Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

Walitolewa na Asante Kotoko ya Ghana. Kama unatawaliwa na ushabiki huwezi kujua haya mambo. Jifunze kutafuta data kabla hujajiabisha.
Mwaka gani??...mekwambia usilete habari za vijuwe vya kahawa hapa....ndo mana mekwambia hujui lolote..mafanikio makubwa kwa yanga kwenye ligi ya mabingwa ni kucheza hatua ya makundi mwaka 1997 ambapo walimaliza kwa kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa maning rangers ya afrika kusini cha goli sita...historia ya soka imelala hapa wadanganye watoto wenzio
 
Kadanganye wapuuzi wenzio hakuna unalojua kwenye mpira, ati mwaka 1997 yaani hata mwaka hujui matokeo ya mechi husika utayajuaje? Naona umevurugwa na 5G-1. Rudi huku ule viporo vyako kwa hisani ya bodi ya ligi tff.
Mwaka gani??...mekwambia usilete habari za vijuwe vya kahawa hapa....ndo mana mekwambia hujui lolote..mafanikio makubwa kwa yanga kwenye ligi ya mabingwa ni kucheza hatua ya makundi mwaka 1997 ambapo walimaliza kwa kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa maning rangers ya afrika kusini cha goli sita...historia ya soka imelala hapa wadanganye watoto wenzio
 
Mimi ni Simba ila hii tabia team zetu zikifungwa halafu badala ya kujadili future tunaanza kujadili history haina maana yoyote mpira unahukumiwa leo unafanya nini sio miaka 20 sijui iliyopita au hata mwaka jana. Tungekubali kuwa kiwango chetu hapa ndio mwisho na ili team iende mbele yafanyike yapi isiwe ya mwaka huu kufika robo final ikawa ndio mafanikio hata ya mwakani tukaanza kusema 2019 tulifika Q.final haisaidii haya yameisha jana team isukwe kidogo ikiwa tunataka tufike semi final mwakani. Tatizo la team zetu na hapa zote mpaka team ya Taifa ni away games tukipata suluhisho tu tutasogea kidogo mbele. tumeruhusu magoal mengi sana away sijui 16 au 17 mechi 4 tu hii haiwezekani.
 
Mfiaukweli hawezi kujua vitu kama hivi....analeta story za vijiwe vya kahawa...huko huenda huwa wanadanganyana kuwa yanga ashawahi chukua hata ubingwa wa africa

Ni wapi niliandika kuwa Yanga ilifika nusu fainali ya ligi ya mabingwa? Unathibitisha jina alilokupeni Aden Rage. Kipi ni rahisi; kucheza ligi au mtoano? Kama mashindano haya yangekuwa kwa mtindo wa mtoano Simba ingeishia wapi? Wewe kweli ni mbumbumbu.
 
Mwaka gani??...mekwambia usilete habari za vijuwe vya kahawa hapa....ndo mana mekwambia hujui lolote..mafanikio makubwa kwa yanga kwenye ligi ya mabingwa ni kucheza hatua ya makundi mwaka 1997 ambapo walimaliza kwa kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa maning rangers ya afrika kusini cha goli sita...historia ya soka imelala hapa wadanganye watoto wenzio

You are incorrigible. Endelea kuamini unachokiamini.
 
Kiukweli nimeshuhudia ukimya wa jiji, yaani nimeoanisha siku ile wanatinga robo fainali ilikuwa fujo.
Leo nilijaribu kuchungulia na kutoka nje naona mji umepoa utadhani, jeshi la watanzania limetoa "ONYO KUTOKA NJE"
Najua siku ile tuliwakera sana... lini Yanga mtatukera kimataifa?
Tuliza matako utajinyea buree
 
Back
Top Bottom