Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

Yaani nimefanikiwa kujenga nyumba tena kubwa ila sijahamia bado vitu vichache nihamie, lakini kinachoniuma kipindi napaua (kupiga bati)niliaminishwa kuwa bati za kampuni fulani (hapa siitaji jina) ni nzuri na nikaonyeshwa nyumba ya jirani yenye hizo bati kuwa hazipauki.

Nilikubali baada ya kukagua na nikajiridhisha kila kitu, nikaenda nunua hizo bati pale Tazara nikapaua nyumba vizuri tu, sasa ni miaka 4 tangu nipaue sijahamia lakini zile bati kwa kweli zinatia kinyaa zimepauka hadi sina hamu ya kuhamia tena huko.

Hapa kinachoniuma zaidi nyumba ya jirani zake rangi iko vile vile na ni yeye aliniagizia alikonunua hadi bei ni hiyo hiyo, na hata jirani na ofisini kuna bati kama hizo hizo zimezungushiwa kama fensi sehemu wanakojenga hazijapauka kila siku naona ni mpya na nashindwa elewa hapa kuna siri gani kwenye hiyo kampuni nyingine zipauke nyingine zisipauke!

Hapa nawaza je! Ninunue bati zingine au ninunue rangi ya bati nikapake upya kwa mkono?

Ushauri wenu naombeni.
Hata Rangi Nyeupe ni Rangi piaaa
 
Piga rangi maisha yaendelee.

Bidhaa huwa zinazalishwa kwa batch. So unaweza kukuta batch moja iko vizuri ila nyingine ikazingua.

So za jirani ni za kampuni Sawa na yako ila ni batch tofauti. Kwa hiyo inawezekana yake iko vizuri ila wewe ulibahatika kununua batch zisizo nzuri.

Hujawahi kuona nyumba moja na bati alinunua za kampuni moja lakini unakuta baadhi zimeshaanza kupauka na zingine bado rangi iko vizuri?

Au unakuta kofia bado zinang'aa lakini bati imepoteza mng'ao wake. Au bati iko poa ila kofia zimepauka!
Kuna Jamaa yangu alinunua bati kampuni iliyotajwa kwenye comment ya mwanzo Kabisa ila zimegawanyika mara mbili

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yaani nimefanikiwa kujenga nyumba tena kubwa ila sijahamia bado vitu vichache nihamie, lakini kinachoniuma kipindi napaua (kupiga bati)niliaminishwa kuwa bati za kampuni fulani (hapa siitaji jina) ni nzuri na nikaonyeshwa nyumba ya jirani yenye hizo bati kuwa hazipauki.

Nilikubali baada ya kukagua na nikajiridhisha kila kitu, nikaenda nunua hizo bati pale Tazara nikapaua nyumba vizuri tu, sasa ni miaka 4 tangu nipaue sijahamia lakini zile bati kwa kweli zinatia kinyaa zimepauka hadi sina hamu ya kuhamia tena huko.

Hapa kinachoniuma zaidi nyumba ya jirani zake rangi iko vile vile na ni yeye aliniagizia alikonunua hadi bei ni hiyo hiyo, na hata jirani na ofisini kuna bati kama hizo hizo zimezungushiwa kama fensi sehemu wanakojenga hazijapauka kila siku naona ni mpya na nashindwa elewa hapa kuna siri gani kwenye hiyo kampuni nyingine zipauke nyingine zisipauke!

Hapa nawaza je! Ninunue bati zingine au ninunue rangi ya bati nikapake upya kwa mkono?

Ushauri wenu naombeni.
Kwani utalala huko kwenye mabati? Kama nyumba inavuja unasababu ya kusumbua ubongo hongera kwa kujenga .
 
Pesa zinakuwasha wewe, yani rangi imepauka unataka kubadili bati kabisa.
 
Yaani nimefanikiwa kujenga nyumba tena kubwa ila sijahamia bado vitu vichache nihamie, lakini kinachoniuma kipindi napaua (kupiga bati)niliaminishwa kuwa bati za kampuni fulani (hapa siitaji jina) ni nzuri na nikaonyeshwa nyumba ya jirani yenye hizo bati kuwa hazipauki.

Nilikubali baada ya kukagua na nikajiridhisha kila kitu, nikaenda nunua hizo bati pale Tazara nikapaua nyumba vizuri tu, sasa ni miaka 4 tangu nipaue sijahamia lakini zile bati kwa kweli zinatia kinyaa zimepauka hadi sina hamu ya kuhamia tena huko.

Hapa kinachoniuma zaidi nyumba ya jirani zake rangi iko vile vile na ni yeye aliniagizia alikonunua hadi bei ni hiyo hiyo, na hata jirani na ofisini kuna bati kama hizo hizo zimezungushiwa kama fensi sehemu wanakojenga hazijapauka kila siku naona ni mpya na nashindwa elewa hapa kuna siri gani kwenye hiyo kampuni nyingine zipauke nyingine zisipauke!

Hapa nawaza je! Ninunue bati zingine au ninunue rangi ya bati nikapake pya kwa mkono?

Ushauri wenu naombeni.
Nunua rangi paka Upya.

Life time ya rangi za mabati ni kati ya miaka 5 hadi 10 tu. Baada ya hapo wote zinapauka na kufubaa bila kujali ni kiwanda gani.

Sasa tayari una miaka minne. Uingie gharama ya kununua bati zingine?
Hapana. Pole kwa usumbufu huo ndio maisha ni bahati mbaya.

Pia aina ya rangi ina strength tofauti tofauti hata kama ni kiwanda hicho hicho kimoja.
 
Piga rangi maisha yaendelee.

Bidhaa huwa zinazalishwa kwa batch. So unaweza kukuta batch moja iko vizuri ila nyingine ikazingua.

So za jirani ni za kampuni Sawa na yako ila ni batch tofauti. Kwa hiyo inawezekana yake iko vizuri ila wewe ulibahatika kununua batch zisizo nzuri.

Hujawahi kuona nyumba moja na bati alinunua za kampuni moja lakini unakuta baadhi zimeshaanza kupauka na zingine bado rangi iko vizuri?

Au unakuta kofia bado zinang'aa lakini bati imepoteza mng'ao wake. Au bati iko poa ila kofia zimepauka!

Mfano mzuri ni kama ana miliki gari, ile tunayoita wheel balance ni kwa sababu ujazo wa tairi hauko sawa kutoka kiwandani tena ni kiwanda kimoja lakini ujazo haufanani, ndiyo maana tunongeza vile vichuma( balancing palletes/ rods) ili kufidia sehemu yenye ujazo dhaifu kwenye tairi.
Kwa hiyo ni kweli unaweza kukuta watu wa Quality Assurance and Control walizembea wakati wa uzalishaji kwenye batch aliyonunua mdau.
Namshauri akanunue ndoo 2 au 3 za Roof Paint, apate mchanganyo anaoutaka kisha apige bati. Zitarudi kuwa poa, lakini lazima ziwe Roof Paint!
 
Back
Top Bottom