Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Tumia chumvi lakini pia nyota yako imevutwa na yake ndio maana yeye kasimama zaidi na wewe umetingishwa
 
Tumia chumvi lakini pia nyota yako imevutwa na yake ndio maana yeye kasimama zaidi na wewe umetingish

Tumia chumvi lakini pia nyota yako imevutwa na yake ndio maana yeye kasimama zaidi na wewe umetingishwa
Asante. duh kumbe nyota inaweza kuvutwa tu from nowhere. sasa je kama imevutwa ndo itakuwa hivyo milele? au kwa kutumia chumvi nitarudi kwenye hali ya zamani?
 
Asante. duh kumbe nyota inaweza kuvutwa tu from nowhere. sasa je kama imevutwa ndo itakuwa hivyo milele? au kwa kutumia chumvi nitarudi kwenye hali ya zamani?
Kwingine konge utapigwa chumvi itaweka kila kitu sawa


Upungufu wa kinga za kiroho
 
shukran mkuu. ngoja nianze kuoga chumvi duuh i wish ningejua kitambo
 
Asante. duh kumbe nyota inaweza kuvutwa tu from nowhere. sasa je kama imevutwa ndo itakuwa hivyo milele? au kwa kutumia chumvi nitarudi kwenye hali ya zamani?

CD4 za Maisha zinaposhuka!
 
Mkuu sasa roho ya kukataliwa km ile ya maskini unaitaka ya nini??

Saaana atakuibia tu. Shida nyiiingi kulialia tuuu!! Mimi bana wa hivi wanikatae tu.roho km ya jiwe huyo anikatae tu.make utaishi kwa mashaka sana.

Tunataka roho zile nzuri mnooo!! Za Km queen elizabeth. Bush family za kukubaliwa zile za matajiri hasa wa ukoo!! Km Rockfella family.

Hapo sawa! Nitakuekewa!
 
tu.roho km ya jiwe huyo anikatae tu.make utaishi kwa mashaka sana.

Tunataka roho zile nzuri mnooo!! Za Km queen elizabeth. Bush family za kukubaliwa zile za matajiri hasa wa ukoo!! Km Rockfella family.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Kama chumvi na mchawi ni paka na panya? Nina maswali mawili yananipasua sana Ubongo wangu?

1. Kama chumvi na mchawi ni vitu viwili tofauti kabisa, je chakula cha wachawi huwa hakina chumvi?

2. Wachawi wanafahamika kwamba wanapenda sana kula nyama ya binadamu.
Lakini nyama ya binadamu inasifika sana kuwa ndio nyama yenye chumvi kutokana na nature ya vyakula vya mwanadamu kuwa na high concentration of salt level ukilinganisha na wanyama wengine, je hii imekaa vp?
 
Kwanza wachawi hawapiki vyakula vyao na hata kama ni kwa mganga ukipewa chakula chumvi yake ni ya mbali
Pili kuna tofauti na familia ya mchawi na uchawi wenyewe..uchawi/uganga huvaliwa kama nguo si wakati wote anakuwa nao
Chumvi ninayoongelea hapa ni chumvi ya mabonge na si ile ya nyumbani ya kuweka kwenye chakula
Nyama ya binadamu ina chumvi lakini si chumvi ya mabonge..huwezi kumkamua na kutoa hata robo

 
Dah!
Nahic shetan alinidhuru wakati wa kuzaliw kurudi nyuma,
Nna mazito mengi basi tu,
Mungu ndio anajua.
Ila kwa tiba ya chumvi mwanga Ninauona.
 
Vyakula vya wachawi ni damu na nyama.. Chumvi ya kwenye nyama ya ni binadamu ni tofauti na chumvi halisi.. Huwezi ku extract nyama upate chumvi labda mafuta.. Hata hivyo nyama ya binadamu haina chumvi kihivyo.. Usiniulize nimejuaje[emoji2]
 
Dah!
Nahic shetan alinidhuru wakati wa kuzaliw kurudi nyuma,
Nna mazito mengi basi tu,
Mungu ndio anajua.
Ila kwa tiba ya chumvi mwanga Ninauona.
Endelea usiache
 
Mshana Jr nahic kuna kitu hukiweki wazi hapa na sijui kwa nini,
Binafsi naamini zipo dawa za kufungua magonjwa ya ushirikina na mtu akapona kbs.
Ingawa angalizo kwa hawa wataalamu wengi wao ni wapuuzi mno na wenye tamaa za ajabu ajabu, ndio problem maker and problem solver.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…