OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Baada ya kushindwa propaganda za Chama, sasa mmehamisha magoli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gadiola alistahili kupewa hiyo timu zamaaniChiba aliwaambia viongozi wa simba hataki kumuona CCC msimu ujao, viongozi nao wakamwambia Chiba haendi popote, kama vipi bora wampe thank you, chiba. Chiba kaona isiwe tabu, jana kaamua kurudi kwao Brazil.
Gadiola mnene muda si muda anachukua tena timu
Robo robo FC[emoji1787]Wewe ungekuwa ndiye kocha wa robo robo fc, ungechukua uamuzi gani,boss. Yaani mchezaji awe juu yako
Bora, Nabi soon atatia maguu msimbaziChiba aliwaambia viongozi wa simba hataki kumuona CCC msimu ujao,
Na wewe unaangaika na vitu vidogo hivi?
kocha anaweza kuacha [program zikafanyiwa laxi na wasaidizi wake na uzuri wasaidizi ni yeye aliyewapendekezaKama ulikuwa hujui kwanini ameenda Brazil kwa wiki moja ungeuliza. Kuna kocha ambaye hapendi kushiriki mashindano ya African Football League aka SUPA LIGI? Kwa taarifa yako chama yupo na Roba yupo, ila ameenda kwao kwa wiki moja kumalizia kozi yake ya juu ya ukocha.
Ndio mana alikuwa ana demand msaidizi wake wa vipers aje ili aiache timu katika mikono salama kwa huu muda wa wiki moja. Tabu ipo pale pale na hivi mayele hayupo halafu mikisoni ametua msimbazi kazi mnayo
Ingekuwa hivyo team si zingekuwa zinanunuwa program tu? Kocha wa nini sasa?kocha anaweza kuacha [program zikafanyiwa laxi na wasaidizi wake na uzuri wasaidizi ni yeye aliyewapendekeza
robo robo ya 7 vilabu bora afrika je utopolo ya ngapi?Wewe ungekuwa ndiye kocha wa robo robo fc, ungechukua uamuzi gani,boss. Yaani mchezaji awe juu yako
kocha ameondo maana ameacha program kwa wasaidizi wakeka kwa kipindi kifupi ndioIngekuwa hivyo team si zingekuwa zinanunuwa program tu? Kocha wa nini sasa?
Nimeweka namba ya simu ya robertinho, mpigie akueleze mwenyeweUzushi Uzushi.
Siyo kweli...
Mleta mada apuuzwe narudia, mleta mada apuuzwe.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Muda si mrefu mtaujua ukweli.baada ya kushindwa propaganda za Chama, sasa mmehamisha magoli
Waliosema elimu haina mwisho hukuwaelewa!? Au wewe shuleni ulienda kula vibama tuKumbe bado mwanafunzi ? tayari tuna kisingizio tusipobeba kombe.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hiyo course imejitokeza tu from nowhere?Anaenda kusoma week Moja KWAO Brazil.
Kama Uongozi wa Simba SC haujasema kuwa Kocha kaondoka mazima Simba SC unataka Mimi niseme nini tena?Embu ngoja tumsubirie GENTAMYCINE aje kusema kitu
tia neno mkuuKama Uongozi wa Simba SC haujasema kuwa Kocha kaondoka mazima Simba SC unataka Mimi niseme nini tena?
Tafadhali acha Kunifananisha na Wazushi, Washamba na Majuha unaoonekana Kuwaamini kuhusiana na Mada ( Thread ) iliyoko.
Nimeshamaliza.tia neno mkuu