Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Hakuna bati isiyopauka sema uchelewaHaipauki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna bati isiyopauka sema uchelewaHaipauki?
Si useme tu ni [emoji560]shine opposite na ile soko la matikiti veteranSijanunua alaf mkuu mi niliaminishwa nikanunua pale tazara kuna kampuni moja kubwa sana inachuana na alaf
Nishapajua wale sioSijanunua alaf mkuu mi niliaminishwa nikanunua pale tazara kuna kampuni moja kubwa sana inachuana na alaf
Kweli ndio maana hapo juu nimemuuliza ni G30 au G28?Kwa jinsi nilivyochunguza nimegundua gauge 28 zinawahi kupauka kuliko gauge 30
Usichukulie poa nyumba ni batiKuna watu mna raha yaanii hadi rangi ya bati inakupa mawazo... kwelii!!!
Walikuchukulia Rejected ziiile.... Kule TBC ndan ndani..... Nilikua natafutaga kiboko bati, nikOneshwa sample og alafu nikalipia wakawa wanapakia famba....Yaani nimefanikiwa kujenga nyumba tena kubwa ila sijahamia bado vitu vichache nihamie, lakini kinachoniuma kipindi napaua (kupiga bati)niliaminishwa kuwa bati za kampuni fulani (hapa siitaji jina) ni nzuri na nikaonyeshwa nyumba ya jirani yenye hizo bati kuwa hazipauki.
Nilikubali baada ya kukagua na nikajiridhisha kila kitu, nikaenda nunua hizo bati pale Tazara nikapaua nyumba vizuri tu, sasa ni miaka 4 tangu nipaue sijahamia lakini zile bati kwa kweli zinatia kinyaa zimepauka hadi sina hamu ya kuhamia tena huko.
Hapa kinachoniuma zaidi nyumba ya jirani zake rangi iko vile vile na ni yeye aliniagizia alikonunua hadi bei ni hiyo hiyo, na hata jirani na ofisini kuna bati kama hizo hizo zimezungushiwa kama fensi sehemu wanakojenga hazijapauka kila siku naona ni mpya na nashindwa elewa hapa kuna siri gani kwenye hiyo kampuni nyingine zipauke nyingine zisipauke!
Hapa nawaza je! Ninunue bati zingine au ninunue rangi ya bati nikapake upya kwa mkono?
Ushauri wenu naombeni.
Ushauri MzuriMkuu paka rangi,tena piga PVA chapa kiboko,utanishukuru baadae
Sun shareJua kwa kingereza alaf mwisho shine
Plascon au kampuni yoyote PVA inapakwa kwa mkono tu na fundi rangi mzuri.Kuna mtu kanishauri hivyo hivyo ila yeye kaniambia ya plascon eti nipake kwa ufagio (softbroom)kama hizi wanzofagia nazo ndani eti ndio rangi itakolea vizuri na akakazia nisutumie mashine eti nikitumia mashine zitajapauka tena baadae
Muwe mnachukua warranty Ili yakipauka kabla ya muda kampuni husika I rehabilitate na wakizingua nenda Mahakamani.Yaani nimefanikiwa kujenga nyumba tena kubwa ila sijahamia bado vitu vichache nihamie, lakini kinachoniuma kipindi napaua (kupiga bati)niliaminishwa kuwa bati za kampuni fulani (hapa siitaji jina) ni nzuri na nikaonyeshwa nyumba ya jirani yenye hizo bati kuwa hazipauki.
Nilikubali baada ya kukagua na nikajiridhisha kila kitu, nikaenda nunua hizo bati pale Tazara nikapaua nyumba vizuri tu, sasa ni miaka 4 tangu nipaue sijahamia lakini zile bati kwa kweli zinatia kinyaa zimepauka hadi sina hamu ya kuhamia tena huko.
Hapa kinachoniuma zaidi nyumba ya jirani zake rangi iko vile vile na ni yeye aliniagizia alikonunua hadi bei ni hiyo hiyo, na hata jirani na ofisini kuna bati kama hizo hizo zimezungushiwa kama fensi sehemu wanakojenga hazijapauka kila siku naona ni mpya na nashindwa elewa hapa kuna siri gani kwenye hiyo kampuni nyingine zipauke nyingine zisipauke!
Hapa nawaza je! Ninunue bati zingine au ninunue rangi ya bati nikapake upya kwa mkono?
Ushauri wenu naombeni.
Hakuna shida ni fahari ya macho tuuHivi zile zisizo na rangi zina shida gani ukilinganisha na zenye rangi...
Kupauka lazima itapauka ila ishu ni mda wa kupauka..Relax bro hiyo ipo kwa wote
Niliezeka bati upande umepauka na upande mwingine zipo vile vile,nyumba ipo kama ina aina 2 za bati,ila nilinunua sehemu moja,duka moja bei moja...ila ukiangalia kwa jirani bati zipo poa tu
Ilimradi sinyeshewi haina shida
Ile kampuni ya kichinaSijanunua alaf mkuu mi niliaminishwa nikanunua pale tazara kuna kampuni moja kubwa sana inachuana na alaf
Ukinunua hakikisha unapewa waranty na risitiUbabaishaji ni mwingi sana.ukienda na fundi kununua mabati ndio kabisa kuna ujinga mm nilinunua bati bomba ila zimepauka hadi naona aibu.fundi mmoja alipanda kurekebisha sehemu akaniuuliza hizi bati mbona umenunua used ? Nikamwambia nimechukua kabisa keko pale ndani bati bomba.kaniambia kuna uhuni umefanyika hizi bati zipo tofauti alafu aina moja...washenzi sana hawa watu.