Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

Utakusanyaje kapu la magoli wakati hujawahi fika hatua aliyofika simba....fika wewe tuone utapigwa goli ngapi...kwani mara ya mwisho hatua za makundi zile 6 mlizopigwa Maning rangers halikuwa kapu la magoli????hizo hatua utaishia kuziona kwenye tv wakati wenzio tunazicheza
Umepaniki mzee! 'Relax' ndio ishatokea hivyo, hata ukipovuka haisaidii kitu! Mmeshatolewa karibuni kwenye ligi yetu ya ' kichovu'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise; Mara nyingi wkend huwa haupatikanagi kabisa Shadeeya. Embu waandae ma uncle muende beach,
Hahahaaa. Yaani Mtani nimepata chance kidogo nikaona nije nicheke huku.

Baadae nitaenda nao maana kamoja kana hasira bado za kufungwa jana. 😅😅😅 hivyo kakabadilishe mazingira angalau kasahau machungu. 😅😅😅
 
Ndiyo, sherehe ilikuwa ya dakika chache tu.

Sasa hivi tunatafakari tu yaliyojiri.
Horoya ametolewa na Wydad kwa magoli 5-0 , Al ahly kafungwa 5-1 na Mamelod na kutoka, Constantine kapigwa jumla 6-3 na Esperance huku Simba ikifungwa 4-1 na Mazembe kwa matokeo hayo bado Simba imefanya vyema kwa hatua iliyofika! Hongereni Simba a. K. a Mnyama.
 
Umepaniki mzee! 'Relax' ndio ishatokea hivyo, hata ukipovuka haisaidii kitu! Mmeshatolewa karibuni kwenye ligi yetu ya ' kichovu'

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipaniki kwa kufika robo fainali ligi ya mabingwa...waliopaniki mbona wanajulikana...timu yangu imefika hatua ambayo tangu uzaliwe hujawai uona timu yako ikifika kati yangu na wewe nani wa kupaniki
 
Ghazwat nimeona like yako sehemu Mtani ila sijaona neno lako. 😅😅😅

Pole sana Mtani muhamie kwenye viporo vyenu sasa.
 
Rafiki mtu chake hatimaye mumewachezesha ndombolo kama ulivyosema aiseee.

Wasalimie huko Lubumbashi najua hamkulala leo.
 
Hahaaaa. Hivi uliweza kula cha jioni kweli Mtani maana kwa wengi kilikuwa kichungu jana. 😀😀
Yaani kufungwa ndio kunifanye nisile? nilikula msosi kwa amani kabisa, halafu unajua nini mtani kufungwa hakuishi kupo tu ndio maisha ya mpira yalivyo.
Simba nguvu moja
 
Yaani. Kama nakuona ulivyokuwa mdogo ghafula. 😀😀😀😀

Hakika ndio kilichobakia.

Hapana, siwezi kuwa mdogo Mtani.

Tulichokifanya tunastahili kujipongeza.

Tumevuka lengo la tulichopanga kukifanya.
 
Back
Top Bottom