Roho yangu inaanza kukaa mbali na huyu ndugu yangu, je nina makosa mimi kutopokea simu zake?

Watu Wa namna hiyo wapo. Yaani wanakuwa over concerned kuhusu maisha yako, wanatamani yaani ufanikiwe ili mioyo yao ifurahi.. Kiufupi anakupenda na anashindwa kujizuia kukufuatilia
Kabisa yaani
 
Nimeandika nikafuta. Aseee ngoja ninyamaze tu.
 
we boya kweli me natamani mtu aniulize nn nafany ww unasema aunt anakusumbuaa daah
 
Jirekebishe wewe binafsi,achana na imani za wananzengo shangazi yako ana upendo wa kweli juu yako,
Akikuuliza mjibu ili nafsi yake pia ifurahi na usimfiche maana pia aweza kuwa anakuombea juu ya kazi za mikono yako na malengo yako kwa ujumla
 
Shangazi yako hana shida mwenye shida ni wewe mwenye msongo wa mawazo
 
Jirekebishe wewe binafsi,achana na imani za wananzengo shangazi yako ana upendo wa kweli juu yako,
Akikuuliza mjibu ili nafsi yake pia ifurahi na usimfiche maana pia aweza kuwa anakuombea juu ya kazi za mikono yako na malengo yako kwa ujumla
The best comment
 
Huyo shangazi yako kama bado mmbichi,nakushauri mgonge..maana ndicho anachokihitaji kwa sasa.
But hizo ni observation zangu
 
Sijaelewa kabisa

Aliyeelewa MSAADA tafadhari
Ufahamu wangu mdogo kuhusu sisi waswahili, ndg yetu mtoa mada tayari yupo kwenye habari za ushirikina.......anahisi anonewa kijicho na huyo shangazi yake. Kwamba 'si bure kumfuatilia huko, lazima kuna namna (anataka kumroga asiendelee)'!
 
Mi sioni kama umekosea,maana kuna watu wengi wa aina yako hawapendi kuulizwaulizwa maswali hata yawe ya ubora kias gani.Sasa,jitahidi umwambie katikati ya story tena huku mkicheka kwamba hupendi udadisi wake
 

Mkuu ukiona roho inakataa pahala Uzingatie yawezekana huyo aunt sio poa ila take your time kabla hujareact
 
Sisemi shangazi yako ana changamoto ila nina babu yangu kiukoo ,nimefahamiana naye ukubwani ni mtu anajihusisha na uganga wa kienyeji maswali yake ni kama hayo unayopata toka kwa shangazi

Binafsi sipendi kuulizwa ulizwa maswali kuhusu maisha,mshahara,niko wapi narudi lini, niliamua kupiga block tu maana ilikuwa haipiti siku 2 lazima niulizwe

Yote kwa yote akili za kuambiwa changanyia na za kwako
 

Hahaha Umejuaje ana tabia ya kupenda kusikia Mtu ana matatizo, hlf umenikumbusha, mm huyu aunt yangu ni mwaka wa 9 huu sijawahi kumuombaga hela, sanasana ikitokea event za kifamilia saa ingine mm nachangia pesa nyingi kiasi..

1)Sasa kwenye maongezi, Nsipoenda kwake ataniambia mbona huji, huna nauli, biashara hazikuingizii hela?

2)Siku ingine ataniambia maisha magumu, huenda ipo siku nitaenda Kwake mimi na mke wangu nimwambie tuna siku tatu hatujala (Sijaoa)

3) Siku fulani aunt akaniambia kuna kipindi ulikua unagawa pesa, tukasema huyu hajui kama Hizo pesa zitakuja kuisha..

Mmmh ingawa alivoniambia ni uhalisia wa maisha lkn nikasema huyu mtu mbona imagination zake kwangu ziko negative Keenly witnessj Niwaheri
 
Hata mkipendwa mnasema anakufuatilia.

Sometimes ulivyo ni maombi yake,
 
Kumbe ukweli unaujua kabisa...mwanga huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…