Tetesi: Robertinho ajiondoa simba, arudi kwao Brazil kisa na mkasa ni viongozi kutompa: thank you Chama

Algore

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
2,363
Reaction score
3,795
Kocha aliwaambia viongozi wa simba hataki kumuona CCC msimu ujao, viongozi nao wakamwambia Chama haendi popote, kama vipi bora wampe thank you yeye Kocha. Kocha kaona isiwe tabu, jana kaamua kurudi kwao Brazil.

Gadiola mnene muda si muda anachukua tena timu
 
Mmmh 🤔 sijui niwe upande wa kocha?...eeeh,kuna makocha waliwahi kuachiwa suala la usajili wakatuangusha. Sijui niwe upande wa Uongozi wa club?...eeeh, nao huwa wanafanya makosa kadhaa kwenye usajili.
Wewe ungekuwa ndiye kocha wa robo robo fc, ungechukua uamuzi gani,boss. Yaani mchezaji awe juu yako
 
Kama ulikuwa hujui kwanini ameenda Brazil kwa wiki moja ungeuliza. Kuna kocha ambaye hapendi kushiriki mashindano ya African Football League aka SUPA LIGI? Kwa taarifa yako chama yupo na Roba yupo, ila ameenda kwao kwa wiki moja kumalizia kozi yake ya juu ya ukocha.

Ndio mana alikuwa ana demand msaidizi wake wa vipers aje ili aiache timu katika mikono salama kwa huu muda wa wiki moja. Tabu ipo pale pale na hivi mayele hayupo halafu mikisoni ametua msimbazi kazi mnayo
 
Bandari Haijauzwa Imekodishwa Tu
 
Kumbe bado mwanafunzi ? tayari tuna kisingizio tusipobeba kombe.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Tulichoambiwa ni kwamba kocha kaacha timu Uturuki kaenda refresher course Brazil. Hii ya kwako hatuiamini japokuwa kitendo cha Mwalimu kuacha timu ikiwa kwenye mafunzo ya kujenga timu kinafikirisha kidogo.
 
Ohh nijulishe kumbe Miqsone tumeshamrudisha?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…