Roho inaniuma nimetimiza miaka 35 sina mtoto wala maisha

Roho inaniuma nimetimiza miaka 35 sina mtoto wala maisha

Huna maisha sasa umewezaje kuandika thread?

Nishaelewa unachomaanisha, huna maisha kwa maana ya hujatimiza yale maisha ya ndoto na high expectations ulizojiwekewa?

Achana nazo na ujaribu kutafuta vidogo ndio utaweza kufika huko unapopawazia. anzia chini. hapa ndipo watu wengi hasa wenye elimu za juu huogopa na kuona aibu au dharau sababu ya elimu zao. No long or short term plans wala goals.
Matokeo yake kuja kushtuka kumekucha.

Sijui kama unajua hili ila bado hujachelewa ndio kwanza saa 6:30 kuelekea asubuhi.
 
Kuna dogo mmoja, alihitimu ualimu wa shule ya msingi mwaka Mei 2019. Akapata shule kujitolea kufundisha kijijini kabisa,akipewa chumba na vilalio. Kila mwezi alipewa sh. 80,000 tu. Aliamua kufuga kuku wa kienyeji. Mchana wanazurura usiku anawafungia.

Japo alilaani sana kuishi kijijini hadi kutamani kuacha kibarua, siku hizi anakataa kuhamia mjini anataka abaki bush. Kwanini?

Kila wiki anaweza kuuza kuku 5 hadi 10 kwa wastani wa @12,000/=. Na bado anaendelea kufundisha. Hii ina maana akiuza kuku 5 kwa wiki anapata sh. 60,000/= sawa na 240,000/=. Akiongeza na posho ya laki anakuwa na 340,000/= kwa mwezi.

Vijana wengi wanataka kuishi mjini na kufanya kazi bila kuchafuka. Kumbe hata vijijini kuna fursa za kutosha. Rudi nyumbani kumenoga.
 
Kuna dogo mmoja, alihitimu ualimu wa shule ya msingi mwaka Mei 2019. Akapata shule kujitolea kufundisha kijijini kabisa,akipewa chumba na vilalio. Kila mwezi alipewa sh. 80,000 tu. Aliamua kufuga kuku wa kienyeji. Mchana wanazurura usiku anawafungia.

Japo alilaani sana kuishi kijijini hadi kutamani kuacha kibarua, siku hizi anakataa kuhamia mjini anataka abaki bush. Kwanini?

Kila wiki anaweza kuuza kuku 5 hadi 10 kwa wastani wa @12,000/=. Na bado anaendelea kufundisha. Hii ina maana akiuza kuku 5 kwa wiki anapata sh. 60,000/= sawa na 240,000/=. Akiongeza na posho ya laki anakuwa na 340,000/= kwa mwezi.

Vijana wengi wanataka kuishi mjini na kufanya kazi bila kuchafuka. Kumbe hata vijijini kuna fursa za kutosha. Rudi nyumbani kumenoga.
Mie bahat sijui nzuri au mbaya nna marafiki wengi walimu secondary..sasa nna shost ni kichwa balaa anafundisha kemia ..alikuja kwangu nna vifaranga vingii vya kienyeji nikamwambia nimeamua kuongeza kipato pia kupitia kuku wa kienyej zaman nilikua nafuga mradi kuche ss naokota mayai napeleka incubator....akaniamba mhhh mm mume wangu hawez ruhusu niweke vifaranga ndan ya nyumba yake🤣! Ss hyo nyumba anayoisema sasa😶!
Lakini ameridhika na maisha ya kukopa kopa tu .kiukweli mpk leo nabaki kumshangaa. Ana life gumu lakini hafunguki ubongo!ptu
 
kazubaa sanaa, huyu member nilianza mjua jf toka zamani sana. Life style lake linajieleza kupitia thread zake za kitambo sana.. ili kupata ahueni aanze jifanyie Auditing.. aanze kuwa CAG wa maisha yake.. atapata pa kuanzia kunasuka
Uzi wake wa juzi nilimpa facts kama hizi kuna mtu akasema unasema hivuo kwan unamjua? Mtu unamjua tu kupitia andika yake huyu amejilegeza mayb anajua kuna msaada nyuma yake...
 
Uzi wake wa juzi nilimpa facts kama hizi kuna mtu akasema unasema hivuo kwan unamjua? Mtu unamjua tu kupitia andika yake huyu amejilegeza mayb anajua kuna msaada nyuma yake...
Awe CAG wa maisha yake kabla msongo wa mawazo haujashika namba ya kudumu. Ukipitia mabandiko yake mengiu utapata picha kamili ya huyu mtu na maisha yake.. kama uligangulia kumpa facts kama hajakusikiliza anaweza vunjika shingo
 
Kuna Jamaa alipata kazi akiwa na miaka 25 yaan mwaka mmoja baada ya kumaliza chuo kikuu..ila alikuja kufa miaka miwili baadaye yaan akiwa na miaka 27


Kuna mwengine yeye baada ya masomo, aliajiriwa akiwa namiaka 43 akaisha miaka 90


Hilo nisuala la Ajira tu..je wanaojiajili??


KATAA KATAKATA KUJIWEKEA DEADLINE KWENYE MAISHA....wengi wamejiwekea Deadline lkn matokeo yake, tarehe namwaka husika umefika na hawana kitu, wamejikuta ni watu wa msongo wa mawazo sanaaaaa...


Yaaan achana na mambo yakusema nikifika miaka 30 , nitakua na nyunba, gari kazi n.k

WEWE HUJUI KESHO YAKO .. AJUAYE NI MUNGU.


utapanga hili, lkn kumbe Mungu anataka akucheleweshe ili ujifunze jinsi gan maisha yalivyo,nasiku ukiyapata basi uyachezeee.


Muache Mungu aite Mungu ...Komaaa komaaa pambana pambanaa


KUSHINDA LAZIMA USHINDE SIO KWA HARAKA ILA UTASHINDA KWA UHAKIKA.


MUNGU HAPENDI WATU WAVIVU, WANAOKATA TAMAA
 
optimism.

Maisha yanaanza siku ile unatoka tumboni kuja duniani.

Huo msemo ndio unazalisha uvivu wa kufikiri na utegemezi kwa watu chini ya miaka 40.
watu ambao hamjui, ila hamjui kuwa hamjui ni wapumbavu.
 
Roho inaniuma jamani leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.

Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpaka leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii.
Mkuu we are at a same age ila mwezank mm nilibahati kupata mto nikiwa na age ya 25 hv ila HV Sasa ugomvi mkubwa uliibuka nikanyanganywa mtot , kwa kitupi nilinyanganywa jukumu lote Kaz zangu nimepoteza nyingi tu biashara nazo zimekufa nying mno nadata ApA nilipo kwa kitupi celewi hatama ya maisha yangu

Leo nikasiki wimbo fln unasema tenda miujiza niliudowlod nikawa nausikiliza anglau nimsii mungu ktk nyimbo anikumbuke naanza kuona aibu yaani
 
watu ambao hamjui, ila hamjui kuwa hamjui ni wapumbavu.
Good umejinotice na kuadmit kwamba haujui.

Optimism sio kitu kizuri na maisha huanza ile siku unazaliwa mengine ni kujifariji.

Unfortunately hiyo ni Fact na ukweli mchungu.
 
Good umejinotice na kuadmit kwamba haujui.

Optimism sio kitu kizuri na maisha huanza ile siku unazaliwa mengine ni kujifariji.

Unfortunately hiyo ni Fact na ukweli mchungu.
Your IQ is too low to understand!
 
Back
Top Bottom