Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Tupe mrejeaho JoseKibongo bongo Muda wa droo ni Saa 9 alasiri na saa 10 jioni (EAT)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe mrejeaho JoseKibongo bongo Muda wa droo ni Saa 9 alasiri na saa 10 jioni (EAT)
Draw inayofuata n baada ya mda ganTunawasubiri.
Njooni tumalize hii business nyie watu wa CAF
Hapa sasa ilitakiwa kuwepo Azam FC.
Itakuwa saa 10 kamili.Draw inayofuata n baada ya mda gan
Sawa mkuuItakuwa saa 10 kamili.
Ila wakija we will let you know.
#nguvumoja#
nakazia mkuu, wanatuchelewesha azamHapa sasa ilitakiwa kuwepo Azam FC.
sema ndio hivyo tu
tanesco hawana hurumaTVE Startimes channel number 537 wanaonyesha live.
Wanakila kitu! wamekosa maarifa tu.nakazia mkuu, wanatuchelewesha azam
aha! kumbe Uto?Sawa mkuu
#wananchi
Hicho lazima ukinywee kudadeki 😃Mungu wa mbinguni liokoe Chama langu💚💛dhidi ya kikombe Cha masandawana
Huu ni mtazamo wako au ndo matokeo ya draw??YANGA VS MAMELODI
SIMBA VS PETRO DE LUANDA