Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja Hawa wakija taifa hawatokiTumepata Mamelodi hii kwetu ni bahati kubwa sanaaa!
Dunia inaenda kupatwa na mshangao jinsi Mamelodi watakavyofungasha vilago vyao robo fainal.😂
Daima Mbeleeee💛💚
Inawezakana kupita. Simba si mara ya kwanza kupangiwa Al hly wana uzoefu na kukutana nao, wakikaza kwa mkapa nafasi ipo.Hamna timu yoyote ya Tanzania itakayo enda nusu.
Ila sijui kwa nini Uto wote wamepanic baada ya kusikia mpinzani wao ni Mamelodi.
Yanga kuna vipaji ww
Marehem anamcheka marehem mwenzie this is crazy 😅😅
Kwa hiyo Azizi hukumuona Diarra hukumuona ?Mbona hatukuviona AFCON?
Nafikiri ungewaambia hao uto wenzio walioanza kutafuta visingizio eti ahly wepesi kuliko sundowns, kila mtu ashinde mechi zake hapa hakuna wa kumcheka mwenzie maana wapinzani wote wagumu, msianze kutafuta sababu ili yakitokea ya kutokea mseme wenu walikuwa wagumu wetu walikuwa wepesiTulia matches zichezwe halafu mje hapa kutubu
naona kama wanachelewesha
Umeongea vzuri sana,,Inawezakana kupita. Simba si mara ya kwanza kupangiwa Al hly wana uzoefu na kukutana nao, wakikaza kwa mkapa nafasi ipo.
Yanga kwa mkapa nao wapo aggressive na wana suprice zisizotegemewa kutokana na form yao, wanaweza kuforce ukashangaa imekuaje .
Lolote linawezekana kutokea japo % ya kutolewa kama usemavyo ipo juu. Tusubiri tuone.
Hakuna aliyepanikIla sijui kwa nini Uto wote wamepanic baada ya kusikia mpinzani wao ni Mamelodi.
Heri yako wewe ambaye hujapanic 😂
Mpaka umepost hivi maana yake wewe ni 🐸 uliyepanic baada ya kusikia mpinzani ni Mamelodi.Ukiona namna mashabiki wa simba wanavofurahia yanga kupangwa na mamelody ndo unajua kua ni kiasi gani wao wenyewe wanaiogopa yanga
Marehem anamcheka marehem mwenzie this is crazy 😅😅Mpaka umepost hivi maana yake wewe ni 🐸 uliyepanic baada ya kusikia mpinzani ni Mamelodi.
fanya usafi,jiandae kupakatwa na laazizi wako mamelodiMsipofuzu Nusu fainali hii vunjeni timu mkauze MO Extra maana haiwezekani timu hiyo hiyo moja mnacheza nayo kila siku then inawatoa.
Utasema hivyo, Ila soma vizuri comments zote za huu uzi utakubaliana na nilichokiandika.Hakuna aliyepanik
Waje kwa pilato kusujuduTulia matches zichezwe halafu mje hapa kutubu