Huyo mamelod kwa simba anakaa vizuri tuWasijesema Mamelodi mbovu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mamelod kwa simba anakaa vizuri tuWasijesema Mamelodi mbovu😂
Marehemu alikuwa na mdomo sanaaHiyo ni timu iliyokuwa inaogopwa na kila timu. Mfupa mgumu umeangukia kwa Yanga.
Vipi kuhusu mikia mnasonga?Yanga safari hii mtapaka mpaka bleach za matakle dadeeki
Sio yote? Naona amefuta hadi post yakeAlipatia game mbili tu, na yeye aliitoa mahala flani, tena alipost jana
Hawa niliwacheki na mazembe hawasumbui Hawa 🤣😁Mpira haudundi kwenye matope🤣
Yaani ilipangwa kabisa kitambo ,toka zilivyomaliza. Ile saa 10 ilikuwa akadablakadabla tu kutuzuga. Lakini siku nyingi walishaziset. Hawajafurahishwa kabisa timu 2 tena za bongo kukavu zipite. Vinginevyo yale mapot ilitakiwa yawe mawili tuNiliona leo asubuhi tu micky jnr kapost kama ilivyo hii draw halafu akaandika draw test. Naagalia post ile nakuta amefuta. Nimejiuliza maswali
Tanzania wazungu wakija kuwekeza tunaibiwa rasilimali, tukitembelewa na wageni, wamekuja kutunyonya, tukivuka robo fainali tukapangiwa na timu bora basi wana mpango wa kuziua timu. Basi tusifanye lolote tujifungie wenyewe.Mpango wa kuziua timu za Tanzania
Ni sahihi kukaza. Wote ni size moja. Lakini kwa nini wazuge kama kuna jackpot wakati tayari walishapitisha kitambo?. Si wangesema tu kwa uwazi tu trip hii tunafanya huyu na huyu. Huu ujanja ujanja wa nini?Mambo ya kupangwa kwa droo wala sio hoja kabisa, kikubwa kukaza,, kwa wachezaji ndio fursa sasa,, kila mchezaji anayepambania ndoto ya kufika mbali hichi ndio kipimo sahihi.
Ujinga ujinga tu. Tuache haya mawazo ni ya kijinga twendeni uwanjani, haiwezekani kila kitu tuwe sisi ndo hatutakiwi sijui wa kuonewa mara kuhujumiwa.Yaani ilipangwa kabisa kitambo ,toka zilivyomaliza. Ile saa 10 ilikuwa akadablakadabla tu kutuzuga. Lakini siku nyingi walishaziset. Hawajafurahishwa kabisa timu 2 tena za bongo kukavu zipite. Vinginevyo yale mapot ilitakiwa yawe mawili tu
Na magoli ya mikono yalifungwa, ila mlivyokuja uhuru(zamani taifa) nini kiliwakuta?Huyu jamaa niliwahi kutoka nae 3-3
Hizi ndo game zetu mkuu we mwenyewe unajua show zetu... Simba tukiwa champions league yoyote anayekuja tunaruka nae...Vipi kuhusu mikia mnasonga?
Hawatoaminii,acha wachonge ngengaTumepata Mamelodi hii kwetu ni bahati kubwa sanaaa!
Dunia inaenda kupatwa na mshangao jinsi Mamelodi watakavyofungasha vilago vyao robo fainal.😂
Daima Mbeleeee💛💚
Ni sawa ni Ujinga kwa wewe mjinga,unaishia akili yako ilipoishia,lakini kwa waerevu hiki kitu kinafikirisha.Ujinga ujinga tu. Tuache haya mawazo ni ya kijinga twendeni uwanjani.
Umeanza kushabikia mpira ukubwani?TUKAMILISHE RATIBA TURUDI KWENYE LIGI YETU.
SIMBA KUMTOA AL AHLY NI UONGO.
YANGA KUMTOA MAMELODI NI UONGO.
Wewe hujui kitu mechi haijachezwa uhuru ilichezwa ccm kirumba mwaka 2001Na magoli ya mikono yalifungwa, ila mlivyokuja uhuru(zamani taifa) nini kiliwakuta?
Sasa hao Singida Wana timu kwani? Hiyo mechi yenu.Ni saa mbili na robo bibie...mimi siangalii utanipa matokeo..
Nani kapaniki? Hii tuliomba na tunataka mtueleze mapema kama Mamelody kashuka kiwango au bado yupo moto tusije tukamtoa mkasema mbovuIla sijui kwa nini Uto wote wamepanic baada ya kusikia mpinzani wao ni Mamelodi.
Heri yako wewe ambaye hujapanic 😂
Kiukweli kabisa Mimi kama Mwanachama wa Yanga nilikuwa naombea sana tupangwe na hawa watu ili tuonyeshe Dunia jinsi Yanga na Soka zima la Tanzania lilivyokua. Nina uhakika hawa Mamelody tunawamudu nje na ndani ya uwanja,iwe hapa au kwao.Tena ule ukuta wao una matundu kabisa,, kitu nachokiona watu wanahofia bure,, watu wa mpira tunataka mbungi kama hizo