Roho inaniuma jamani Leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.
Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpka Leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]paragraph ya mwishoMimi nina miaka 31 sasa hivi, niko kama wewe ila niko MAKINI.
Ni bora uwe na familia lakini usiwe na hela. Utapambana hata kuilisha kwa GENGE. Elimu watoto watapata hata ELIMU BURE.
Jambo la msingi tu usizae watoto wengi.
Punguza matarajio, oa mwanamke wa kawaida uanze maisha.
Tatizo letu vijana tuna matarajio na ndoto kubwa sana, mwisho wa siku umri unatutupa mkono wakati PESA HATUNA na FAMILIA hatuna.
Tunabaki kuzurula kwenye familia za watu kupiga stori za MAJUNGU.
DuuuhSasa mkuu miaka 35 tu unalalamika???.mbona yesu tangu arudishe mpira kwa kipa(kupaa mbingun) yuko kwa dingi yake anakula ugali wa shikamoo
Umeoa?Mimi nina miaka 31 sasa hivi, niko kama wewe ila niko MAKINI.
Ni bora uwe na familia lakini usiwe na hela. Utapambana hata kuilisha kwa GENGE. Elimu watoto watapata hata ELIMU BURE.
Jambo la msingi tu usizae watoto wengi.
Punguza matarajio, oa mwanamke wa kawaida uanze maisha.
Tatizo letu vijana tuna matarajio na ndoto kubwa sana, mwisho wa siku umri unatutupa mkono wakati PESA HATUNA na FAMILIA hatuna.
Tunabaki kuzurula kwenye familia za watu kupiga stori za MAJUNGU.
Bado, ila siwezi kuzidi miaka 3 mbele bila kuoa.Umeoa?
Hahahaa...ukihangaika na hao wanaotazamika watakusumbua ukiwa broke...ww pambania demu mwenye brain safiBado, ila siwezi kuzidi miaka 3 mbele bila kuoa.
Sasa hivi niko mawindoni, hata mwanamke akikatalia ghetto poa tu🤣🤣🤣
Muhimu awe anatazamika
Kutazamika simaanishi slay queen. Namaanisha mwanamke mwenye utayari wa kuwa na mume na familia.Hahahaa...ukihangaika na hao wanaotazamika watakusumbua ukiwa broke...ww pambania demu mwenye brain safi
Roho inaniuma jamani leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.
Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpaka leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii.
Hapo sawa...mie nasemaga hata kakangu asioe wadada wanaobandika mikucha mikono yote .ntamvuruga had ajute 😏! Hawaaminiki..wavivu balaa...!Kutazamika simaanishi slay queen. Namaanisha mwanamke mwenye utayari wa kuwa na mume na familia.
Mimi kwa asili tu, napenda vitu vilivyopoa.Hapo sawa...mie nasemaga hata kakangu asioe wadada wanaobandika mikucha mikono yote .ntamvuruga had ajute 😏! Hawaaminiki..wavivu balaa...!