Roho inaniuma nimetimiza miaka 35 sina mtoto wala maisha

Roho inaniuma nimetimiza miaka 35 sina mtoto wala maisha

Una umri sawa na Jumaa Aweso, mwenzako ni mbunge na waziri wa maji hahaaa
Roho inaniuma jamani Leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.

Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpka Leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii
 
Mimi nina miaka 31 sasa hivi, niko kama wewe ila niko MAKINI.

Ni bora uwe na familia lakini usiwe na hela. Utapambana hata kuilisha kwa GENGE. Elimu watoto watapata hata ELIMU BURE.

Jambo la msingi tu usizae watoto wengi.

Punguza matarajio, oa mwanamke wa kawaida uanze maisha.

Tatizo letu vijana tuna matarajio na ndoto kubwa sana, mwisho wa siku umri unatutupa mkono wakati PESA HATUNA na FAMILIA hatuna.

Tunabaki kuzurula kwenye familia za watu kupiga stori za MAJUNGU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]paragraph ya mwisho
 
Kama una afya njema shukuru MUNGU , kuna ndoa zipo na maisha unakuta wana 45 na hawana watoto, watoto ni zawadi toka kwa mwenyezi MUNGU , tafuta binti wakukufaa kama unauwezo wakulipa kodi oa, lakini kusema mpaka ujenge nyumba sijui gari zuri utakwama tafuta binti wakuendana naye oa, baraka nyingine hupatikana kwa mke na mme!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nina miaka 31 sasa hivi, niko kama wewe ila niko MAKINI.

Ni bora uwe na familia lakini usiwe na hela. Utapambana hata kuilisha kwa GENGE. Elimu watoto watapata hata ELIMU BURE.

Jambo la msingi tu usizae watoto wengi.

Punguza matarajio, oa mwanamke wa kawaida uanze maisha.

Tatizo letu vijana tuna matarajio na ndoto kubwa sana, mwisho wa siku umri unatutupa mkono wakati PESA HATUNA na FAMILIA hatuna.

Tunabaki kuzurula kwenye familia za watu kupiga stori za MAJUNGU.
Umeoa?
 
Roho inaniuma jamani leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.

Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpaka leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii.

Muombe Mungu na Pambana sana

Usikate tamaa ungali hai
 
Hapo sawa...mie nasemaga hata kakangu asioe wadada wanaobandika mikucha mikono yote .ntamvuruga had ajute 😏! Hawaaminiki..wavivu balaa...!
Mimi kwa asili tu, napenda vitu vilivyopoa.

Sipendi heavy make ups, au kitu chochote kinachovuta sana attention.
 
Back
Top Bottom