Ni kweli, walitolewa na Asante KotokoYanga walishatolewa nusu fainali klabu bingwa Afrika kwa kurusha Shilingi. Maybe ulikuwa hujazaliwa.
Hahaaah kumbe ni habari za miaka ya sabini huko...lazima yanga wawe na wivu kama mwanamkeilikuwa robo fainali vs Asante Kotoko miaka ya sabini huko.
wakati huo nilikuwa bado ni mfuatiliaji wa hizi timu zenu za kichawi (Simba/Yanga).
Mm nawapongeza simba kwa hatua waliofikia sii vibaya.
not but pray.
Hahahahaha huyo mzungu ndiyo mazembe
Katumbi MoiseHahahahaha huyo mzungu ndiyo mazembe