Mhhh huwa nakutag sioni reply najua umetingwa na majukumuPole sana Swahiba ndio mpira huo. Nipo ila mambo mambo tu yamekuwa mengi.
Pia nadhani tunapishana tu.
yeah ni mtani wa jadi....mmefika hatua nzuri sio mbaya jipangeni...ila yale makelele na tambo zipunguzeni...yaani mkishinda nyie mnafunga mtaa
Duuh! Pole Swahiba. Itakuwa sikuziona basi hizo tag zako japo usichoke kunitag tena na tena.Mhhh huwa nakutag sioni reply najua umetingwa na majukumu
Leo Serengeti boys vs Nigeria hope tutapata matokeo
Sent using Jamii Forums mobile app
tusingepumua kabisaaa mtaaniππ
Na tuna kelele sio kidogo...tungeshinda jana leo ingekuwa sikukuu
Ila sio mbaya...tumezuia aibu za khamsa πtusingepumua kabisaaa mtaani
Huyo itabidi tumsilimishe aje timu ya wananchiHahahaaa. Yaani Mtani nimepata chance kidogo nikaona nije nicheke huku.
Baadae nitaenda nao maana kamoja kana hasira bado za kufungwa jana. [emoji28][emoji28][emoji28] hivyo kakabadilishe mazingira angalau kasahau machungu. [emoji28][emoji28][emoji28]
kwa kweli hongereni πππ π ππIla sio mbaya...tumezuia aibu za khamsa π
kwa kweli hongereni πππ π ππ
Rubbish
poa poaπ π π
Asante asee
RubbishWenye akili na uwelewa wameshaona tofauti kati yetu. From now on you are on your own.
Van pebles naomba Dictionery hebu. Kama huna mwambie Sanchez magoli anipatie.
Au King Ngwaba yako ipo karibu unitafsirie Mtani. ππππ
UMEKOSEA NJIA.Najua siku ile tuliwakera sana... lini Yanga mtatukera kimataifa?
Tuliza matako utajinyea buree
Acha tu Mtani, ile namaliza kupost tu goli likarudi.
Timu haishindi mpaka mvua inyeshe nyumbani kwao, ss hii ni timu au mfano wa timu[emoji848]Hadi huruma hawa watu [emoji23][emoji23]View attachment 1071218
Mkuu naona Man City kang'ang'ania sana kurudi kileleni, anataka kuvunja rekodi ya Man U nini ya 1999[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulishachemka game za Westham na Leicester.
Lakini City anaweza kujikwaa hata kwa Man City au Tottenham, ila hofu kwangu ni je, Liverpool atashinda mechi zote zilizobakia[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ngumu ni hii yenu.
Kama tukishinda hii tunaweza mpa pressure City.