BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Za mchongo basi kila mtu angefunga..hata wale wenye mwiko nyumaJanja ya Simba imeng'amuliwa, goli saba za mchongo ili kuwatisha wakubwa zimeshitukiwa ndo maana anagombaniwa kama mpira wa kona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za mchongo basi kila mtu angefunga..hata wale wenye mwiko nyumaJanja ya Simba imeng'amuliwa, goli saba za mchongo ili kuwatisha wakubwa zimeshitukiwa ndo maana anagombaniwa kama mpira wa kona.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dash inasikitisha ila inatia huruma Kila akheri chama langu makoloKuelekea hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, vilabu vikubwa ambavyo tayari vimefuzu vinatamani kupangiwa na Simba katika hatua hiyo ya mtoano. Vilabu hivyo ambavyo ni Mamelodi Sundowns, Esperance, Waydad Casablanca kwa pamoja vimesema vina tamani sana kukutana na Simba kwani ndio timu yenye unafuu iliyotinga robo fainali.
Ikumbukwe kuwa hizo timu zote ndio vinara wa makundi yao na kuna kila dalili Simba kukutana na mmoja wao..
Kwenu studio...[emoji382][emoji382][emoji382]
Acha uwoga mkuu. Yeyote atakayepangwa na Simba ni size yetu. Tena wawe makini maana wanaweza jikuta wanatolewa. Inshaalah Simba itafanya vizuri.Hata Kama hawajasema lakini huu ndio ukweli. Mimi ni mshabiki wa Simba lakini ukweli nauona. Sisi wenyewe Simba tunatamani tupangiwe na wa the least of all hapo walioongoza makundi yao.
Asante kwa kunipa moyo mkuu. Simba nguvu moja💪Acha uwoga mkuu. Yeyote atakayepangwa na Simba ni size yetu. Tena wawe makini maana wanaweza jikuta wanatolewa. Inshaalah Simba itafanya vizuri.