifa mpya, wataipatia serikali ya Tanzania nafasi ya kufanyia kazi tatizo husika kabla hawajaendelea mbele. Hii ni kutokana na serikali kuwa haijafanya chochote kwa jambo husika.
Wewe unasema ilikuwa ni sawa kufanya kile kilichofanyika.
A: Hapa unamjibia nani kulingana na tatizo?
B: Kwa katiba ipi unasema ni sawa kufanyika?
C: Sheria ipi inakupa hiyo haki wewe? Maana hata serikali haijasema chochote.
D: Hata kama mambo haya hufanyika, je hutawajibika unapogundulika?
E: Unazo huzo sababu ambazo zinakupelekea kutenda jambo husika dhidi ya katiba? Unaweza kujitetea nazo?
2: Kuna matatizo ya kiuongozi kwa nchi zote duniani ila za kiafrika hali ni ngumu zaidi jinsi zinavyohusiana na wapinzani wa serikali.
A: Je hili lipo au halipo?
B: Je tiba ni kuumiza/kuua?
3: Maendeleo:
A: Je spidi ya maendeleo vs matumizi ya serikali zetu na matumizi ya maliasili vinaridhisha?
B: Vinaendana na hali halisi?
C: Huna cha kuhoji?
4: Kuhusu nani ashitakiwe:
Millicom vs Tigo vs Serikali
Millicom wanasema ni suala la debate ngumu, kulingana na taarifa yao.
A: Sisi ni nani ambao tunasema 123? B:Serikali iko kimya, Robert naye anasema bado hawezi kusema hakika.
C:Sisi tunafikiaje hapa kwako kumnyooshe kidole Robert A au Lisu?
D: Je suala hili halikutokea?