Kuwahutumia ndio kuwafanya nini?Eeee Yanga mtuhutumie jaman 🤣🤣
Dah hapo tukuyu ni hatari, mvua inaweza pga wiki nzima non stopMi sina timu mkuu I'm mchambuzi....
But hapa tukuyu ni mvua + ukungu mkubwa
Kocha benchika alikuwa hawataki. Inshort simba is a sinking shipSasa Kwann wawaache wachezaji tegemezi
Ishu sio kuondoka ishu ni kaondoka kwa style gani? Robertinyo hakua na kosa lolote dozi ya goli 5 ni kawaida iyo hata wakina morinyo, gadiora,babu fagason mwenyewe washazichezea izo, rekodi ya robertinyo ni nzuri ukilinganisha na benchika ni inaashiria mlifanya makosa kumfukuza.Alitaka abaki milele? Haijalishi Simba SC inapitia kipindi Gani ila kila jambo Huwa na ukomo wake. Haitabaki hivi kila siku.
Tukuyu ndio mnaroga simbaMi sina timu mkuu I'm mchambuzi....
But hapa tukuyu ni mvua + ukungu mkubwa
Ni hatari....Hatari...penyewe hapa ilianza juzi