Swali ulilolijibu ni lipi?
Kwanini ni muhimusana kwa Mungu huyu kuwa na mwanadamu anayemtii na kumuabudu?
Manasema Mungu mkubwa sana kwa uwezo, ujuzi etc, kwa nini ni muhimu sana mwanadamu amuabudu Mungu huyu?
Huyu Mungu hana mambo muhimu zaidi ya kufanya kuliko kutakakuabudiwa na mwanadamu kama rais dikteta anayependa kupigiwa makofi na wananchi masikini?
Mungu angeumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, mwanadamu ana uwezo wa kuchagua mazuri tu, angepungukiwa na nini?
Mungu anapenda kuabudiwa kiasi kwamba ameona ni sawa ulimwengu uweze kuwa na mabaya yote haya ili yeye aabudiwe tu?
Huyo ni Mungu mwenye upendo kweli?
Baba anampa mtoto mdogo asiye na akili pevu uamuzi wa kunywa maziwa au sumu, ili kusudi apate fahari tu kwamba mtoto anamsikiliza baba, wakati angeweza kuondoa sumu, mtoto anywe maziwa tu wala asipata nafasi ya kunywa sumu.
Huyu Baba utamsifia useme ana upendo?
Tushaona mwanadamu hana free will, hawezi hata kurudi nyuma katika muda aende kupiga story na mama yake aliyefariki 1982.
Kwa hiyo habari za fee will ni uongo. Pia,vitabu vya dini vinasema tunamjua Mungu kwa neema zake tu, si kwa jitihada zetu. Hapo hamna free will. Wanaomjua Mungu hawamjuikwa sababu wamejitahidi kumjua, bali kwa sababu yeye amewachagua wamjue,sasa kwa msingi huo, free will iko wapi?
Vitabu vya Mungu vinasema tunaokokakwa neema (Biblia). Quran inasema kuna watu Mungu atafanya mioyo yaoiwe migumu wasimjue Allah, hawa hata wakijitahidi vipi hawatamjua Allah, kwa sababu Allah mwenyewe atakuwa kaifanya mioyo yaoiwemigumu kumjua.
Sasa hawa wana free will gani?
Kwa nini baba mwenye uwezo wakumpa mwanawe maziwa tu, anywe ashibe, anampa uamuzi wa kuchagua maziwa anywe ashibe au sumu anywe afe?
Baba akitoa uchaguzi huo kwa mtoto ambaye hana akilipevu, utasema baba huyo ana upendo kweli?
Kwa nini baba mwenye uwezo wakumpa mwanawe maziwa tu, anywe ashibe, anampa uamuzi wa kuchagua maziwa anywe ashibe au sumu anywe afe?
Baba akitoa uchaguzi huo kwa mtoto ambaye hana akilipevu, utasema baba huyo ana upendo kweli?
Obviously huyo Adam hakuwa na akilipevu ndiyo maana akashawishika.
Kwa nini Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote alimpa uchaguzi wa mema na mabaya Adam wakati alikuwa na uwezo wa kumpauchaguzi wa mema tu katika dunia ambayo mabaya hayawezekani?
Hujajibu swali hili.
Ukisema alitaka wanadamu wawe watii, utii unamuongezea nini Mungu? Kwa nini anapenda utii ambao unakuja na mabaya mengi sana?
Unaweza kumpa mwanao sumu apate chance ya kufa ili upate ufahari tu kwamba asipokunywa sumu ni mtii?
Mbona ukiwa baba kama huyo mwanadamu utaitwa katili? Mungu wenu katili?