Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepiga hiyo rangi ni hatari ipo vizuri sanaMkuu paka rangi,tena piga PVA chapa kiboko,utanishukuru baadae
Bei gani kwa mita ulinunua,miaka 5 iliyopita nilinunua mita moja elf 15 mita 3 kwa elf 45,wakati yale ya upande wa pili waliuza mita sh elf 7.
yep ni kweli, nami nimepiga za kawaida mng'aazo from Alaf, mwaka wa pili huu kama nimenunua janakumbe nazo kuna za kung'aa zaidi ambazo eti hazipatu kutu
Zinapauka Sana tuu ila Kasi yake ya kupauka ni ndogo kuliko rangi zingine.Nadhan na kingine naona kuna rangi hazipauki vile kama brown au green sijawahi ona zinapauka
hakuna shida yoyote, ni wewe tu na chaguo lako, kila rangi zipo, na bati zingatia lipakwe coat mbiliSawa mkuu nitafanya hivyo itabidi tuu hata mafundi zaidi ya 5wamenishauri kampuni hiyo hiyo.
Sory hivi kuna ubaya nikabadilisha rangi ingine?yaani bati ni blue nipake brown
Ulipigwa changa la macho.
Onesha nguvu zako za kiume, ezua weka bati lingine.
Mwaka wa 4 nyumba umeezeka hujahamia itakuwa ukumbi wa wachawi sasa
yep ni kweli, nami nimepiga za kawaida mng'aazo from Alaf, mwaka wa pili huu kama nimenunua jana