Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

Nilichonote hiki kitu droo ilipangwa hata kabla ya haijachezeshwa. Kwa CAF kupita timu mbili za East Africa tena zote Tanzania wasio wafadhiri. Hizo nafasi zinawafurahisha zikipita timu za kiarabu. Droo hakuna kuchezesha wala walipanga tu YANGA na Simba zikutane na timu kubwa za juu. Hivyo.

Pili nimeona mashabiki wa mikia wamefurahia sana sana YANGA kupangwa na Mamelod. Hawafikirii wao kupangwa na kigogo Al Ahly kwamba wanatolewa. Furaha yao kubwa ni kuona YANGA pia inaweza kutolewa.
Nionavyo kwa YANGA kupangwa na Mamelod ni bora tu ksbb hata maandalizi yake yatakuwa makubwa. Kwa mpira wa YANGA lolote linaweza kutokea. Tusubiri dakika 90
 
Yanga kwa mchezaji mmoja mmoja ni wazuri kuliko mamelodi
Mamelodi nimewachek ktk ligi yao wanaremba mno,, eneo la mbele wanakosa sana magoli,, tena yule Shalulile wakawaida kwa sasa,, sio yule wa kipindi kile, kwa mpira wa yanga naona kabisa mamelod anakufa kwa mkapa, ila kule kwa madiba sijajua,, japo wanasema ligi na caf vitu viwili tofaut
 
Mamelodi nimewachek ktk ligi yao wanaremba mno,, eneo la mbele wanakosa sana magoli,, tena yule Shalulile wakawaida kwa sasa,, sio yule wa kipindi kile, kwa mpira wa yanga naona kabisa mamelod anakufa kwa mkapa, ila kule kwa madiba sijajua,, japo wanasema ligi na caf vitu viwili tofaut
Afadhali umeona mkuu
 
Nilichonote hiki kitu droo ilipangwa hata kabla ya haijachezeshwa. Kwa CAF kupita timu mbili za East Africa tena zote Tanzania wasio wafadhiri. Hizo nafasi zinawafurahisha zikipita timu za kiarabu. Droo hakuna kuchezesha wala walipanga tu YANGA na Simba zikutane na timu kubwa za juu. Hivyo.

Pili nimeona mashabiki wa mikia wamefurahia sana sana YANGA kupangwa na Mamelod. Hawafikirii wao kupangwa na kigogo Al Ahly kwamba wanatolewa. Furaha yao kubwa ni kuona YANGA pia inaweza kutolewa.
Nionavyo kwa YANGA kupangwa na Mamelod ni bora tu ksbb hata maandalizi yake yatakuwa makubwa. Kwa mpira wa YANGA lolote linaweza kutokea. Tusubiri dakika 90
Mambo ya kupangwa kwa droo wala sio hoja kabisa, kikubwa kukaza,, kwa wachezaji ndio fursa sasa,, kila mchezaji anayepambania ndoto ya kufika mbali hichi ndio kipimo sahihi.
 
Nilichonote hiki kitu droo ilipangwa hata kabla ya haijachezeshwa. Kwa CAF kupita timu mbili za East Africa tena zote Tanzania wasio wafadhiri. Hizo nafasi zinawafurahisha zikipita timu za kiarabu. Droo hakuna kuchezesha wala walipanga tu YANGA na Simba zikutane na timu kubwa za juu. Hivyo.

Pili nimeona mashabiki wa mikia wamefurahia sana sana YANGA kupangwa na Mamelod. Hawafikirii wao kupangwa na kigogo Al Ahly kwamba wanatolewa. Furaha yao kubwa ni kuona YANGA pia inaweza kutolewa.
Nionavyo kwa YANGA kupangwa na Mamelod ni bora tu ksbb hata maandalizi yake yatakuwa makubwa. Kwa mpira wa YANGA lolote linaweza kutokea. Tusubiri dakika 90
Niliona leo asubuhi tu micky jnr kapost kama ilivyo hii draw halafu akaandika draw test. Naagalia post ile nakuta amefuta. Nimejiuliza maswali
 
Tafadhali sana viongozi wangu wa Yanga ikiwapendeza mtuweke utaratibu wa kwenda South Afrika mechi ya marudiano. Muamko ni mkubwa sana kutoka kwa mashabiki. Sisi tupo tayari
 
Tutumie viwanja vya nyumbani vzr jameni...
Mamelody wale hawaangalii upo nyumbani kwako au ugenii..... Wale amapiano wakimdaka yanga ni kumpata na kumjaza moto habari ya cjui yuko nyumbani atajua mwenyewe
 
Nilichonote hiki kitu droo ilipangwa hata kabla ya haijachezeshwa. Kwa CAF kupita timu mbili za East Africa tena zote Tanzania wasio wafadhiri. Hizo nafasi zinawafurahisha zikipita timu za kiarabu. Droo hakuna kuchezesha wala walipanga tu YANGA na Simba zikutane na timu kubwa za juu. Hivyo.

Pili nimeona mashabiki wa mikia wamefurahia sana sana YANGA kupangwa na Mamelod. Hawafikirii wao kupangwa na kigogo Al Ahly kwamba wanatolewa. Furaha yao kubwa ni kuona YANGA pia inaweza kutolewa.
Nionavyo kwa YANGA kupangwa na Mamelod ni bora tu ksbb hata maandalizi yake yatakuwa makubwa. Kwa mpira wa YANGA lolote linaweza kutokea. Tusubiri dakika 90
Ni vyema Kwa watu wa Simba ili hii robo tunayoitwa MwakaRobo na wao waione ilivyo ngumu kutoboa nusu.
 
Nilichonote hiki kitu droo ilipangwa hata kabla ya haijachezeshwa. Kwa CAF kupita timu mbili za East Africa tena zote Tanzania wasio wafadhiri. Hizo nafasi zinawafurahisha zikipita timu za kiarabu. Droo hakuna kuchezesha wala walipanga tu YANGA na Simba zikutane na timu kubwa za juu. Hivyo.

Pili nimeona mashabiki wa mikia wamefurahia sana sana YANGA kupangwa na Mamelod. Hawafikirii wao kupangwa na kigogo Al Ahly kwamba wanatolewa. Furaha yao kubwa ni kuona YANGA pia inaweza kutolewa.
Nionavyo kwa YANGA kupangwa na Mamelod ni bora tu ksbb hata maandalizi yake yatakuwa makubwa. Kwa mpira wa YANGA lolote linaweza kutokea. Tusubiri dakika 90
siyo yanga iligongwa na al-ahaly tu juzi utasemaje ina ufadhali
 
Back
Top Bottom