Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Duuu weee jamaa mimi nipe dawa ya kuruka na ungo usiku na kuvinjari kwa nyumba za watu usiku hii itanisaidia kuepuka vibaka

Niko tayari kwa gharama yeyote ile nakupa
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kaka Mshana naomba tuwasiliane pm nina tatizo naomba msaada wako
 
Dah aisee mkuu hii mada umeniongelea mimi kabisa yaani yote uliyoyaelezea humu yamenitokea.
 
Hebu piga therapy ya chumvi mwezi mzima utaniambia
sawa nitafanya hivyo mkuu,kuna kipindi nilijaribu kuitumia chumvi kwa wiki niliona changes fulani za kutafutwa na watu yaani simu hazikauki lakini baada ya mwezi inarudi tena hali yangu ya nyuma sijajua kwa nini
 
sawa nitafanya hivyo mkuu,kuna kipindi nilijaribu kuitumia chumvi kwa wiki niliona changes fulani za kutafutwa na watu yaani simu hazikauki lakini baada ya mwezi inarudi tena hali yangu ya nyuma sijajua kwa nini
Endelea usiache pia soma na hii itakusaidia


Upungufu wa kinga za kiroho
 
sawa nitafanya hivyo mkuu,kuna kipindi nilijaribu kuitumia chumvi kwa wiki niliona changes fulani za kutafutwa na watu yaani simu hazikauki lakini baada ya mwezi inarudi tena hali yangu ya nyuma sijajua kwa nini
Na hii pia

CD4 za Maisha zinaposhuka!
 
asante mkuu nitaifuatilia na hii pia
 
Nilikuwa sijakutana na hii. Nimejifunza kitu. Ubarikiwe Sana mkuu
 
Hivi mtu akikuibia nyota akaenda kutumia akapata mafanikio huwa hairudi?
Na Je, kama ikirudi bado itakuwa na Nguvu ile ile kama iliyokuwa nayo mwanzo wakati inaibiwa, au itakuwa imefubaa baada ya kurudi?
 
Hivi mtu akikuibia nyota akaenda kutumia akapata mafanikio huwa hairudi?
Na Je, kama ikirudi bado itakuwa na Nguvu ile ile kama iliyokuwa nayo mwanzo wakati inaibiwa, au itakuwa imefubaa baada ya kurudi?
Hii ishu ya kuibiwa nyota ina mkanganyiko mkubwa na uhalisia wake una walakini mkubwa...lakini kwa kujibu swali lako kama imeibiwa itarudi tu na nguvu yake itabaki kuwa ileile
 
Hii ishu ya kuibiwa nyota ina mkanganyiko mkubwa na uhalisia wake una walakini mkubwa...lakini kwa kujibu swali lako kama imeibiwa itarudi tu na nguvu yake itabaki kuwa ileile
Bro Mshana umeongelea swala la kuibiwa nyota nimekumbuka kitu. Mimi nilikuwa ni mtu mwenye bahati sana miaka ya nyuma yaani nazungumzia bahati ya kupendwa na watu, ya kushinda bahati nasibu bahati ya maisha yani maisha yalikuwa yamenyooka. ila tangu nikutane na baba wa mtoto wangu wa kwanza (sasa hivi nimeolewa na mtu mwingine) mambo yangu yakaanza kuharibika kila nifanyalo haliendi madeni yakaanza alafu yeye maisha yake ndo yamekuwa mazuri wakati mwanzo hayakuwa hivyo, najiuliza ameniibia nyota yangu? na je nikitumia chumvi kuoga itarudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…