Tetesi: Robertinho ajiondoa simba, arudi kwao Brazil kisa na mkasa ni viongozi kutompa: thank you Chama

Tetesi: Robertinho ajiondoa simba, arudi kwao Brazil kisa na mkasa ni viongozi kutompa: thank you Chama

Chiba aliwaambia viongozi wa simba hataki kumuona CCC msimu ujao, viongozi nao wakamwambia Chiba haendi popote, kama vipi bora wampe thank you, chiba. Chiba kaona isiwe tabu, jana kaamua kurudi kwao Brazil.

Gadiola mnene muda si muda anachukua tena timu
Gadiola alistahili kupewa hiyo timu zamaani
 
Hapa ndio ujinga wako umejimanua. Ngoja nikutafutie ban

Moderator Cookie kuna name calling huku
Na wewe unaangaika na vitu vidogo hivi?

Katika hali ya kawaida inashangaza kocha ukiacha team kwenye pre season sasa alikwenda Uturuki kufanya nini kama si uharibifu wa pesa tu? amekaa na fungu la timu kwa siku ngapi?

Maana uelewe timu imekwenda mafungumafungu na bado mafungu hayajatimia mpaka leo.

Cc: cabo DELCADO MTAZAMO
 
Kama ulikuwa hujui kwanini ameenda Brazil kwa wiki moja ungeuliza. Kuna kocha ambaye hapendi kushiriki mashindano ya African Football League aka SUPA LIGI? Kwa taarifa yako chama yupo na Roba yupo, ila ameenda kwao kwa wiki moja kumalizia kozi yake ya juu ya ukocha.

Ndio mana alikuwa ana demand msaidizi wake wa vipers aje ili aiache timu katika mikono salama kwa huu muda wa wiki moja. Tabu ipo pale pale na hivi mayele hayupo halafu mikisoni ametua msimbazi kazi mnayo
kocha anaweza kuacha [program zikafanyiwa laxi na wasaidizi wake na uzuri wasaidizi ni yeye aliyewapendekeza
 
Embu ngoja tumsubirie GENTAMYCINE aje kusema kitu
Kama Uongozi wa Simba SC haujasema kuwa Kocha kaondoka mazima Simba SC unataka Mimi niseme nini tena?

Tafadhali acha Kunifananisha na Wazushi, Washamba na Majuha unaoonekana Kuwaamini kuhusiana na Mada ( Thread ) iliyoko.
 
Kama Uongozi wa Simba SC haujasema kuwa Kocha kaondoka mazima Simba SC unataka Mimi niseme nini tena?

Tafadhali acha Kunifananisha na Wazushi, Washamba na Majuha unaoonekana Kuwaamini kuhusiana na Mada ( Thread ) iliyoko.
tia neno mkuu
 
Yanga tunao wawili wenye akili Kikwete na Sunday Manara nyie Simba mnae mmoja tu Rage the Great! Hivi unateteaje ujinga kocha kuacha timu isiyo na kombe na jina kubwa? Na ligi karibu zitaanza! Hii Ina maana kozi ni muhimu kwake kuliko timu maana kozi unaweza kuahirisha ukasoma wakati mwingine!

Halafu huo mgogoro wa kocha Roba , viongozi wa Kolowizard na Chama ni vizuri uwe mkubwa na uigawe Simba na hiyo ni furaha kubwa kwetu Utopolo maana tutabeba makombe kwa mwaka wa tatu mfululizo na yatakuwa yetu jumla!

wanaYanga shime shime tuuchochee mgogoro huu kwa thread mfululizo!
 
Back
Top Bottom