Robertinho aondoke Simba timu ivunjwe. Haiwezekani tunaishia Robo Fainali kila mara

Robertinho aondoke Simba timu ivunjwe. Haiwezekani tunaishia Robo Fainali kila mara

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Haiwezekani kila mara tunaposhiriki michuano yoyote huwa tunaishia robo fainali, Yaani sisi tumekuwa wasindikizaji na wala hatuna taji lolote huku tukiishia kutiana moyo kuishia robo fainali.

Ifike mahala hatua zichukuliwe, Ukubwa wetu umebakia midomoni huku tukichekwa kwa mpira 0 uwanjani.Usajili wa hovyo kabisa, Wachezaji kama Chama, Baleke sio wachezaji wa kuchezea Simba.

Timu imekosa malengo, Wala hakuna malengo ya kutwaa taji bali tumekuwa timu ya matukio!

Kupongezana kuwafunga watani, sijui kuifunga Horoya, Lakini mwisho wa siku ni ujuha na sifa za midomoni zisizo na manufaa.Kwanini hatujifunzi kutoka kwa watani? Consistency, na userious na malengo haswa katika usajili yamewafikisha mbali huku wakitwaa mataji karibu yote ndano na nje.

Inauma sana!
 
Haiwezekani kila mara tunaposhiriki michuano yoyote huwa tunaishia robo fainali, Yaani sisi tumekuwa wasindikizaji na wala hatuna taji lolote huku tukiishia kutiana moyo kuishia robo fainali.
Ifike mahala hatua zichukuliwe, Ukubwa wetu umebakia midomoni huku tukichekwa kwa mpira 0 uwanjani.Usajili wa hovyo kabisa, Wachezaji kama Chama, Baleke sio wachezaji wa kuchezea Simba.
Timu imekosa malengo, Wala hakuna malengo ya kutwaa taji bali tumekuwa timu ya matukio! Kupongezana kuwafunga watani, sijui kuifunga Horoya, Lakini mwisho wa siku ni ujuha na sifa za midomoni zisizo na manufaa.Kwanini hatujifunzi kutoka kwa watani? Consistency, na userious na malengo haswa katika usajili yamewafikisha mbali huku wakitwaa mataji karibu yote ndano na nje.INAUMA SANA

Hujui Mpira! Kaanzishe Team yako au uhamie Yanga
 
Huyo kocha mjanja sana, alipokuwa Vipers akaona wale wachezaji mahiri wameondoka akaona nikibakia Vioers nitahaibika b kuchekwa ngoja nikimbilie Simba ambayo iko vema, ndicho alichokifanya.
 
Haiwezekani kila mara tunaposhiriki michuano yoyote huwa tunaishia robo fainali, Yaani sisi tumekuwa wasindikizaji na wala hatuna taji lolote huku tukiishia kutiana moyo kuishia robo fainali.
Ifike mahala hatua zichukuliwe, Ukubwa wetu umebakia midomoni huku tukichekwa kwa mpira 0 uwanjani.Usajili wa hovyo kabisa, Wachezaji kama Chama, Baleke sio wachezaji wa kuchezea Simba.
Timu imekosa malengo, Wala hakuna malengo ya kutwaa taji bali tumekuwa timu ya matukio! Kupongezana kuwafunga watani, sijui kuifunga Horoya, Lakini mwisho wa siku ni ujuha na sifa za midomoni zisizo na manufaa.Kwanini hatujifunzi kutoka kwa watani? Consistency, na userious na malengo haswa katika usajili yamewafikisha mbali huku wakitwaa mataji karibu yote ndano na nje.INAUMA SANA
Akili za namna hii huwa zipo Yanga., huku zinatoka wapi tena., rudi huko huko kwa YEBOYEBO wenzako
 
Msituletee nuksi nasisi kama jorginho alivopeleka nuksi aseno
Kama taifa tuungane kuhakikisha yanga inabeba kombe la shirikisho. Kwa sasa yanga ndio tegemeo la nchi kwenye michuano ya kimataifa
 
Robertinho alikuwepo hizo kila mara? Hujawahi kuwa na akili
Daah,kuna watu wakikaa nyuma ya kibodi wanakuwa wanajitoa ufahamu sana.... Simba kocha hana makosa cha msingi wafanye usajili madhubuti wa wachezaji
 
Toa kwanza kinyesi kwa chupi kwanza
Haiwezekani kila mara tunaposhiriki michuano yoyote huwa tunaishia robo fainali, Yaani sisi tumekuwa wasindikizaji na wala hatuna taji lolote huku tukiishia kutiana moyo kuishia robo fainali.
Ifike mahala hatua zichukuliwe, Ukubwa wetu umebakia midomoni huku tukichekwa kwa mpira 0 uwanjani.Usajili wa hovyo kabisa, Wachezaji kama Chama, Baleke sio wachezaji wa kuchezea Simba.
Timu imekosa malengo, Wala hakuna malengo ya kutwaa taji bali tumekuwa timu ya matukio! Kupongezana kuwafunga watani, sijui kuifunga Horoya, Lakini mwisho wa siku ni ujuha na sifa za midomoni zisizo na manufaa.Kwanini hatujifunzi kutoka kwa watani? Consistency, na userious na malengo haswa katika usajili yamewafikisha mbali huku wakitwaa mataji karibu yote ndano na nje.INAUMA SANA
 
Haiwezekani kila mara tunaposhiriki michuano yoyote huwa tunaishia robo fainali, Yaani sisi tumekuwa wasindikizaji na wala hatuna taji lolote huku tukiishia kutiana moyo kuishia robo fainali.
Ifike mahala hatua zichukuliwe, Ukubwa wetu umebakia midomoni huku tukichekwa kwa mpira 0 uwanjani.Usajili wa hovyo kabisa, Wachezaji kama Chama, Baleke sio wachezaji wa kuchezea Simba.
Timu imekosa malengo, Wala hakuna malengo ya kutwaa taji bali tumekuwa timu ya matukio! Kupongezana kuwafunga watani, sijui kuifunga Horoya, Lakini mwisho wa siku ni ujuha na sifa za midomoni zisizo na manufaa.Kwanini hatujifunzi kutoka kwa watani? Consistency, na userious na malengo haswa katika usajili yamewafikisha mbali huku wakitwaa mataji karibu yote ndano na nje.INAUMA SANA

Kwani Simba walikuomba uwe Shabiki? Anzisha team yako; ukachukue Kombe la Dunia
 
Hata nabi aondoke haiwezekani tufungwe na kibu drogba,mkandaji.
 
Hata nabi aondoke haiwezekani tufungwe na kibu drogba,mkandaji.
Yaani huyo Kibu na kagoli kake kamoja ka kuotea, hatunywi maji! Vipi Mayele aliyewatungua kwa nyakati tofauti, magoli zaidi ya matatu?

Achana Aziz Kii aliyemfanya Manula kuwa majeruhi mpaka leo kupitia lile kombora lake.
 
Back
Top Bottom