Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

mwafrika wa kike sio utaitwa, umeshaitwa, na wa kwanza mimi nasema wewe ni mbaguzi, fitina, huna kina na hujuwi athari za ubaguzi ni nini. Mimi nasema tena wewe unakitu binafsi na hao waasia si bure, hebu sema kweli, huna watoto wa rangi mbili wewe?
 
Huyo azizi umtajae ni mwafrika kuliko wewe huyo, huyo patel simjuwi. au rangi yake inakutisha? ukitutajiya kabila lako tutaweza kuchambuwa ama wewe ama azizi ni mtanzania zaidi


Zomba come on .I believe you can do better than that mkuu .
 
Hivi Mwafrika wa kike haya mawazo ya Idd Amin umetayotoa wapi? jaribu kuangalia kama kuna anything good Uganda gained under this barbaric policy,may be history inaweza kukupa hint kidogo,ni issue popular ukienda kuwauzia walalahoi wenye njaa & uneducated lakini kwa mainstream Tanzanians watakuona umekata tamaa ya maisha tuu...muulize mtikila walivyomfanya baada ya kuja na siasa za kama hizi unazojaribu hapa,kama member alivyokuambia mwanzoni this is not your standard,nakushauri abandon this kind of radicals maana nothing good will come out of this!

Ahsante kwa hayo, mimi hata simuelewi ni mwafrika wa wapi huyu?
 
Hivi Mwafrika wa kike haya mawazo ya Idd Amin umetayotoa wapi? jaribu kuangalia kama kuna anything good Uganda gained under this barbaric policy,may be history inaweza kukupa hint kidogo,ni issue popular ukienda kuwauzia walalahoi wenye njaa & uneducated lakini kwa mainstream Tanzanians watakuona umekata tamaa ya maisha tuu...muulize mtikila walivyomfanya baada ya kuja na siasa za kama hizi unazojaribu hapa,kama member alivyokuambia mwanzoni this is not your standard,nakushauri abandon this kind of radicals maana nothing good will come out of this!

Mkuu Koba,

Alichofanya Amini ni kuwafukuza waasia wote bila kuchagua nani ana makosa na nani hana. Mtikila naye alijaribu kufanya the same thing lakini ilionekana kuwa ni vigumu (na sio vizuri).

Mimi ninachofanya hapa ni kubanana na mafisadi wa kiasia ambao kila report ya uchunguzi wa kifisadi inayokuja wanatajwa na hakuna kinachofanywa dhidi yao. Kesi ikiwa kubwa zaidi wao wanaishia nchi zingine kama vile hawana akili nzuri vile.

Hebu tazama kila skendo inayoongelewa hapa JF, utakuta kuna jina la fisadi wa kiasia linatokezea lakini baada ya muda mfupi kimyaa na hakuna trace. Nani anajua aliko Patel leo hii? Wengi hapa tunajua aliko Karamagi, Lowasa, hata Balali, lakini nani ajuae aliko Jiitu Patel?

Hii ni my new front, nitafanya juhudi za makusudi kabisa kuwafuatilia hawa mafisadi na niko tayari kuitwa mbaguzi katika hili!
 
Zomba come on .I believe you can do better than that mkuu .

Ananiudhi kunipachika jina ambalo si langu, sijuwi ana nini huyu? au alifikiri kuwa humu wote ni mapunguwani na akileta hoja za kibaguzi tutaziunga mkono tuu?
 
Ananiudhi kunipachika jina ambalo si langu, sijuwi ana nini huyu? au alifikiri kuwa humu wote ni mapunguwani na akileta hoja za kibaguzi tutaziunga mkono tuu?


Kaka Wahindi na Waarabu wa Tanzania wanatubagua big tyme mbona hulioni hili ? Kuanzia kazini , misikitini na hata mahapa pa kuishi na ajira nk .Hata juzi wahindi wametangaza nafasi ya kazi kwa Mtanzia wa Asia hili vipi ? Si ubaguzi ama unaona comments za mzalendo Mwafrika za kujenga ni Ubaguzi ?
 
Mkuu Koba,

Alichofanya Amini ni kuwafukuza waasia wote bila kuchagua nani ana makosa na nani hana. Mtikila naye alijaribu kufanya the same thing lakini ilionekana kuwa ni vigumu (na sio vizuri).

Mimi ninachofanya hapa ni kubanana na mafisadi wa kiasia ambao kila report ya uchunguzi wa kifisadi inayokuja wanatajwa na hakuna kinachofanywa dhidi yao. Kesi ikiwa kubwa zaidi wao wanaishia nchi zingine kama vile hawana akili nzuri vile.

Hebu tazama kila skendo inayoongelewa hapa JF, utakuta kuna jina la fisadi wa kiasia linatokezea lakini baada ya muda mfupi kimyaa na hakuna trace. Nani anajua aliko Patel leo hii? Wengi hapa tunajua aliko Karamagi, Lowasa, hata Balali, lakini nani ajuae aliko Jiitu Patel?

Hii ni my new front, nitafanya juhudi za makusudi kabisa kuwafuatilia hawa mafisadi na niko tayari kuitwa mbaguzi katika hili!

Ukishasema mafisadi wa kiasia, mimi kwanza nataka kujuwa umejuwaje kuwa hao mafisadi ni waasia? pili, lowassa (mmasai) kwa hiyo tukiongea tuseme "mafisadi wa kimasai" na kadhalika. Haiji hiyo, usitetee dhulma, ubaguzi wa rangi ni dhulma kubwa sana na mwafrika wa kweli hana historia ya ubaguzi.
 
Kaka Wahindi na Waarabu wa Tanzania wanatubagua big tyme mbona hulioni hili ? Kuanzia kazini , misikitini na hata mahapa pa kuishi na ajira nk .Hata juzi wahindi wametangaza nafasi ya kazi kwa Mtanzia wa Asia hili vipi ? Si ubaguzi ama unaona comments za mzalendo Mwafrika za kujenga ni Ubaguzi ?

Hilo mimi nakupinga, misikitini hakuna ubaguzi kabisa, mimi ni muislamu na hilo hunielezi. Kutangaza mtu kazi kuwa anataka mfanyakazi wa kiasia sio ubaguzi, ni mahitaji nya wakati huo. Ungekwenda kutazama huyo aliyetangaza hivyo hana wafanyakazi wengine ambao si waasia?

Makanisani, sijui kwani siendi huko, labda huko kuna ka-ubaguzi. Lakini misikiti sahau, mwafrika, mwarabu muhindi, tajiri, masikini wote wanasali bega kwa bega. nakukaribisha msikiti wowote ukajionee mwenyewe.

Mbona Dar kuna msikiti wa "Manyema", ndio jina lake lakini haimaanishi wanaoswali humo ni wamanyema tuu, upo wa "Makonde", wa Wa-"Manga". lakini hukuti kubaguwana hayo ni majina tuu.

Mwafrika wa kike anachoongelea ni ubaguzi wa hali ya juu, hivi leo tukianza na "waasia mafisadi", na hawa wakina lowassa nauliza tuwaite "wamasai mafisadi"? Haiwezekani kubaguwana. Ufisadi ni ufisadi tuu, uwe muasia, muyuropa, mchina, mhehe, mnandi, mtaita, mbarbaig, hauna tofauti na mwingine juu ya ufisadi. Hatukupewa makabila ili tubaguwane, makabila ni kwa ajili ya kufahamiana tu.
 
Kaka Wahindi na Waarabu wa Tanzania wanatubagua big tyme mbona hulioni hili ? Kuanzia kazini , misikitini na hata mahapa pa kuishi na ajira nk .Hata juzi wahindi wametangaza nafasi ya kazi kwa Mtanzia wa Asia hili vipi ? Si ubaguzi ama unaona comments za mzalendo Mwafrika za kujenga ni Ubaguzi ?

...mnalia lia mnabaguliwa huku sheria zote mnatunga na kusimamia wenyewe sasa sijui msaidiwe vipi hapo,kumbuka ubaguzi hauishi kwa sababu ya morals za watu ila ni sheria tuu ndio zinaweza kumaliza huo ujinga tuu,jilaumu wewe na watunga sheria wako sio wahindi na hilo la kazi nafikiri hata kwa sheria zetu ni illegal,hata huku tunapoishi ubaguzi upo sana lakini unaplay in our advantage kutokana na sheria zilizopo,huku ikithibitika umebaguliwa mkuu unalipwa millions...upo hapo?
 
Haya ni mawazo yako mkuu na siwezi kukulazimisha wewe kuamini otherwise au kuamini kile ninachoamini. Mimi naamini kuwa mafisadi wa kiasia wanapata sana breki Tanzania na mimi nimeanzisha kampeni dhidi yao.

Kama nitafanikiwa au kama itachukua miaka miwili (kama muda uliopita kumtoa Lowasa) au miaka mia moja hiyo haijulikani kwa sasa ila mimi na hawa mafisadi wa kiasia ni ama zao ama zangu!

Ndio haya ni mawazo yangu lakini sitakubali mtu kutafuta u-Super Star kwa kupotosha ukweli wa mambo. Tanzania ni nchi yenye wakazi zaidi ya 34 Millioni na waAsia hawafiki nusu millioni. Na kama kuna matatizo ni lazima yatakuwa ya kwetu.
 
Ndio haya ni mawazo yangu lakini sitakubali mtu kutafuta u-Super Star kwa kupotosha ukweli wa mambo. Tanzania ni nchi yenye wakazi zaidi ya 34 Millioni na waAsia hawafiki nusu millioni. Na kama kuna matatizo ni lazima yatakuwa ya kwetu.

Una maana gani kwenye bold?
 
Kaka Wahindi na Waarabu wa Tanzania wanatubagua big tyme mbona hulioni hili ? Kuanzia kazini , misikitini na hata mahapa pa kuishi na ajira nk .Hata juzi wahindi wametangaza nafasi ya kazi kwa Mtanzia wa Asia hili vipi ? Si ubaguzi ama unaona comments za mzalendo Mwafrika za kujenga ni Ubaguzi ?

Jamani wabongo hatuna asili kabisa ya ubaguzi..nilishatowa mawazo mwanzo kuhusu hawa jamaa zetu.Tatizo ni kuwa ni viongozi wetu wanawafuata hawa watu na kuwapa deal za kula....kweli unategemaea Manji anakwenda kuwatafuta hawo mafisadi?.

Na unaposema hawa watu hawa wanatubagua ki makazi...jiulize yale manyumba pale ya msajili upanga na mjini hapo mwanzo majority tenant walikua akina sisi walala hoi lakini baada ya kupewa pesa na wahindi tumehama na kujenga Tabata sasa je hii ni kubaguliwa?
 
...mnalia lia mnabaguliwa huku sheria zote mnatunga na kusimamia wenyewe sasa sijui msaidiwe vipi hapo,kumbuka ubaguzi hauishi kwa sababu ya morals za watu ila ni sheria tuu ndio zinaweza kumaliza huo ujinga tuu,jilaumu wewe na watunga sheria wako sio wahindi na hilo la kazi nafikiri hata kwa sheria zetu ni illegal,hata huku tunapoishi ubaguzi upo sana lakini unaplay in our advantage kutokana na sheria zilizopo,huku ikithibitika umebaguliwa mkuu unalipwa millions...upo hapo?

Haya ya kuwa na sheria na kuhakikisha kuwa zinafanya kazi ndio moja ya vitu vya kufanyika sasa hivi. Kumbuka pia kuwa ukishatunga sheria ya kubana wageni ndio unaelekea kule kule kwa kuitwa mbaguzi.

katika Hili, Mimi kama nilivyosema kwenye post yangu ya mwanzo, ninakubali kuitwa mbaguzi na I will be proud of it. Hawa wasipoona kuwa watu wamechukizwa na wanachofanya basi wataendelea tu kufanya ufisadi huku wakitoa kashfa kama za Manji kuwa hakuna koko (mwafrika mweusi) anaweza kuwafanya kitu.

Endelea kufuatilia news za nyumbani, kipindi hiki hapewi breki mtu hapa kwa vile ana pesa. Akibanwa Lowasa, Patel naye anabanwa kama kawaida!
 
Kaka Wahindi na Waarabu wa Tanzania wanatubagua big tyme mbona hulioni hili ? Kuanzia kazini , misikitini na hata mahapa pa kuishi na ajira nk .Hata juzi wahindi wametangaza nafasi ya kazi kwa Mtanzia wa Asia hili vipi ? Si ubaguzi ama unaona comments za mzalendo Mwafrika za kujenga ni Ubaguzi ?

kwahiyo kwasababu baadhi yao ni baguzi, kwahiyo na sisi tu-revenge kwa kuwafanyia ubaguzi!!?? unataka kusema jino kwa jino ndio way to go??
soln ya business zinazobagua waajiriwa kama hiyo iliyotoa tangazo la kazi, jeuri yake ni kui-boycott, kama Rosa Parks na mabasi ya Montgomery........name calling and finger pointing, doesn't solve problems.
 
kwahiyo kwasababu baadhi yao ni baguzi, kwahiyo na sisi tu-revenge kwa kuwafanyia ubaguzi!!?? unataka kusema jino kwa jino ndio way to go??
soln ya business zinazobagua waajiriwa kama hiyo iliyotoa tangazo la kazi, jeuri yake ni kui-boycott, kama Rosa Parks na mabasi ya Montgomery........name calling and finger pointing, doesn't solve problems.

Oyaaa...wewe rudi kule kwenye kijiwe chetu cha election....haya ya siasa za bongo yatakushinda
 
Haya ya kuwa na sheria na kuhakikisha kuwa zinafanya kazi ndio moja ya vitu vya kufanyika sasa hivi. Kumbuka pia kuwa ukishatunga sheria ya kubana wageni ndio unaelekea kule kule kwa kuitwa mbaguzi.

katika Hili, Mimi kama nilivyosema kwenye post yangu ya mwanzo, ninakubali kuitwa mbaguzi na I will be proud of it. Hawa wasipoona kuwa watu wamechukizwa na wanachofanya basi wataendelea tu kufanya ufisadi huku wakitoa kashfa kama za Manji kuwa hakuna koko (mwafrika mweusi) anaweza kuwafanya kitu.

Endelea kufuatilia news za nyumbani, kipindi hiki hapewi breki mtu hapa kwa vile ana pesa. Akibanwa Lowasa, Patel naye anabanwa kama kawaida!

Sheria za kubana wageni si kama ufikiriavyo mwafrika wa kike, kwa mfano Dubai, watu wa dunia nzima wapo pale wanafanya biashara au kazi au wanaenda shoppin au kutalii, lakini kila anaekwenda pale ya amma, iwe kwa biashara basi ni lazima mu-emirate ndio am-sponsor, iwe kazi ni hivyo hivyo, iwe kutembea, au iwe shopping hali kadhalika, kuna nchi kidogo tuu zinaruhusiwa raia wake waende pale bila kuwa sponsored. Na huo hauhesabiki kuwa ni ubaguzi kabisa, wanalinda maslahi ya wananchi wao. Kwani hamna anaeku-sponsor bure tuu. Mambo kama hayo ndio yanatakiwa yafanywe hapa, na sisi ndio tuwe ma-sponsor wa hao wageni wanaokuja kuwekeza, kufanya kazi, kutalii na kadhalika. Halafu kumbuka, dubai ukiwa sponsored na mu-emirate halafu ufanye madudu ukimbie, basi yule sponsor wako ndie ataipata.

Lakini hapa mwafrika wa kike halielewi hilo kwa sababu bado hana kina, hajaiona dunia.
 
Oyaaa...wewe rudi kule kwenye kijiwe chetu cha election....haya ya siasa za bongo yatakushinda

ha haha ahah...naona mama kafukuza mkuu wa kampeni,good move lakini sijui kama itazuia hii tsunami inayokuja!
 
MWAFRIKA WA KIKE
Mimi kama nilivyosema kwenye post yangu ya mwanzo, ninakubali kuitwa mbaguzi na I will be proud of it. Hawa wasipoona kuwa watu wamechukizwa na wanachofanya basi wataendelea tu kufanya ufisadi huku wakitoa kashfa kama za Manji kuwa hakuna koko (mwafrika mweusi) anaweza kuwafanya kitu.

I don't think playing race card is a good idea.Kumbuka kuwa hawa watu hawatafuti hizo deal bali ni hawo viongozi wetu wanawepelekea hizo deal, trust me


Endelea kufuatilia news za nyumbani, kipindi hiki hapewi breki mtu hapa kwa vile ana pesa. Akibanwa Lowasa, Patel naye anabanwa kama kawaida![/
Hilo nakuunga mkono 100%.Ila wasiwasi wangu kesi nyingi za ufisadi huwa zinakwisha kimya kimya lakini ebu nenda uibe shillingi 500 tu next day umehukumiwa moja kwa moja segerea.
 
I don't think playing race card is a good idea.Kumbuka kuwa hawa watu hawatafuti hizo deal bali ni hawo viongozi wetu wanawepelekea hizo deal, trust me

Mwanatanu,

Nakubaliana nawe kabisa katika hili katika kuplay race card. Hata hivyo, kama usipoweka kitu chochote kama race, gender, au age basi hauna profiling. Hii tukubali tusikubali inatumika sehemu nyingi sana na inapunguza gharama za uchunguzi na uendesha mashtaka.

Kuhusu kupelekewa deal naomba nipingane nawe kidogo katika hili. Hawa wanazitafuta hizi deal na umekuwa kama mchezo huko serikalini kuwa watu wakitaka kuiba wanamhusisha fisadi mmoja wa kigeni ambaye wanajua kuwa mambo yakichacha watamtorosha na kesi itazimika (Kesi ya Mramba na vit-rada). Hii ndio itabidi ianze kustop sasa. Hawa mafisadi wa kiasia inabidi wamulikwe hadi waache vitendo vyao hapa. The same force inawaandama kina Lowasa hapa inabidi pia iwaandame kina Patel.

Hilo nakuunga mkono 100%.Ila wasiwasi wangu kesi nyingi za ufisadi huwa zinakwisha kimya kimya lakini ebu nenda uibe shillingi 500 tu next day umehukumiwa moja kwa moja segerea.

Mimi nimeamua kuwashikia bango hawa mpaka kieleweke. Ule wakati wa kuhonga vipesa kidogo kusaidia shughuli za uchaguzi na timu za mipira huku wakitumika kuiba mabilioni umepitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom