Robo fainali Cafcl, Simba yagombaniwa kama mpira wa kona

Robo fainali Cafcl, Simba yagombaniwa kama mpira wa kona

Janja ya Simba imeng'amuliwa, goli saba za mchongo ili kuwatisha wakubwa zimeshitukiwa ndo maana anagombaniwa kama mpira wa kona.
Za mchongo basi kila mtu angefunga..hata wale wenye mwiko nyuma
 
Unaigombaniaje timu kama hii
IMG_20230321_200558.jpg
5c3f8fe84d794a9c869adbf447b4ae83_336578062_129856996548603_7353580363190724626_n.jpg
 
Kuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.

Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..

Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dash inasikitisha ila inatia huruma Kila akheri chama langu makolo
 
Hata Kama hawajasema lakini huu ndio ukweli. Mimi ni mshabiki wa Simba lakini ukweli nauona. Sisi wenyewe Simba tunatamani tupangiwe na wa the least of all hapo walioongoza makundi yao.
Acha uwoga mkuu. Yeyote atakayepangwa na Simba ni size yetu. Tena wawe makini maana wanaweza jikuta wanatolewa. Inshaalah Simba itafanya vizuri.
 
Acha uwoga mkuu. Yeyote atakayepangwa na Simba ni size yetu. Tena wawe makini maana wanaweza jikuta wanatolewa. Inshaalah Simba itafanya vizuri.
Asante kwa kunipa moyo mkuu. Simba nguvu moja💪
 
Back
Top Bottom