Wewe ungekuwa ndiye kocha wa robo robo fc, ungechukua uamuzi gani,boss. Yaani mchezaji awe juu yakoMmmh 🤔 sijui niwe upande wa kocha?...eeeh,kuna makocha waliwahi kuachiwa suala la usajili wakatuangusha. Sijui niwe upande wa Uongozi wa club?...eeeh, nao huwa wanafanya makosa kadhaa kwenye usajili.
Ningesema aondoshwe mara moja, la sivyo mimi niondoke.Wewe ungekuwa ndiye kocha wa robo robo fc, ungechukua uamuzi gani,boss. Yaani mchezaji awe juu yako
Bandari Haijauzwa Imekodishwa TuChiba aliwaambia viongozi wa simba hataki kumuona CCC msimu ujao, viongozi nao wakamwambia Chiba haendi popote, kama vipi bora wampe thank you, chiba. Chiba kaona isiwe tabu, jana kaamua kurudi kwao Brazil.
Gadiola mnene muda si muda anachukua tena timu
Kutunga uongo inakusaidia Nini.Chiba aliwaambia viongozi wa simba hataki kumuona CCC msimu ujao, viongozi nao wakamwambia Chiba haendi popote, kama vipi bora wampe thank you, chiba. Chiba kaona isiwe tabu, jana kaamua kurudi kwao Brazil.
Gadiola mnene muda si muda anachukua tena timu
Kumbe bado mwanafunzi ? tayari tuna kisingizio tusipobeba kombe.Kama ulikuwa hujui kwanini ameenda Brazil kwa wiki moja ungeuliza. Kuna kocha ambaye hapendi kushiriki mashindano ya African Football League aka SUPA LIGI? Kwa taarifa yako chama yupo na Roba yupo, ila ameenda kwao kwa wiki moja kumalizia kozi yake ya juu ya ukocha.
Ndio mana alikuwa ana demand msaidizi wake wa vipers aje ili aiache timu katika mikono salama kwa huu muda wa wiki moja. Tabu ipo pale pale na hivi mayele hayupo halafu mikisoni ametua msimbazi kazi mnayo
Huko kwenu wenye akili wataisha kabisa mara baada ya kikwete na manara baba kufa. Yaani unashnagaa mtu kuongeza elimu?Kumbe bado mwanafunzi ? tayari tuna kisingizio tusipobeba kombe.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwani yule profesa aliefikia ukomo wa elimu yuko wapi?Kumbe bado mwanafunzi ? tayari tuna kisingizio tusipobeba kombe.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wewe ndio kiazi kabisa, wakati mtu yupo mafunzoni si anakuwa mwanafunzi ?Huko kwenu wenye akili wataisha kabisa mara baada ya kikwete na manara baba kufa. Yaani unashnagaa mtu kuongeza elimu?
Tulichoambiwa ni kwamba kocha kaacha timu Uturuki kaenda refresher course Brazil. Hii ya kwako hatuiamini japokuwa kitendo cha Mwalimu kuacha timu ikiwa kwenye mafunzo ya kujenga timu kinafikirisha kidogo.Chiba aliwaambia viongozi wa simba hataki kumuona CCC msimu ujao, viongozi nao wakamwambia Chiba haendi popote, kama vipi bora wampe thank you, chiba. Chiba kaona isiwe tabu, jana kaamua kurudi kwao Brazil.
Gadiola mnene muda si muda anachukua tena timu
Ohh nijulishe kumbe Miqsone tumeshamrudisha?Kama ulikuwa hujui kwanini ameenda Brazil kwa wiki moja ungeuliza. Kuna kocha ambaye hapendi kushiriki mashindano ya African Football League aka SUPA LIGI? Kwa taarifa yako chama yupo na Roba yupo, ila ameenda kwao kwa wiki moja kumalizia kozi yake ya juu ya ukocha.
Ndio mana alikuwa ana demand msaidizi wake wa vipers aje ili aiache timu katika mikono salama kwa huu muda wa wiki moja. Tabu ipo pale pale na hivi mayele hayupo halafu mikisoni ametua msimbazi kazi mnayo
Mikisone arudi wapi? Mafi yenu. Mo ana ubavu wa kumlipa 95m/mwezi?
Genta? Huyu jamaa toka mama apindue meza suala la DPW, kapata homa za vipindi. Sasa hivi anapumulia mashine ya Oxygenngoja mwenye Simba yake AJe
Genta