Role of Indians in the Tanzanian Economy

Unalijua vizuri jina lako lingine so good luck na hii mission ambayo ilishindwa in the first place!

nakuomba tafadhali usinipachike majina ambayo siyajuwi, nakueleza tena sijawahi kuwa goodluck wala badluck, tafadhali usikasirishwe na niliyokuambia ukaleta dhana ya kuwa labda huyo goodluck alikwisha kukuambia kama haya nikuambiayo, naomba rejea kwenye posts zangu halafu rejea na za huyo goodluck, labda utapata uhakika wa kuwa mimi siyo unaedhania. Futa kauli zako za ubaguzi hazijengi bali zinazidi kubomowa.
 
mie sina shule ya kutosha kuhusu mengi yajiriyo ndani ya bongo.......lakini nakajiswali hapa, je ni mafisadi "waswahili"/wazawa wangapi ambao wamefikishwa kwa pilato na kuhukumiwa?? je balali nae kupotelea nje ya nchi pia ni m-asia?? wakulaumiwa hapa si wa-asia, ni sisi waswahili, inabidi tuwe na mentality ya "just say no" kwa corruptions na ufisadi wa aina yeyote toka kwa yeyote.........zungu la unga haliwezi ku-neemeka kama hakuna mateja!!!!

Mnaweza kusema mtakavyo ku-justify m-stand wenu duni, lakini bottomline hapa ni ubaguzi wa makusudi na motive hapa ni chuki binafsi!!!.

baada ya 9/11 kulikuwa na vendattas mingi!!, na ni washington iliyoingilia kati kutuliza na kulinda raia wake wa kiarabu. kwani ni nani anayepigia debe kupelekwa Abuu Hamza kujibu mashtaka in US??........huwezi ku-generalize na kutumia rxns za uneducated's in the UK or US kuwa justification ya jinsi gani sisi ku-deal na raia wenzetu wa kiasia.
 

ha ha ha ha ....

Wewe na huyu goodluck mna kazi kubwa sana maana hii JF ipo hapa kama vile ulivyoiacha last time!....... next time tumia gudlaki labda utafanikiwa!
 


Nakubaliana na maneno yako 100% siongezi ila tukaze mwendo kwa kuwabana akina Chenge na Diallo na Mramba then wahindi wataelewa kwamba kibao nimebadilika .
 
ha ha ha ha ....

Wewe na huyu goodluck mna kazi kubwa sana maana hii JF ipo hapa kama vile ulivyoiacha last time!....... next time tumia gudlaki labda utafanikiwa!

usijidai kucheka nakuomba tafadhali sana, sina haja ya kubishana nawe, mimi siyo huyo goodluck usemae wewe, jamani ma-mods kama mna-njia za kufahamu katika kuregister hebu mfahamisheni huyu mwafrika wa kike aidha anachanganyikiwa ua hajuwi akisemacho. Tafadhali usinibandike majina ambayo siyo yangu, hayo ni matusi na mimi sipendi kutukanwa kwa kupachikwa majina ya kiajabu.

Usiache mada ikatoka kwenye ubaguzi ulioweka humu ukazusha mengine.
 

Unajuaje kama Mwafrika wa kike sio MoD? Katika hili mimi nimekubali kuitwa mbaguzi na kwa kweli nitaendelea kuwasakama hawa kina Patel mpaka kieleweke. Got it?
 
Nakubaliana na maneno yako 100% siongezi ila tukaze mwendo kwa kuwabana akina Chenge na Diallo na Mramba then wahindi wataelewa kwamba kibao nimebadilika .

Kweli Lunyungu!

Vita imeanza kwa kina Chenge na wenzake lakini at the same time itaendelea kwa hawa wenzetu wenye multiple passports mpaka kieleweke pia! Hapewi mtu pass hapa.....
 

Wacha kutafuta ugomvi Mwamba Zomba weka issue mezani , kila mara wewe na kukwaruzana na watu hapa ? kata issue twende mbele kaka treni lina kasi kali usije achwa .
 
Wacha kutafuta ugomvi Mwamba Zomba weka issue mezani , kila mara wewe na kukwaruzana na watu hapa ? kata issue twende mbele kaka treni lina kasi kali usije achwa .

Lunyungu,

Unadhani atasikia hilo? Mission zake nyingi hapa JF zinafeli kwa kasi kubwa na hii ni matter of time tu utamuona kaishia mtini kama kawaida yake!
 
Lunyungu,

Unadhani atasikia hilo? Mission zake nyingi hapa JF zinafeli kwa kasi kubwa na hii ni matter of time tu utamuona kaishia mtini kama kawaida yake!


No this person aelewe kwamba we are very much interested na kukata issue .Kama ana ubishi basi afungue mada zake za ubishi aone wangapi watachangia .Kulialia kila mara plus name calling helps nothing jamani .
 

Nadhani kuna mambo unayazungumza kijuujuu tu to make a point. Na nilifuatilia Enron na matatizo yake na nilichokwambia ni kuwa criminal profiling sio silver bullet.
 
Wacha kutafuta ugomvi Mwamba Zomba weka issue mezani , kila mara wewe na kukwaruzana na watu hapa ? kata issue twende mbele kaka treni lina kasi kali usije achwa .

muhesimiwa lunyungu sipendi kabisa character yangu kuwa assassinated, ni yupi nilie kwaruzana nae, halafu kwa nini huyu mwanamke anipachike jina sio langu, ana nini huyu? tuongelee mada tafadhali na namuomba sana asinite goodluck, mimi si goodluck sijawahi kuwa goodluck. Mimi toka nimejiunga na JF ni Zomba and thats it.
 
Nadhani kuna mambo unayazungumza kijuujuu tu to make a point. Na nilifuatilia Enron na matatizo yake na nilichokwambia ni kuwa criminal profiling sio silver bullet.

Kweli kabisa,

Hii sio silver bullet ila pia ni part ya uendesha mashtaka na uchunguzi. Kwa vile bado haijaachwa na so far imekuwa ikisaidia katika kesi nyingi, kwa mtizamo wangu ni vizuri ikatumika pia katika issuez zinazoendelea bongo ili kupunguza watu wenye pass zaidi ya moja kupata muda wa kukimbia nchi (so far waliofanya hivi ni overwhelmingly waasia).
 
Lunyungu,

Unadhani atasikia hilo? Mission zake nyingi hapa JF zinafeli kwa kasi kubwa na hii ni matter of time tu utamuona kaishia mtini kama kawaida yake!

nakusikia sana ni wewe ambae unaanzisha hoja za kibaguzi halafu unaanza kupachika watu majina, huu ni upuuzi usio mfano. Jibu hoja na tusiitane majina ambayo si yetu.
 
nakusikia sana ni wewe ambae unaanzisha hoja za kibaguzi halafu unaanza kupachika watu majina, huu ni upuuzi usio mfano. Jibu hoja na tusiitane majina ambayo si yetu.

I just gat started, kama ulikuwa hujui, mimi ni mpuuzi sana na ndio tu nimeanza ubaguzi hapa dhidi ya mafisadi wa kiasia mpaka kieleweke.

Yakikuuma sana itabidi umeze nyembe au uende kwa fisadi Manji upewe ice cream ama maziwa.......
 

Mbona ndio tu imeanza kuwa assasinated..... huu ni mwanzo tu na kwa vile ngombe ni mgonjwa, jiandae sana kulia kwa muda mrefu hapa bila maziwa wala makombo!
 
Ufisadi hauna rangi, tubishane mpaka tutoane macho ukweli utabaki kuwa, hao wanaoitwa waasia shughuli zao zaidi ni biashara, na mfanyabishara yeyote faida mbele ukimpa upenyo kidogo kakutoka!

Wafanyabiashara wengi ninao wajua mimi Tanzania ( labda ukiondoa Bakhresa ) wengine wote wana maskendo ya kukwepa kodi, kushinda zabuni kiujanja nk si Mengi, si Manji si Mohd Ent wala Malinzi wote mwendo mdundo.

Hoja yangu hapa ni kuwa rushwa ( Grand corruption ) ambayo nadhani ndio mama wa ufisadi inapatikana zaidi kwenye mambo ya kodi na zabuni na kwa kuwa players wengi huko ni hao "waasia mafisadi" its obvious utawakuta wengi, same applies ukiangalia rushwa ndogo za mahospitalini huko hutowakuta "waasia mafisadi" bali akina sisi, the bottom line hapa ni ufisadi hauna rangi ukidhibiti mianya ya rushwa hakuna wa kufurukuta.


Jiulize swali rahisi tu hao "waasia mafisadi" mbona hawakutamba wakati wa Mwalimu?

Tuendelee tukimaliza waasia tuhamie "mafisadi wa wakenya" maanatakwimu zinaonyesha wawekezaji wakubwa Tanzania ni wakenya..... dhambi ya kula nyama ya mtu....
 
No this person aelewe kwamba we are very much interested na kukata issue .Kama ana ubishi basi afungue mada zake za ubishi aone wangapi watachangia .Kulialia kila mara plus name calling helps nothing jamani .

Tafadhali lunyungu sidhani kama umenielewa, forums ni kujadiliana na kila mtu ana point of view yake, si lazima ukubaliane nami au nikukubalie wewe au mwengine yeyote. Lakini, ninachosema mimi, kwa nini aache mada na anipachike jina la goodluck? who is this good? its not righht na sitonyamaza mpaka afute usemi wake wa kuniita goodluck.
 
.....


Jiulize swali rahisi tu hao "waasia mafisadi" mbona hawakutamba wakati wa Mwalimu?

....

Masatu,

swali lako ni muhimu sana hapa.... mafisadi hawakutamba wakati wa mwalimu kwa sababu nyingi ikiwemo alichofanya Moringe na wenzake kabla yake..... criminal profiling ......
 

Nilipo nina passport mbili na sio Mwa-Asia. Kuna watanzania wengi wazawa walikimbilia South Afrika katika miaka ya 90s na kuchukua uraia wa SA.

Na kisa cha kuchukua passport ya pili sio kufanya criminal ni kuweka nafasi yangu ya ajira katika nafasi nzuri na kupata grant za biashara ya kwenda shule au kufanya biashara wakati wowote ninapotaka.

Waasia wengi hawachukui passport mbili kwa sababu ya kufanya uhalifu kama ulivyoweka katika passport yako. Wakiwa na uraia wa uingereza unawasaidia kupata nafasi za shule nzuri bila gharama.

Na kuondoa tatizo hili sio ku-profile watu bali kuweka sheria ambazo zinakwenda na wakati wa sasa kama kukubali uraia wa nchi mbili.

Ufisadi mwingine unakuja Tanzania kwa sababu mavumbi ya ushamba yametuzidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…