Eddy da Rose Jr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2023
- 244
- 248
Hapana.Ana maanisha wa pili ktk kila kundi ataanzia nyumbani.Therefore,SSC na YASC wote wanaanzia kwa Mkapa.Kwamba wa kwanza kwenye kundi ataanzia nyumbani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana.Ana maanisha wa pili ktk kila kundi ataanzia nyumbani.Therefore,SSC na YASC wote wanaanzia kwa Mkapa.Kwamba wa kwanza kwenye kundi ataanzia nyumbani?
Hebu tabiri Simba na Yanga wanakutana na timu gani?Kibongo bongo Muda wa droo ni Saa 9 alasiri na saa 10 jioni (EAT)
Pia hii ni favor kwa aliyeongoza kundi. Anakuja kwako analazimisha sare au unamfunga ushindi mwembamba ukienda kwake (second leg) anakupiga. Karata zichangwe nyumbaniHapana.Ana maanisha wa pili ktk kila kundi ataanzia nyumbani.Therefore,SSC na YASC wote wanaanzia kwa Mkapa.
Yanga lazma akipige na Mamelody..Hebu tabiri Simba na Yanga wanakutana na timu gani?
Na iwe hivo1. Al Ahly Vs Simba
2. ASEC Mimosas Vs TP Mazembe
3. Mamelodi sundowns Vs Es Tunis
4. Petro Luanda Vs Young African
ItapendezaAl Aily watarudi Tz huku wapinzani wao wa karibu The yellow nation nao wakija Tz.
Simba vs Al Aily
Young Africans Vs Mamelody.
Mkuu mbona kama unawasukumia mamelodi kwa Yanga? Unataka wawalipie ule mnara wa 5g?Yanga lazma akipige na Mamelody..
Na simba na petro
Ule mnara tulianzisha sisi nyinyi mlilipa moja bado Moja..Mkuu mbona kama unawasukumia mamelodi kwa Yanga? Unataka wawalipie ule mnara wa 5g?
Muda badoDraw Imeanza jaman wale wa kutupa Update mbona kimya
Hata akipangwa na Asec bado shughuli pevu.Yanga kwasababu ya ubovu wao wnaomba wakutane na ASEC,yanga inapenda kubebwa bebwa.
Yanga vs memolody matokeo yatakuwa hivyo
Kwani Si ilikuwa 14:00 cairo ambayo ni sawa na 13:00 EATMuda bado
Nipo hapa nimeshikilia pumbu, hakika hiki kikombe kituepuke.Eeeh mola wangu kikombe cha Masandawana kituepuke Wananchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app