Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Simba kamfunga al ahaly kipind cha corona ,ligi zote zimesimama lakin lig ya Tanzania inaendelea .....Zamaleck,Ismailia,Al ahly akiwa bingwa mtetezi wote hao waalikaa kwa kutulia na wakasali sala ya toba.
Al ahaly walikuwa wako lock down ....