IWAMBI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 730
- 624
Kama yanga alivyoolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama yanga alivyoolewa
@moderator mbona uzi wangu ni kinyume na updates za huu mchezo? Pengine hamuelewi nimeandika nini!Tunashukuru kucheza robo fainali. Ni beyond our expectations. Mchezo wa leo wachezaji wamejituma mno ila tumezidiwa kimchezo.
Kwangu kwa mechi ya Lubumbashi mashujaa ni benchi la ufundi, lakini pia key player leo ni Aishi Manula na Erasto Nyoni.
Tunawashukuru wachezaji wote kwa heshima mliyotupa. Leo mmekutana na timu bora Africa lakini mmekufa kiume.
Tutajipanga michuano ijayo! Vile viporo vijipange!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wasikupe taabu jamaa... Simba Amewaumbua kuwa atatokea makundiTulie kwa lipi...kwa kuingia robo fainali na kutolewa...wanalia ambao tangu wanazaliwa hawajawahi iona timu yao inafika hatua hii
Aibu ya taifaIla mmechapika sana ugenini! 5 + 5 + 2 + 4= ? Sioni mkipata bahati ya kufika hatua msimu ujao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaa si kwa hasira hiziKama yanga alivyoolewa
Endelea kujifariji ila 4g mmeipataTulie kwa lipi...kwa kuingia robo fainali na kutolewa...wanalia ambao tangu wanazaliwa hawajawahi iona timu yao inafika hatua hii
Beki karibu zote haziwezi kufanya tackling wanaufuata mpira kwa macho tu
Wewe una chuki binafsi na Simba hilo linajionesha kwenye comments zako humu hayo kusema tunanunua mechi hayana mashiko na nyie nunueni kama mna hela kwani mmezuiliwa kununua??
Hata wao tuliwanunua
Kwani hilo kombe YANGA wanalo?..?Kwani mlikuwa unatafuta hatua au kombe, kumbe TZ bado sana kufikia wa kimataifa[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Active anaonekana ni Yanga@moderator mbona uzi wangu ni kinyume na updates za huu mchezo? Pengine hamuelewi nimeandika nini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukianzisha uzi wenye jina Simba leo lazima uletwe huku!!! Changamoto sana labda wengine tuache leo ipite lakini inakera.@moderator mbona uzi wangu ni kinyume na updates za huu mchezo? Pengine hamuelewi nimeandika nini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mmechapika sana ugenini! 5 + 5 + 2 + 4= ? Sioni mkipata bahati ya kufika hatua msimu ujao!
Sent using Jamii Forums mobile app