Iiiiiigggweeeeeeeeeeeee ๐๐๐๐ช๐๐๐๐ช๐ช๐บ!Afrika haitaamini, mimi mwenzenu wala sina hofu kabisa na Mamelodi, Yanga atapita nusu finale na kama hawatakaa vizuri Yanga anakwenda fainali. Kwa sasa mtacheka sana kama kawaida yenu. Tuombe uzima tuu.
Alafu pia Mungu si wa wote au yupo kwa wengine tu?.Mechi za Robo fainali ni ngumu kuliko za Nusu fainali.
Jidanganye mkuu,mimi yanga ili hii droo naona kabsa wanataka mamelod na al ahly wakutane fainali[emoji35]Kiratiba Yanga kapata bahati sana kucheza na Mamelodi Sundowns, Tarehe 27 mwezi huu timu ya taifa ya Afrika kusini yenye wachezaji 10 wa Mamelodi itakuwa na mchezo nchini Algeria siku mbili mbele au tatu Mamelodi watapaswa kuwa Dar es Salaam.
Kuna taarifa za ndani ya Mamelodi kujaribu kuomba endapo wangepangiwa timu yoyote ile kutoka Tanzania wachezaji wao wasicheze mchezo dhidi ya Algeria kutokana muda mchache wa kujiandaa pamoja na umbali wa safari kutoka Algeria to Tanzania. Wao walipendelea wacheze na ES Tunis ssb ya urahisi wa kutoka Algeria to Tunisia. Logistics za mchezo dhidi ya Yanga hazitakuwa rafiki kwao.
Yaani umeanza kuongelea issue ya semi faino hata kabla mazoezi ya robo faino bado ๐๐!.Simba akishinda Semi Final anaanzia ugenini. Same to Uto
Na Fainali ataanzia Ugenini.
Kama uto ataingia Final ataanzia nyumbani...
Dogo na ww..nilikwambia jana saa mbili na robo jamani naona umejipanga kutucheka....hahahh
halafu zitaanza stori za majiniNashangaa sana kuwaogopa hao mamelodi,, hii hatua kuna kigogo au vigogo wataaga mashindano,, alafu kuna ambaye humzanii anatoboa,,
Sawa..kwani tumebisha?Afrika haitaamini, mimi mwenzenu wala sina hofu kabisa na Mamelodi, Yanga atapita nusu finale na kama hawatakaa vizuri Yanga anakwenda fainali. Kwa sasa mtacheka sana kama kawaida yenu. Tuombe uzima tuu.
๐คฃ๐๐๐Sawa..kwani tumebisha?
nimecheka sanaKaribuni Utopolo katika mwakarobo zone...
Watatukimbia humu kama kawaida Yao fainali ni Yanga SC na Al ahly tunzeni hii
Kabisa mtani..tunaweza tukiamua..mbona ilionekana tunachechemea makundi ila tukapita na humu tutapita..nimecheka sana
sema nini mtani mwaka huu lazima timu zetu ziwe mwaka nusu haina kufeli. Ikibidi figisu
fainali ni simba na mamelodiJidanganye mkuu,mimi yanga ili hii droo naona kabsa wanataka mamelod na al ahly wakutane fainali[emoji35]
๐ผPresha inapanda presha inashukaaaa๐ถ๐ถ๐๏ธNi saa mbili na robo bibie...mimi siangali utanipa matokeo..
Umekazana Alhly ili usijipe presha ee?? Haha kwani usiseme Petro de luanda? Kisa Alhly ni timu pinzani kwetu..utajua hujui ๐ ๐Watatukimbia humu kama kawaida Yao fainali ni Yanga SC na Al ahly tunzeni hii
Kama ni samaleko watakua wamebakiza futari upate sunna kidogo...๐๐๐๐ผPresha inapanda presha inashukaaaa๐ถ๐ถ๐๏ธ
Naimba tu mie ! ๐
Santo sana kwa mwongozo Mbili na 5' mguu kwa jirani Ye ana Azam najua kwakua kuna mechi watakua wameshakula๐ค ๐ค ๐คฃ!
Cc Smart911