Robo fainali Cafcl, Simba yagombaniwa kama mpira wa kona

Robo fainali Cafcl, Simba yagombaniwa kama mpira wa kona

Zamaleck,Ismailia,Al ahly akiwa bingwa mtetezi wote hao waalikaa kwa kutulia na wakasali sala ya toba.
Simba kamfunga al ahaly kipind cha corona ,ligi zote zimesimama lakin lig ya Tanzania inaendelea .....

Al ahaly walikuwa wako lock down ....
 
Simba wanarekodi zuri kimataifa kuliko yanga, timu zilizoko ukanda wa africa mashariki na kati, wanazidiwa na tp mazembe tu.
 
Ismailia alichukua Kombe lini??
Alikuwa bingwa wa Misri huyo, mwaka huo huo akapigwa 1-0 na Simba siku mbili tofauti, ya kwanza mechi ikavunjwa kwa mvua, ya pili mechi ikamalizika, magoli ya siku zote yakifungwa na Joseph Kaniki Golota.
 
Simba kamfunga al ahaly kipind cha corona ,ligi zote zimesimama lakin lig ya Tanzania inaendelea .....

Al ahaly walikuwa wako lock down ....
Hata wakati Simba anaifunga Yanga 5-0 kulikuwa na corona nchi nzima, isipokuwa Msimbazi tu
 
Simba wanarekodi zuri kimataifa kuliko yanga, timu zilizoko ukanda wa africa mashariki na kati, wanazidiwa na tp mazembe tu.
Iyo ni uwooongooo.. uwongoo iyooo.
As Vita club, Gor Mahia F.C zote Kwa nyakati tofauti zimechukua makombe ya Afrika. Zimefika fainali, nusu fainali na robo fainali mara kibao.
Acha uwongo ndugu yangu wewe mwana Simba
 
Kuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.

Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..

Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
Weye n'tu utakuwa MWANANCHI UCHWARA!
... NANI MWINGINE ANATAKA SABA BILA?
OIP.71pWWHA-qXhRUFY3dIEE0AHaHa
 
Simba kamfunga al ahaly kipind cha corona ,ligi zote zimesimama lakin lig ya Tanzania inaendelea .....
Al ahaly walikuwa wako lock down ....
Tarehe 12 February 2019, wala dunia ilikuwa haijui kama kutakuja kutokee kitu kinachoitwa corona, halafu unatuambia eti Al Ahly walikuwa lock down 😁
Utawadanganya utopolo wenzio walioitwa mbwa na manyani na yule kocha mnayetakiwa kumlipa

1679315964703.png
 
Wako sahihi ujuavyo ukiachana na kandanda la samba ,mapato sio mchezo sihaba Lupaso stadium
 
Simba kamfunga al ahaly kipind cha corona ,ligi zote zimesimama lakin lig ya Tanzania inaendelea .....

Al ahaly walikuwa wako lock down ....
duh!,,umecomment nini sasa hiki!
kwaio hapo umeona Al ahly tu ao wengine nao ilikua kipindi cha Corona?
 
Tamaa ya kutaka chips mayai ilimfanya bint wa shule kupata ujauzito
 
Kuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.

Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..

Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
Maake hapoo..... Kwanza ncheke
 
Kuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.

Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..

Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
Waliongelewa kijiwe gani?
Uza kahawa iishe kwanza
 
Simba kamfunga al ahaly kipind cha corona ,ligi zote zimesimama lakin lig ya Tanzania inaendelea .....

Al ahaly walikuwa wako lock down ....
Tatizo la kuzaliwa mwaka 2000.Al Ahly alifungwa pia na Simba mwaka 1985.Magoli yaliyofungwa na Zamoyoni Mogella na Mtemi Ramadhani baada ya Al Ahly kutangulia kwa goli la Mohamed Khatib.Mechi ilichezwa Kirumba Mwanza.
Na wakati huo kulikuwa na covid?
 
Ismailia alichukua Kombe lini??
Ndio tabu ya kufuata mkumbo.Ismailia ndio timu ya kwanza ya Misri kuchukua ubingwa wa Afrika mwaka 1969.
Fuatilia mpira wacha kuwa mvimbiwa mihogo aliowasema Rais wenu Engineer feki.
 
Kuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.

Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..

Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
Watu mnacheza Loosers League kuidharau timu inayoshiriki Champions League ni utaahira uliotukuka

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Back
Top Bottom