Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

... 🗣️ 𝘼𝙆𝙄𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙈𝘼𝙉𝙀𝙉𝙊

Tuweke akiba ya maneno ✍️

"Yanga habari yao imeishia hapo, Unashindwa kumfunga Mwarabu nyumbani kwako, timu kubwa Tunisia Club Africain 🇹🇳 utegemee kushinda kwake, wanaenda kutalii"

Full — 🇹🇳 Club Africain 0 - 1 Yanga
______________________________

"Mamaa hahahaa wamepangwa na TP Mazembe na Mwarabu (US Monastir), wakivuka hili kundi mnikate mkono"

Full — Yanga 3 - 1 Mazembe 🇨🇩
Full — 🇨🇩 Mazembe 0 - 1 Yanga
Full — Yanga 2 - 0 US Monastir 🇹🇳

1. Young Africans 🇹🇿 ☑️
2. US Monastir 🇹🇳 ☑️
3. Stade Malien 🇲🇱
4. TP Mazembe 🇨🇩

🎖️ Final (CAF-CC).
_________________________________

"Mwaka huu ukitolewa kwa wakubwa huangukii kombe la LUZA, karibuni kwenye mashindano ya wakubwa. Hahaha wamepangwa na Al-Ahly, na CR Belouizdad 🇩🇿 bingwa mara 4 mfululizo wa Algeria 🇩🇿, kuingia robo fainali kwa hao waarabu ni jambo la kawaida.. Yanga atamaliza wa mwisho kwenye kundi"

"Akikutana na Al-Ahly atapigwa (5-0)"

Group stage final ;

1. 🇪🇬 Al-Ahly Cairo ☑️
2. 🇹🇿 Young Africans SC ☑️
3. 🇩🇿 CR Belouizdad
4. 🇬🇭 Medeama
_______________________________

"Yanga kapigwa (3-0) na CR Belouizdad waje wapindue meza hapa kwa bao (4-0) hahaha wanaota ndoto mchana, Yanga akienda robo fainali CAF-CL NIBAKWE na Serikali isiingilie"

Full — Yanga 4 - 0 CR Belouizdad 🇩🇿
____________________________

"Kwisha habari yao, Hahaha wamepamgwa na Mamelodi Sundowns 🇿🇦, Yanga anaenda kupigwa nyumbani na ugenini, Wameshatoka. Yanga akimtoa Mamelodi nyumba yangu ichomwe moto"

Full — Yanga ? - ? Mamelodi 🇿🇦 ...
 
Acha kuwadanganya wenzako waliwe, wewe mwenyewe hapo usikute utaibetia mamelodi, unataka umpige mhindi peke yako

Cc Scars [emoji1787]
... 🗣️ 𝘼𝙆𝙄𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙈𝘼𝙉𝙀𝙉𝙊

Tuweke akiba ya maneno ✍️

"Yanga habari yao imeishia hapo, Unashindwa kumfunga Mwarabu nyumbani kwako, timu kubwa Tunisia Club Africain 🇹🇳 utegemee kushinda kwake, wanaenda kutalii"

Full — 🇹🇳 Club Africain 0 - 1 Yanga
______________________________

"Mamaa hahahaa wamepangwa na TP Mazembe na Mwarabu (US Monastir), wakivuka hili kundi mnikate mkono"

Full — Yanga 3 - 1 Mazembe 🇨🇩
Full — 🇨🇩 Mazembe 0 - 1 Yanga
Full — Yanga 2 - 0 US Monastir 🇹🇳

1. Young Africans 🇹🇿 ☑️
2. US Monastir 🇹🇳 ☑️
3. Stade Malien 🇲🇱
4. TP Mazembe 🇨🇩

🎖️ Final (CAF-CC).
_________________________________

"Mwaka huu ukitolewa kwa wakubwa huangukii kombe la LUZA, karibuni kwenye mashindano ya wakubwa. Hahaha wamepangwa na Al-Ahly, na CR Belouizdad 🇩🇿 bingwa mara 4 mfululizo wa Algeria 🇩🇿, kuingia robo fainali kwa hao waarabu ni jambo la kawaida.. Yanga atamaliza wa mwisho kwenye kundi"

"Akikutana na Al-Ahly atapigwa (5-0)"

Group stage final ;

1. 🇪🇬 Al-Ahly Cairo ☑️
2. 🇹🇿 Young Africans SC ☑️
3. 🇩🇿 CR Belouizdad
4. 🇬🇭 Medeama
_______________________________

"Yanga kapigwa (3-0) na CR Belouizdad waje wapindue meza hapa kwa bao (4-0) hahaha wanaota ndoto mchana, Yanga akienda robo fainali CAF-CL NIBAKWE na Serikali isiingilie"

Full — Yanga 4 - 0 CR Belouizdad 🇩🇿
____________________________

"Kwisha habari yao, Hahaha wamepamgwa na Mamelodi Sundowns 🇿🇦, Yanga anaenda kupigwa nyumbani na ugenini, Wameshatoka. Yanga akimtoa Mamelodi nyumba yangu ichomwe moto"

Full — Yanga ? - ? Mamelodi 🇿🇦 ...
 


The Quarter-Final draw for the 2023/24 TotalEnergies CAF Champions League and TotalEnergies CAF Confederation Cup will be conducted Today, 12 March 2024.

The draw will be conducted in Cairo, Egypt starting with CAF Confederation Cup at 14h00 Cairo time (12h00 GMT) and CAF Champions League at 15h00 Cairo time (13h00 GMT).

The teams that will participate in the Quarter-Finals of the TotalEnergies CAF Champions League and TotalEnergies CAF Confederation Cup are known following the conclusion of the group stage over the weekend.

TotalEnergies CAF Champions League Quarter-Finals Qualified teams:

Al Ahly (Egypt), ASEC Mimosas (Cote d’Ivoire), Mamelodi Sundowns (South Africa), Atletico Petroleos (Angola), TP Mazembe (DR Congo), Simba SC (Tanzania), Esperance Sportive de Tunis (Tunisia), Young Africans (Tanzania).

TotalEnergies CAF Confederation Cup Quarter-Finals Qualified teams:

USM Alger (Algeria), Zamalek (Egypt), Dreams FC (Ghana), RS Berkane (Morocco), Modern Future (Egypt), Abu Salem (Libya), Rivers United (Nigeria), Stade Malien (Mali).

What are your thoughts/Predictions?

Stay tuned for more info!

View attachment 2932731

CONFEDERATION CUP DRAW



TotalEnergies CAF Confederation Cup Quarter-Final Draw Outcome:

29 – 31 March 2024:

QF 1 | Modern Future (EGY) vs Zamalek (EGY)
QF 2 | Abu Salem (LBY) vs RS Berkane (MAR)
QF 3 | Rivers United (NGR) vs USM Alger (ALG)
QF 4 | Stade Malien (MLI) vs Dreams FC (GHA)

05 – 07 April 2024:
QF 1 | Zamalek (EGY) vs Modern Future (EGY)
QF 2 | RS Berkane (MAR) vs Abu Salem (LBY)
QF 3 | USM Alger (ALG) vs Rivers United (NGR)
QF 4 | Dreams FC (GHA) vs Stade Malien (MLI)

Semi-Final Draw Outcome:

QF 3 Winner vs QF 2 Winner
QF 1 Winner vs QF 4 Winner
Semi-Finals Dates to be communicated in due course.
 
(kishabiki) nimegundua CAF hawajapenda tulivyoingiza timu 2 robo fainali! Wanatuhujumu wazi wazi!

Kisoka & biashara : wamepanga safi kabisa mana hizo timu 4 zitakua ni mechi zenye mvuto namashabiki wengi sana! Ni kama derby ya mabingwa!
kisoka tumekua mpaka tunaonekana tunawezana nao hao majamaa
nusu fainali ipo kamati ya majini tunaiaminia au nasema uwongo ndugu zangu?
Ni kweli jamaa wamechukia hamuwezi mkazifunga timu za cuf goli kumi bongo. Simba ashinde 6 Yanga ashinde 4 hiyo ni dharau kubwa
 
Hahahaha Temper Yangu iko chini sana hata ishu iwe siriaz vipi huwa sipanic kihivo
Umenikumbusha tukio fulani kazini siku hio tumewekwa Chini ya ulinzi usalama kama wote 🤠
Usalama Mmoja ananiuliza mbona wewe unachukulia simpo sana hata huogopi huku wengine wameshatetemeka wanasweat balaa 😂

Cc Smart911
Unafaa kuwa mke hata siku ukimfuma mumeo you will take simple
 
Ila msisahau kuwa Motsepe ni mfanyabiashara kampuni za betting zinaweza kumuwekeq dau mezani ikawa hbar nyingine hpa mpira nowdays umeharibiwa na kamari
 
Back
Top Bottom