Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

Umetumia hesabu za logic au probability ?
 
Mm nawapongeza simba kwa hatua waliofikia sii vibaya.

not but pray.
 
ilikuwa robo fainali vs Asante Kotoko miaka ya sabini huko.

wakati huo nilikuwa bado ni mfuatiliaji wa hizi timu zenu za kichawi (Simba/Yanga).
Hahaaah kumbe ni habari za miaka ya sabini huko...lazima yanga wawe na wivu kama mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…