Robo fainali Cafcl, Simba yagombaniwa kama mpira wa kona

Simba kamfunga al ahaly kipind cha corona ,ligi zote zimesimama lakin lig ya Tanzania inaendelea .....

Al ahaly walikuwa wako lock down ....
Nyie Utopolo kipindi hicho cha corona illifunga timu gani ya kimataifa?
 
Simba imemfunga mtu goli Saba halafu uombe ukutane nayo...Katoe kwanza huo mwiko huko nyuma wanaume waje waingize vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani unamlinganisha HOROYA na Mamelodi..!!! Wa kupimwa wewee..!!!
Mkahangaike na losers wenzenu, huku kwa mabingwa hakuwahusu si Al hilal aliwafurusha km mbwaa mwizii, hata makundi hamjanusaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Utopoloooooo mmevurugwaaa vibayaaaa khaaaah
 
Inaeleweka kwamba mwisho wetu ni robo
 
Huo msalaba akaubebe mwenyewe, maana alijilengesha mwenyewe!
 
Ulivoskia mambo ya kuingiziwa nyuma fasta ukajileta?
Km unawashwaaa toa huo mwiko nyuma nikuingize dildo ya umeme nikufokoe vizuriii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jambo lingine ambalo inabidi afahamu ni kwamba Simba ndiyo inafanya haya mashindano yafuatiliwe kwa wingi na ikitolewa tu inapooza kuna kuwa kama vile hakuna mashindano.
 
Sasa hapo kolo kwa kusema ukweli atamfunga nani jaman, Espérance, Mamelodi au Wydad? 😁
 
Alikuwa bingwa wa Misri huyo, mwaka huo huo akapigwa 1-0 na Simba siku mbili tofauti, ya kwanza mechi ikavunjwa kwa mvua, ya pili mechi ikamalizika, magoli ya siku zote yakifungwa na Joseph Kaniki Golota.
Acha UPIMBI wewe, 2002/2003 Bingwa wa Misri alikuwa ZAMALEKI
 
Yanga hajawahi kumfunga Al ALHY pale Taifa????
 
Ndio tabu ya kufuata mkumbo.Ismailia ndio timu ya kwanza ya Misri kuchukua ubingwa wa Afrika mwaka 1969.
Fuatilia mpira wacha kuwa mvimbiwa mihogo aliowasema Rais wenu Engineer feki.
Huna akili we jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…