Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

Afrika haitaamini, mimi mwenzenu wala sina hofu kabisa na Mamelodi, Yanga atapita nusu finale na kama hawatakaa vizuri Yanga anakwenda fainali. Kwa sasa mtacheka sana kama kawaida yenu. Tuombe uzima tuu.
Iiiiiigggweeeeeeeeeeeee ๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’ช๐Ÿ’›๐Ÿ’›๐Ÿ’›๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ•บ!

Cc Smart911
 
Jidanganye mkuu,mimi yanga ili hii droo naona kabsa wanataka mamelod na al ahly wakutane fainali[emoji35]
 
Ni saa mbili na robo bibie...mimi siangali utanipa matokeo..
๐ŸŽผPresha inapanda presha inashukaaaa๐ŸŽถ๐ŸŽถ๐Ÿ–๏ธ

Naimba tu mie ! ๐Ÿ˜
Santo sana kwa mwongozo Mbili na 5' mguu kwa jirani Ye ana Azam najua kwakua kuna mechi watakua wameshakula๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿคฃ!

Cc Smart911
 
๐ŸŽผPresha inapanda presha inashukaaaa๐ŸŽถ๐ŸŽถ๐Ÿ–๏ธ

Naimba tu mie ! ๐Ÿ˜
Santo sana kwa mwongozo Mbili na 5' mguu kwa jirani Ye ana Azam najua kwakua kuna mechi watakua wameshakula๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿคฃ!

Cc Smart911
Kama ni samaleko watakua wamebakiza futari upate sunna kidogo...๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ