Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

Kuna siku nilinunua Bati- baada yakufika site Fundi alipokuja alinipigia Simu kuwa zile bati sio za ALAF ni fake. Bahati nna Jamaa angu anafanya kazi ALAF nilipompigia akanielekeza namna ya kutambuwa ALAF original na Fake!

Niliporudi Dukani Mmoja ya alieniuzia (walikuwa wawili) akaanza maneno ya shombo. Mimi nikawaambia wanibadilishie zile Bati wanipe Original au wanipe pesa yangu! Vinginevyo Kesi nawausisha ALAF Ili wawasaidie kuwaonyesha Walipozipata hizo fake ALAF mwenzake aliposikia hivyo akanipa tena Bati 50 zingine.

Akalipia usafiri wa kupeleka original Bati site na kusomba zile fake kurudisha dukani. Ni Zaidi ya Mwaka Bati zote zipo na same color.Pole sana ila kama una risiti ya Hizo Bati washirikishe ALAF mwende Dukani mkakomae nao
.ungetaj hyo kampuni wachina wanaviwanda vingi sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Piga rangi maisha yaendelee.

Bidhaa huwa zinazalishwa kwa batch. So unaweza kukuta batch moja iko vizuri ila nyingine ikazingua.

So za jirani ni za kampuni Sawa na yako ila ni batch tofauti. Kwa hiyo inawezekana yake iko vizuri ila wewe ulibahatika kununua batch zisizo nzuri.

Hujawahi kuona nyumba moja na bati alinunua za kampuni moja lakini unakuta baadhi zimeshaanza kupauka na zingine bado rangi iko vizuri?

Au unakuta kofia bado zinang'aa lakini bati imepoteza mng'ao wake. Au bati iko poa ila kofia zimepauka!
Chukua huu ushauri, paka rangi.
 
Nakushauri spray rangi sio kupaka kwa mkono haitakuwa na mng'ao bora.
Pole aisee umeshikwa kalio.

Ila kuna fundi rangi kaniambia kupaka inatumika fagio laini ndio inakole na akakazia kuwa nikitumia mashine eti zitajapauka tena.au ananipanga hivyo maana mashine hana ili alambe kazi
 
Piga rangi maisha yaendelee.

Bidhaa huwa zinazalishwa kwa batch. So unaweza kukuta batch moja iko vizuri ila nyingine ikazingua.

So za jirani ni za kampuni Sawa na yako ila ni batch tofauti. Kwa hiyo inawezekana yake iko vizuri ila wewe ulibahatika kununua batch zisizo nzuri.

Hujawahi kuona nyumba moja na bati alinunua za kampuni moja lakini unakuta baadhi zimeshaanza kupauka na zingine bado rangi iko vizuri?

Au unakuta kofia bado zinang'aa lakini bati imepoteza mng'ao wake. Au bati iko poa ila kofia zimepauka!
Acha kupotosha mkuu. Kwa kifupi alipigwa full stop.
 
Relax bro hiyo ipo kwa wote
Niliezeka bati upande umepauka na upande mwingine zipo vile vile,nyumba ipo kama ina aina 2 za bati,ila nilinunua sehemu moja,duka moja bei moja...ila ukiangalia kwa jirani bati zipo poa tu
Ilimradi sinyeshewi haina shida
 
Yaani nimefanikiwa kujenga nyumba tena kubwa ila sijahamia bado vitu vichache nihamie, lakini kinachoniuma kipindi napaua (kupiga bati)niliaminishwa kuwa bati za kampuni fulani (hapa siitaji jina) ni nzuri na nikaonyeshwa nyumba ya jirani yenye hizo bati kuwa hazipauki.

Nilikubali baada ya kukagua na nikajiridhisha kila kitu, nikaenda nunua hizo bati pale Tazara nikapaua nyumba vizuri tu, sasa ni miaka 4 tangu nipaue sijahamia lakini zile bati kwa kweli zinatia kinyaa zimepauka hadi sina hamu ya kuhamia tena huko.

Hapa kinachoniuma zaidi nyumba ya jirani zake rangi iko vile vile na ni yeye aliniagizia alikonunua hadi bei ni hiyo hiyo, na hata jirani na ofisini kuna bati kama hizo hizo zimezungushiwa kama fensi sehemu wanakojenga hazijapauka kila siku naona ni mpya na nashindwa elewa hapa kuna siri gani kwenye hiyo kampuni nyingine zipauke nyingine zisipauke!

Hapa nawaza je! Ninunue bati zingine au ninunue rangi ya bati nikapake upya kwa mkono?

Ushauri wenu naombeni.
Mkuu kuna Rangi inaitwa PVA roof, hii ni kwa ajiri ya kupaka kwenye bati au chuma, huwa mfano wa inter(inta) chukua ya kiwanda cha plascon, paka vizuri sana harafu njoo unipe mrejesho
 
Kuna siku nilinunua Bati- baada yakufika site Fundi alipokuja alinipigia Simu kuwa zile bati sio za ALAF ni fake. Bahati nna Jamaa angu anafanya kazi ALAF nilipompigia akanielekeza namna ya kutambuwa ALAF original na Fake!

Niliporudi Dukani Mmoja ya alieniuzia (walikuwa wawili) akaanza maneno ya shombo. Mimi nikawaambia wanibadilishie zile Bati wanipe Original au wanipe pesa yangu! Vinginevyo Kesi nawausisha ALAF Ili wawasaidie kuwaonyesha Walipozipata hizo fake ALAF mwenzake aliposikia hivyo akanipa tena Bati 50 zingine.

Akalipia usafiri wa kupeleka original Bati site na kusomba zile fake kurudisha dukani. Ni Zaidi ya Mwaka Bati zote zipo na same color.Pole sana ila kama una risiti ya Hizo Bati washirikishe ALAF mwende Dukani mkakomae nao

Nisaidie kujua fake na Og. Please
 
Mkuu kuna Rangi inaitwa PVA roof, hii ni kwa ajiri ya kupaka kwenye bati au chuma, huwa mfano wa inter(inta) chukua ya kiwanda cha plascon, paka vizuri sana harafu njoo unipe mrejesho
Haipauki?
 
Tazara kuna kampuni mbili zinazotengeneza bati ipi SAsa ya kulia au ya kushoto
 
Kuna siku nilinunua Bati- baada yakufika site Fundi alipokuja alinipigia Simu kuwa zile bati sio za ALAF ni fake. Bahati nna Jamaa angu anafanya kazi ALAF nilipompigia akanielekeza namna ya kutambuwa ALAF original na Fake!

Niliporudi Dukani Mmoja ya alieniuzia (walikuwa wawili) akaanza maneno ya shombo. Mimi nikawaambia wanibadilishie zile Bati wanipe Original au wanipe pesa yangu! Vinginevyo Kesi nawausisha ALAF Ili wawasaidie kuwaonyesha Walipozipata hizo fake ALAF mwenzake aliposikia hivyo akanipa tena Bati 50 zingine.

Akalipia usafiri wa kupeleka original Bati site na kusomba zile fake kurudisha dukani. Ni Zaidi ya Mwaka Bati zote zipo na same color.Pole sana ila kama una risiti ya Hizo Bati washirikishe ALAF mwende Dukani mkakomae nao
Bati za Alaf ukiwa Dar nenda tu kiwandani mwao pia zinachapa yao kwa KILA bati
 
Back
Top Bottom