BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Nyie Utopolo kipindi hicho cha corona illifunga timu gani ya kimataifa?Simba kamfunga al ahaly kipind cha corona ,ligi zote zimesimama lakin lig ya Tanzania inaendelea .....
Al ahaly walikuwa wako lock down ....