Role of Indians in the Tanzanian Economy

hahaha, thanks. asante kwa kubadilisha hicho kichwa cha habari.labda magabacholi was much more offensive. sitaki watu wapigane mawe njiani. mnatakiwa kusovu tatizo mapema. siku likija kulipuka hili,mtakuja mlale milango wazi. I am not racist anyway.
 
kusema ukweli, mimi sio mbaguzi. ila kwa wahindi nataka niwe mbaguzi tu. mbona huwa hawako royal sana na nchi yetu, halafu huwa wanajifanya sio watz?..

Tusikubali itikadi za kibaguzi na chuki hapa jf. Wewe ni mbaguzi au ignorant!! correction, sio royal ni loyal. You need to check yourself, maana wabaguzi ndio tabia zao, umeamua kuwahukumu watz wote wenye asili ya kiasia.
 
tusianze ubaguzi

kama ufisadi tuongee ufisadi kwa jumla usitake tupigwe mawe nnjiani

Hatuwezi kuongelea ufisadi bila kuwaongelea hawa wahindi. Kid kaongea ukweli ila ukweli wakati mwingine unasound vibaya lakini utakuwa ndo ukweli wenyewe.

Kwa biashara wanazofanaya hawa Magabachori, kama wangekuwa kweli loyal na Tanzania tungeweza kuona matunda yake,lakini kwa vile wapo hapa kuchuma tu ndo maana hawajengi,hawaweki sehemu kubwa ya pesa zao katika benk za Tanzania na hawawekezi. Sidhani pia kama dhumuni la kujenga NH ilikuwa nikwa ajili ya kuwapatia hawa Magabachori nyumba na si watanzania.They are living in their own world within Tanzanian territory.
96% ya biashara za hawa magabachori ni haramu, kwa maana ya kuwa hawalipi kodi inavyostahili.Bereau de Change wanazomiliki ndo sehemu znazotumiwa kuhamisha pesa toka Tanzania. Wengi wana Maghala zaidi ya mawili na watu wa mamlaka ya kodi either kwa kushirikiana au kutokujua hawafahamu bidhaa zao zingine zinahifadhiwa wapi.Baadhi hupakua mizigo yao usiku,kwenye hizo disclosed location.
It is time we start talking about this issue, kukwepa kuliongelea eti kwa sababu ya kuogopa kuonekana wabaguzi ni kujidanganya. Huu ni ugonjwa within Tanzania ambao unatutafuna.

Tusiwajadili kwa sababu ni Wahindi ila kwa sababu ni Wahindi wasiokuwa na maslahi kwa Tanzania.
 
Tusikubali itikadi za kibaguzi na chuki hapa jf. Wewe ni mbaguzi au ignorant!! correction, sio royal ni loyal. You need to check yourself, maana wabaguzi ndio tabia zao, umeamua kuwahukumu watz wote wenye asili ya kiasia.

samahani. kama nimeeleweka vibaya. ila, ukweli ndo huo, meseji sent. Ni kweli kama wengine wanavyosema, wahindi na waarabu wana terriroty ya kwao humu tz. Yaanu uhindini. wanashirikiana wao kwa wao tu kibiashara. wanazo hadi tz za kwao tu kule kariakoo. huwezi amini. Mimi siwahukumu kama vile ni wahindi, ila wahindi wala rushwa, wasiolipa kodi,na vibaraka wa viongozi wa selikali. Najua kuwa kuna kundi wahindi na waarabu waaminifu...ila ni wachache sana. Naomba tuongee kitu cha ukweli, tusiogope kuumiza moyo wa mtu mmoja kama wewe, tukaumiza taifa zima la Tz. Nawaomba wahindi wote na waarabu,waasimileti na sisi watz, ili wawe loyal kwetu kama kawaida. wawe wapigania nchi hiii, sio walaji wa nchi hii. magodauni makubwa ya wahindi hawa hapa bongo ni mengi, bidhaa ni nyingi. wanalipa kodo kweli?....sisi wengine humu ni wafanya biashara vilevile.tunajua tunachooongea. usifanye mchezo na mhindi. anaogopa mahakamani kama nini. akiona wewe unaleta kauzibe kwake, yuko tayari hata kuhonga majambazi wakutoe roho. ni hatari mno.

wanakula dili na watu wa TRA, ili waonyeshe vitabu halisi vya kukaguliwa na TRA,yaani kuna kundi lia
1.mahesabu ya kuonyesha kwa TRA
2.mahesabu ya kuonyesha familia zao
3.mahesabu na mali za kuonyesha bank wanapotaka kukopa.

hivi vyote ni tofauti. ni dili mtindo mmoja. kwanini wafanye hivi na wao ni watz? na familia zao nyingi zimejaa Canada na uingereza?mbona pale chuo udsm hakuna hata mhindi mmoja anasoma pale, wote wanasomesha watoto wao nje?wachache sana wanasoma pale IFM,hao ndo waliochoka. asante.Kama kuna mhindi humu, naomba aupokee ukweli huu, na akienda kwenye vikao vyao, wakafanye mpango wa kujirekebisha tabia hizi.
 
Mimi nafikiri hicho kichwa cha habari pia hakijitoshelezi kama inavotakiwa.

Hawa wenzetu hawali rushwa, bali wanaitoa na kusaidia kuelekeza wapi iende kama ni katika masuala ya biashara, ardhi, mabenki (money laundering) na kila aina yote ya kuwasaidia wao kufadika na mfumo ambao ulikwishasukwa zamani.

Na hapa ndio mfumo mzima ambao unawatambua wa serikali nao unashiriki. Haiwezekani kwamba mapato yoote ya serikali kwa siku yawe sawa siku zote na kama kweli maofisa wa TRA wanakusanya kodi au nao wanageuzia milangoni kwa kupokea bahasha.

Ntatoa mfano wa mmoja wa wafanya biashara ya vyakula (nahifandi jina lake) Huyu kuna kipindi aliingiza mchele au unga mbovu kutoka nje ya nchi na kuna wakati vyakula hivo vilichomwa mot na kuharibiwa kwa sababu vilikuwa havifai kuliwa.

Lakini huyu jamaa angeweza kununua vyakula kutoka katika mashamba yaliyopo Tanzania iwe mchele, unga na vingine na kwa njia hiio angekuwa ame-sort suala la wakulima kulipwa mafao yao na kuwa na fwedha za kujikimu na kupeleka watoto shule na kwa njia hio huyu jamaa angethaminiwa sana.

Lakini mimi binafsi simthamini hata kidogo na ninamwona ni mtu anaejali maslahi binafsi na hana haja ya kuwanufaisha watanzania wenzie ingawa anajiingiza katika maeneo kama michezo ili ku-boost image yake na huku akificha uovu wake wa kupata fwedha kwa haraka.

Ni pale atakapokuja mtu na mawazo ya kuwashirikisha hawa wenzetu ili watusaidie katika masuala kama ajira, ulipaji kodi kunakostahili, ndio tutaona na kutambua mchango wao Tanzania.

Sikatai kama wenzetu wamewahi na wana-enjoy kila "weekend" kwenda baharini kupunga hewa na kutunga mikakati ya "deals" lakini wakati mwingine kunahitajika mabadiliko makubwa yatayowafanza wao kuelewa kwamba wanaishi na watanzania wenzao.
 
Kwa ufahamu wangu mie mdogo Uhalifu hauna kabila rangi wala dini,ila kwa kuwa hawa wenzetu hao hawana asili ya Tanzania endapo wakipatakana na makosa hayo huonekana ni wahalifu wenye kuhujumu nchi.
Hivi hakuna watanzania wenye asili ya kiafrika wanaokwepa kodi?Hakuna majambazi?hakua wala rushwa na watoa rushwa?Tutaanza kwa hao wahindi na waarabu.tukiwamaliza tutaanza wachaga!Kusema wachaga wakwepi kodi wana ubaguzi,tukimaliza wachaga tuta anaza wahaya!hivyo hivyo !Dhambi hiyo itaendelea!
 
Najua kuwa kuna kundi wahindi na waarabu waaminifu...ila ni wachache sana.
Hizo statistics (data) umezitoa wapi?
Nawaomba wahindi wote na waarabu,waasimileti na sisi watz, ili wawe loyal kwetu kama kawaida.
Hivi unajua maana ya hilo neno (assimilate)? Wewe ukienda nchi nyingine, utaasimileti? NA Mkapa, Balali etc ni wahindi?
sisi wengine humu ni wafanya biashara vilevile.tunajua tunachooongea. usifanye mchezo na mhindi. anaogopa mahakamani kama nini. akiona wewe unaleta kauzibe kwake, yuko tayari hata kuhonga majambazi wakutoe roho. ni hatari mno.
Soma maneno yako hapo juu kwa sauti, then say you are not racist
mbona pale chuo udsm hakuna hata mhindi mmoja anasoma pale, wote wanasomesha watoto wao nje?wachache sana wanasoma pale IFM,hao ndo waliochoka.

Kama huna hoja kaa kimpya..
 

Mkuu,

Tatizo hawa watu wanaiba ndani ya mfumo ulo rasmi yaani wanashirikiana na hao baadhi ya wenye asili ya kiafrika ambao ndio serikali na asasi zake kama TRA na TAKUKURU.

Na wizi wao ni ule endelevu wa kujitajirisha kidogokidogo huku wakihamisha mali na kuipeleka kwenye mifumo bora ya uchumi kama Ulaya magharibi.

Hapa katika uchumi duni wa Tanzania hatuwezi kuendelea na matokeo yake tunakuwa na majambazi ambao huwa na malengo ya kupata sehemu ya mali hio kwa njia ya mtutu wa bunduki.

Jambazi anaeiba property yoyote ile ni kwa ajili ya yeye kuwa sawa na yule mwenye property ile awe muasia au mweusi au mwarabu.

Na pia kuna aina na aina za majambazi, sasa inabidi ufanze "homework" ujue aina za majambazi ikiwa ni pamoja na watu kama Andrew Chenge na jambazi mwingine maarufu wa Mtoni Kijichi ambae si rahisi kuweka fwedha kisiwani Jersey.
 
Ni kweli wahindi ni mafisadi lakini sio peke yako, Chenge ni mhindi?, Lukaza ni mhindi?, Mramba ni mhindi, Hosea ni mhindi? etc etc etc, kwa hiyo kama ni kupambana na ufisadi tupambane nao, itakuwa ujinga kama tukianza ukaburu. Ufisadi ni ufisadi tu, tusishift attention kwa wahindi, inatakiwa attention iwekwe kwenye ufisadi, sio certain racial group.
 
Hii mada ni nzuri ingawa naona kuna watu wanatafuta kuipindisha. Hapa hatuzungumzii suala la race, ila tabia za hawa watu tulio nao. huwa naona kuwa kwa Watanzania walio wengi ukitaka waseme sana basi sema WADHUNGU wanatuibia, we utaona watu wanavyofungua vinywa vyao na hata hutasikia suala la ubaguzi hapo. Tumejenga utamaduni wa kumchukia mzungu kuliko ile kawaida yake na hilo linatuponza kwani katika watu wanoisaidia nchi hii wao ni wa kwanza. Kwa mfano sakata la BOT lisingekwenda popote kama si shinikizo la hao ndugu, pili ni suala la VIJISENTI, hakuna ambacho Mtanzania wa kawaida angeambulia kama si rungu la wafadhili hao.

Suala la Richmond ukifuatilia kwa karibu utagundua kuwa waasia walioko huko ndio walioji-put kama wamiliki wa Richmond. Soma vizuri majina yao utagundua ni watu gani wanazungumziwa hapo.

Angalia suala la EPA utagundua hao tunaowaita ndugu zetu ndo wahusika wakubwa katika kutumaliza.
Kwani hata huyo aliyekuwa dalali wa kutuuzia vitu vibovu ni nani? (ndege ya rais, radar, na vingine vingi).

Kwa mimi ningetumia lugha ambayo wengi wenu hamtaipenda lakini kwa kuwa ni haki ya kusema naomba niseme tu na kwa yule nitakayemkwaza naomba radhi mapema. Watu hawa mimi naita makambale, yaani ni viumbe vikaavyo kwenye matope.

Naomba radhi tena kama kuna mtu nimemuudhi!!
 
Tumezidi kuwalaumu hawa, mnawaita wezi, matapeli...kwanini sisi tunakubali kutapeliwa? Mambo ya ubaguzi hayafai kabisa wakati ni viongozi wetu ambao ni waafrika ndiyo wanatuharibia mambo. Kila mtu achunguzwe kwa mambo anayofanya bila kuangalia ametoka wapi.

Acha kuwatukana watanzania wengine ambao ni wahindi na rangi nyingine ambao wamekulia vijijini kama wengi humu na wanaathirika kama waafrika wengine. Sioni tatizo ya hao wengine kuishi karibu na ndugu zao maana tukumbuke ni moja la kundi la watu ambao linachukiwa East Africa nzima. Mbona hulalamiki wamasaii wanavyoishi kivyao huko kwao?
Waafrika cha kujiuliza, ni nini tunaweza kufanya kujiendeleza kuliko kulalamika kuwa tunaibiwa na wengine, wakati Mawakili ni Africans, president is African, Government is African, almost 90% of civil servants are Africans (ALL THESE PEOPLE ARE RESPONSIBLE FOR SAFE GUARDING RULES AND REGULATIONS - how can you raise the issue of Indians or other races to say wanatuhujumu tu wakati ni sisi ambao tunajukumu la maendeleo...
 
WanaJF, pengine ni vizuri kuangalia historia ya wafanyibiasha wa kiAsia ili kuona influence yao katika biashara Tanzania. Upembuzi huu hapa chini, ni mrefu kidogo, unatowa mwanga kwa swala hilo

 


Good one, lets not look for excuses and take responsibilities. Tunapiga vita mafisadi, wawe wahindi warabu, wamachinga, wachanga, wahaya etc. we don't care..
 

Hivi kuwaita Wahindi au Magabacholi, eti ni matusi? Au kuwajadili period ni tatizo?

Somebody help me please!
 
Hivi kuwaita Wahindi au Magabacholi, eti ni matusi? Au kuwajadili period ni tatizo?

Somebody help me please!

FMES, heshima mbele lakini magabacholi = niggers! Naomba tusitukanane humu! If we want an intellectual argument mimi nimo, kama ni masuala ya open racism, simo.
Wahindi are the scapegoats of a number of African societies na inatokana na historical inequalities that favored Asians, wivu za waafrika, umaskini na the readiness of some leaders to exploit these differences.
I know a good number of Indian origin families in Tanzania ambao wamejijenga kwa kuishi katika flat za vyumba 2, ukoo mzima. Wameendesha duka na business, very legally na bado wananyanyaswa na TRA kila siku wakijaribu kuwatishia. I REFUSE to hear utumbo huu ambapo mnataka kuwafanya eti wahindi wote mafisadi. Sorry! Mafisadi wengi ni watanzania wenye asili ya kiafrika na ndiyo walioiba na wanajulikana. Hao akina Jeethu Patel na wenzake are like Mkono na wenzake. So quit throwing around racial epithets na kuongea vitu ambavyo are bordering on Hitler/fascist like accusations! I am glad to explore the similarities of what some people are writing in this thread to Mein Kampf theories and Hitler's speech. SITAKI jambo forums itumike for hate speech!

Kuongea kuhusu Wazungu na expoitation zao naomba niseme kwamba although there are historic reasons for this like for Asians, lakini leo hii Mtanzania mwenye asili ya kizungu hawezi kuambiwa eti mnyonyji kwa sababu ya historia, vinginevyo tunataka kuwa kama Mugabe ambaye amechemka BIG time.
Kama mnataka kujadili historia ya watanzania wenye asili ya kiasia na mchango wao katika maendeleo ya nchi etc let us have a civilized discussion.
 
Good one, lets not look for excuses and take responsibilities. Tunapiga vita mafisadi, wawe wahindi warabu, wamachinga, wachanga, wahaya etc. we don't care..


Lovely, I am down!
 
swali la msingi ni kuwa je hawa ni wala rushwa kwa sababu ni wahindi? Yaani uhindi wao ndio umewafanya wawe wala rushwa au ni wahindi wala/watoa rushwa? yaani wala na wato rushwa ambao ni wahindi?

Je kutoa na kupokea rushwa kunahusiana vipi na rangi, nasaba, jinsia au mahali mtu anatoka? Kama watu wenye asili ya asia wameweza kutumia mianya na nafasi ambazo zimetengenezwa kwanini tuwalaumu wao badala ya wale waliotengeneza mianya hiyo?

Kuwalaumu wahindi kwa matatizo ya Tanzania ni kukiri kitu kimoja ambacho naogopa; kuwa sisi ni inferior to anybody else; that we can be swayed, manipulated, used, abused, and misused.. that other people think they can do whatever they want with us and our resources just because we will let them do that..

Kimsingi kuwahukumu wahindi wa Tanzania ni kupitisha hukumu kwa Watanzania wote. Kujaribu kunyosha kidole kuelekeza kwa wahindi ni kujinyoshea kidole sisi wenyewe. Hadi hivi sasa sijasikia mhindi au mtanzania mwenye asili ya Asia ambaye ameenda Benki Kuu amemshikilia "mswahili" bunduki shingoni na kumwambia nipe fedha za EPA!

On the other hand... je wahindi wote wakiondolewa nchini na kwamba tuwe a predominantly black society (whatever that means) ina maana hakutakuwa na rushwa kubwa kubwa na ufisadi utatokomea nchini? Kama kuna ushahidi kuwa hilo litatokea basi kuna haja ya kuwafukuza wahindi wote nchini ili tusiwe na ufisadi tena kwani that is the easiest solution.... lakini wale watakaokataa kuondoka tutawafanya nini...? tujenge kambi ambako tutawafungia na kuwanyima chakula hadi waamue kuondoka? wakikataa kuondoka na tuwafanya nini?... tuandaa matreni ya kuwapeleka mahali ambako hawatarudi tena..... ili tupate "suluhisho la mwisho"... well... it is a very dangerous world... unapoangalia matatizo ya nchi kwa kuangalia nasaba...the end is very very dark...
 
Mzee Mwanakijiji, great response as always. Kwa kweli nimefuatilia sana masuala ya race relations katika nchi mbalimbali duniani, and it doesn't matter whether it black vs Asian, or White vs Black, it's always a loose-loose situation na inatakiwa ikomeshwe mara moja.
Thank you for taking this discussion to a higher level.
 
Tusikubali itikadi za kibaguzi na chuki hapa jf. Wewe ni mbaguzi au ignorant!! correction, sio royal ni loyal. You need to check yourself, maana wabaguzi ndio tabia zao, umeamua kuwahukumu watz wote wenye asili ya kiasia.


DUH! MME WASHTUKIA NAO EEEH! MAANA WANGEKUWA WAZALENDO WANGEKUWA HAWAPELEKI HIZI ELA ZA HAPA KWETU HUKO KWAO,MBONA HAWAJENGI HAPA TANZANIA MAANA WANAJIA LILILO MOYONI MWAO 🙂 TUTACHEKWA SIKUMOJA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…