Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Tiba zipo lakini kwanza ni lazima kujua chanzo na asili ya tatizo.. Maradhi ya kiroho hayana tofauti na maradhi ya kimwili ... ! Ni muhimu na ni lazima kujua tatizo ninini na limesababishwa na nini ndio upate tiba kulingana na tatizo husika.

Kwenye tiba za kiroho wengi wanafeli kwakuwa wanakuwa hawana ufahamu na kutosha na asili ya tatizo hivyo hutibu kwa kubahatisha tuu
 
Sawa mkuu,
VP nikienda kwa mtaalam akanitatulia tatizo,
Mfano mahusiano na watu yakakaa sawa,
Nikawa na amani na furaha,nk
Huo ndio ushirikina au?
 
Kuna namna nyingi ya kujua ladha ya kitu
Mwanadamu hana milango mitano ya fahamu na ulimi ndiyo mlango pekee wa Mwanadamu ambao unahusika na utambuzi wa ladha mbalimbali za vyakula kupitia njia ya mdomo.

Je, uliwezaje kujua ladha ya chakula bila kuonja kwa kupitia njia ya mdomo?
 
Kuna tiba za asili/mitishamba
Kuna tiba za maombi na dua
Kuna tiba za kisuna
Kuna tiba za kitabu
Kuna tiba za tunguli
Kuna tiba za majini mizimu na kafara

1 Naomba kuuliza hivi tiba ya kurushiwa nafaka hii inakuwaje.

2 Kisomo cha kuambiwa uelekee kibla na wasomaji wakiwa nyuma yako inakuwaje.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Mkuu hivi ni chumvi gani naweza kutumia? Kuna x wangu ananichukia sana.
 
Mwanadamu hana milango mitano ya fahamu na ulimi ndiyo mlango pekee wa Mwanadamu ambao unahusika na utambuzi wa ladha mbalimbali za vyakula kupitia njia ya mdomo.

Je, uliwezaje kujua ladha ya chakula bila kuonja kwa kupitia njia ya mdomo?
Milango ya fahamu ni sita sio mitano. Wa sita ni invisible.
 
1 Naomba kuuliza hivi tiba ya kurushiwa nafaka hii inakuwaje.
2 Kisomo cha kuambiwa uelekee kibla na wasomaji wakiwa nyuma yako inakuwaje.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
1. Ni tiba ya kishirikina
2. Ni tiba yenye imani ndani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…