Robo fainali Cafcl, Simba yagombaniwa kama mpira wa kona

Robo fainali Cafcl, Simba yagombaniwa kama mpira wa kona

Mkahangaike na losers wenzenu, huku kwa mabingwa hakuwahusu si Al hilal aliwafurusha km mbwaa mwizii, hata makundi hamjanusaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Utopoloooooo mmevurugwaaa vibayaaaa khaaaah
Hivi huku kwenye loser si ndo kule mliroga kule bondeni?
 
Hivi huku kwenye loser si ndo kule mliroga kule bondeni?
Sisi tuko kwa wakubwa wenzetuu. Huko kwa losers tusha sahau.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.

Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..

Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
Sosi?
 
Simba is no longer an underdog team in CAF championship.
Mtashangaa hata hao magiant wakafungwa vile vile na simba ikasonga mbele.
Mwanzoni mlisema Simba hatoboi makundi na akapewa nafasi kubwa Horoya ila imekuwa kinyume chake.
Tusibiri muda ufike mpira uchezwe uwanjani.
Kadri mnavyozidi kuitabiria Simba mabaya ndivyo jinsi inavyowaproove wrong.
Time will tell.
yaani umfunge mamelod nje ndani,acheni jamani khaaa!
 
Kuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.

Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..

Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
Hata Kama hawajasema lakini huu ndio ukweli. Mimi ni mshabiki wa Simba lakini ukweli nauona. Sisi wenyewe Simba tunatamani tupangiwe na wa the least of all hapo walioongoza makundi yao.
 
Kuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.

Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..

Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
Atakaye kutana naye anakula 7
 
Simba hakuna timu, watu watajipigia Hadi aibu
Tatizo huo mwiko
FB_IMG_1620405795640.jpg
 
Simba wanarekodi zuri kimataifa kuliko yanga, timu zilizoko ukanda wa africa mashariki na kati, wanazidiwa na tp mazembe tu.
Kitu hamjui ni kwamba Gor Mahia ya Kenya ndio timu pekee katika ukanda huu wa Afrika Mashariki iliyowahi kutwaa kombe la washindi Afrika mwaka 1986 rekodi ambayo haujavunjwa na timu yoyote katika ukanda huu hivyo eleweni hilo.
 
Kuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.

Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..

Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
Acha ujinga wewe wap vimesema vinataman
 
Simba imemfunga mtu goli Saba halafu uombe ukutane nayo...Katoe kwanza huo mwiko huko nyuma wanaume waje waingize vizuri
Janja ya Simba imeng'amuliwa, goli saba za mchongo ili kuwatisha wakubwa zimeshitukiwa ndo maana anagombaniwa kama mpira wa kona.
 
Back
Top Bottom