Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

AGUSTINE LYATONGA MREMA did that & remain among the only "bitter pills" to the so called "Tanzanians of the asian origin".I advise MWK to check with "mzee wa nji hii" concerning the issue!
MCH.C, MTIKILA with his "MAGABACHOLI" slogan is well feared by these "tanzanians" simply because the guy truly hates them due to their DEEDS!!!!!!
MWAFRIKA WA KIKE in your list dont forget these 2figures (NOT WITH THEIR COURT&PRISON&JAIL RECORDS) but with their patriotism
 
Mwanatanu,
Mimi nimeamua kuwashikia bango hawa mpaka kieleweke. Ule wakati wa kuhonga vipesa kidogo kusaidia shughuli za uchaguzi na timu za mipira huku wakitumika kuiba mabilioni umepitwa na wakati.


NAUNGA MKONO HOJA...Lakini pale generalistion ndipo tunapishana
 
AGUSTINE LYATONGA MREMA did that & remain among the only "bitter pills" to the so called "Tanzanians of the asian origin".I advise MWK to check with "mzee wa nji hii" concerning the issue!
MCH.C, MTIKILA with his "MAGABACHOLI" slogan is well feared by these "tanzanians" simply because the guy truly hates them due to their DEEDS!!!!!!
MWAFRIKA WA KIKE in your list dont forget these 2figures (NOT WITH THEIR COURT&PRISON&JAIL RECORDS) but with their patriotism

Mahesabu,

Ninaandika hili nikikumbuka kabisa alichofanya Mrema na Mtikila na Idi Simba na....... list goes on and on na yote waliyopata kwa kujaribu kufanya hili.

Kama ni kuogopa kwenda mahakamani au jela kwa kusema watu wachache ambao inaonekana justice system ya Tanzania inawaogopa, basi mambo mengi hapa yasingefanyika.

Juhudi za kumtoa Lowasa na wenzake untouchable toka serikalini zimefanikiwa kwa sasa na kwa upande wangu mapambano yanaelekea huku kwingine ambako wengi wanakuacha kwa kuogopa kuitwa wabaguzi
 
Kwenye hili I am prepared kuitwa mbaguzi, may be its time to take a stand and be counted. Principle moja muhimu ya kuishi ugenini au kuwa minority kwenye nchi ni kuheshimu na kutii sheria za nchi hasa kama hizo sheria ni fair and just. Hiyo ndiyo insurance policy ya amani.

Lakini ni Afrika tu ambako Waasia wanaweza kufanya wanayofanya with impunities. Unless Watanzania walio wengi wanasimama na kupinga kwa nguvu zote ufisadi unaofanywa na wafanyabiashara wa Kiasia, vinginevyo tutaendelea kudharauliwa kwenye nchi yetu.

Kuna haja ya serikali ku target biashara zao zote na kuangalia kama hakuna mazingira ya rushwa. Lengo sio kuadhibu watu wasio na hatia bali kuhakikisha wale wachache wanaohusuka na huo ufisadi wanakamatwa haraka.

Kuna weza kuwa na usumbufu kwa baadhi ya Wahindi kwa mwanzoni, lakini hiyo itakuwa ni insurance yao ya amani kwa siku za mbeleni. Watu wakijua kuna dhuluma na kama hiyo dhuluma haichukuliwi hatua, siku kunatokea matatizo TZ, tegemea yale ya Kenya kutokea TZ dhidi ya Waasia.

Japo ni muhimu sana kuwashughulikia Watanzania wazawa wanaohusika na ufisadi lakini pia ni muhimu kutarget kwa makusudi kabisa Wafanyabiashara wa Kiasia maana proportion yao kwenye ufisadi ni kubwa kuliko kundi lingine lolote kwa Tanzania.
 
Mahesabu,

Ninaandika hili nikikumbuka kabisa alichofanya Mrema na Mtikila na Idi Simba na....... list goes on and on na yote waliyopata kwa kujaribu kufanya hili.

Kama ni kuogopa kwenda mahakamani au jela kwa kusema watu wachache ambao inaonekana justice system ya Tanzania inawaogopa, basi mambo mengi hapa yasingefanyika.

Juhudi za kumtoa Lowasa na wenzake untouchable toka serikalini zimefanikiwa kwa sasa na kwa upande wangu mapambano yanaelekea huku kwingine ambako wengi wanakuacha kwa kuogopa kuitwa wabaguzi

mnhhh, upuuzi mtupuuu, huna lolote wivu tu!
 
Mkuu,

ukishatenga mafisadi wachache kati ya watanzania wa kiasia na kudeal nao nadhani unakuwa beyond generalization!

Sawa kabisa tusisahau kuwa kuwa Nyerere did the same kuwataifishia manyumba hawa Asian Tanzanian.Angalia yale maeneo ambayo walikuwa wakiishi kama vile mitaa ya Upanga,Zanaki,Asia,Jamhuri n.k...baadaee waswazi wakapewa kuishi sasa angalia magorofa yanajengwa na kina sisi tumechukua madafu tukaachia makazi hayo tuko Mbagala...Je kweli ni unyonge wetu au ni ujinga wetu...mind you, tumeondoka makazi hayo kwa hiyari.

Kwa hiyo ina maana na sisi ni mafisadi wa maendeleo yetu and our future generation.Isiwe rahisi ku blame other cast or clan wakati ambapo sisi vilevile tunachangia.
 
Kwenye hili I am prepared kuitwa mbaguzi, may be its time to take a stand and be counted. Principle moja muhimu ya kuishi ugenini au kuwa minority kwenye nchi ni kuheshimu na kutii sheria za nchi hasa kama hizo sheria ni fair and just. Hiyo ndiyo insurance policy ya amani.

Lakini ni Afrika tu ambako Waasia wanaweza kufanya wanayofanya with impunities. Unless Watanzania walio wengi wanasimama na kupinga kwa nguvu zote ufisadi unaofanywa na wafanyabiashara wa Kiasia, vinginevyo tutaendelea kudharauliwa kwenye nchi yetu.

Kuna haja ya serikali ku target biashara zao zote na kuangalia kama hakuna mazingira ya rushwa. Lengo sio kuadhibu watu wasio na hatia bali kuhakikisha wale wachache wanaohusuka na huo ufisadi wanakamatwa haraka.

Kuna weza kuwa na usumbufu kwa baadhi ya Wahindi kwa mwanzoni, lakini hiyo itakuwa ni insurance yao ya amani kwa siku za mbeleni. Watu wakijua kuna dhuluma na kama hiyo dhuluma haichukuliwi hatua, siku kunatokea matatizo TZ, tegemea yale ya Kenya kutokea TZ dhidi ya Waasia.

Japo ni muhimu sana kuwashughulikia Watanzania wazawa wanaohusika na ufisadi lakini pia ni muhimu kutarget kwa makusudi kabisa Wafanyabiashara wa Kiasia maana proportion yao kwenye ufisadi ni kubwa kuliko kundi lingine lolote kwa Tanzania.

Mtanzania,

Nakubaliana nawe kabisa katika hili. Katika hili hata mimi nitaitwa mbaguzi na kila jina lakini hii group ya watu wachache wasioguswa inatisha!
 
Sawa kabisa tusisahau kuwa kuwa Nyerere did the same kuwataifishia manyumba hawa Asian Tanzanian.Angalia yale maeneo ambayo walikuwa wakiishi kama vile mitaa ya Upanga,Zanaki,Asia,Jamhuri n.k...baadaee waswazi wakapewa kuishi sasa angalia magorofa yanajengwa na kina sisi tumechukua madafu tukaachia makazi hayo tuko Mbagala...Je kweli ni unyonge wetu au ni ujinga wetu...mind you, tumeondoka makazi hayo kwa hiyari.

Kwa hiyo ina maana na sisi ni mafisadi wa maendeleo yetu and our future generation.Isiwe rahisi ku blame other cast or clan wakati ambapo sisi vilevile tunachangia.

Hii circle ndio iko about ku-stop bila kujali historia na kilichotokea huko nyuma.
 
Kwenye hili I am prepared kuitwa mbaguzi, may be its time to take a stand and be counted. Principle moja muhimu ya kuishi ugenini au kuwa minority kwenye nchi ni kuheshimu na kutii sheria za nchi hasa kama hizo sheria ni fair and just. Hiyo ndiyo insurance policy ya amani.

Lakini ni Afrika tu ambako Waasia wanaweza kufanya wanayofanya with impunities. Unless Watanzania walio wengi wanasimama na kupinga kwa nguvu zote ufisadi unaofanywa na wafanyabiashara wa Kiasia, vinginevyo tutaendelea kudharauliwa kwenye nchi yetu.

Kuna haja ya serikali ku target biashara zao zote na kuangalia kama hakuna mazingira ya rushwa. Lengo sio kuadhibu watu wasio na hatia bali kuhakikisha wale wachache wanaohusuka na huo ufisadi wanakamatwa haraka.

Kuna weza kuwa na usumbufu kwa baadhi ya Wahindi kwa mwanzoni, lakini hiyo itakuwa ni insurance yao ya amani kwa siku za mbeleni. Watu wakijua kuna dhuluma na kama hiyo dhuluma haichukuliwi hatua, siku kunatokea matatizo TZ, tegemea yale ya Kenya kutokea TZ dhidi ya Waasia.

Japo ni muhimu sana kuwashughulikia Watanzania wazawa wanaohusika na ufisadi lakini pia ni muhimu kutarget kwa makusudi kabisa Wafanyabiashara wa Kiasia maana proportion yao kwenye ufisadi ni kubwa kuliko kundi lingine lolote kwa Tanzania.

tatizo ni waasia au serikali yetu kutofuata na ku-enforce sheria zilipo? nchi ulizotaja zote zinafuata sheria bila upendeleo wa aina yeyote! tatizo hapa ni rushwa na sio waasia..watu wakiaanza kukataa rushwa na kufanyakazi zao kihalali sidhani kama kutakuwa na tatizo!
mambo haya mnayo advocate ni kama anavyojisemea HRC, "kuweka band-aid(plaster) kwenye infected surgical wound" au kuweka BIG G kwenye ufa wa bwawa. tatizo sio waasia, tatizo ni sisi kwa kupenda ulafi!
nimeshawahi kushuhudia uncle wangu(rip) akimnyima tenda muhindi pale sayansi na technologia miaka hiyo (late 90s) tena baada ya kupewa offer nzuri tu ya rushwa! je ni maofisa wangapi wa serikali ya darisalama wana ubavu huo? acheni hiyo strategy ya blame indians,tujiangalie wenyewe kwanza
 
tatizo ni waasia au serikali yetu kutofuata na ku-enforce sheria zilipo? nchi ulizotaja zote zinafuata sheria bila upendeleo wa aina yeyote! tatizo hapa ni rushwa na sio waasia..watu wakiaanza kukataa rushwa na kufanyakazi zao kihalali sidhani kama kutakuwa na tatizo!
mambo haya mnayo advocate ni kama anavyojisemea HRC, "kuweka band-aid(plaster) kwenye infected surgical wound" au kuweka BIG G kwenye ufa wa bwawa. tatizo sio waasia, tatizo ni sisi kwa kupenda ulafi!
nimeshawahi kushuhudia uncle wangu(rip) akimnyima tenda muhindi pale sayansi na technologia miaka hiyo (late 90s) tena baada ya kupewa offer nzuri tu ya rushwa! je ni maofisa wangapi wa serikali ya darisalama wana ubavu huo? acheni hiyo strategy ya blame indians,tujiangalie wenyewe kwanza

Hili ulilosema lina ukweli asilimia mia moja. Lakini swali ni kuwa, je ni vyema tukijiangalia sisi wenyewe tu (kumshikia bango Lowasa) huku tukiwaacha wenzetu (Rostam Azizi) wakipeta kwa kuogopa kuitwa wabaguzi?
 
Hili ulilosema lina ukweli asilimia mia moja. Lakini swali ni kuwa, je ni vyema tukijiangalia sisi wenyewe tu (kumshikia bango Lowasa) huku tukiwaacha wenzetu (Rostam Azizi) wakipeta kwa kuogopa kuitwa wabaguzi?

Mimi nashangaa, wewe mwafrika wa kike, unaushahidi gani wa kuwa Rostam Azizi ni muasia? rangi yake? jina lake? au nini?

Hafu unapotaja Lowassa unasema "kumshikia bango" yaani peke yake, lakini inapokuja kwa Rostam Aziz unasema "tukiwaacha wenzetu", huu ni upuuzi wa hali ya juu, kwanini isiwe "tunawashikia bango" kwa lowassa na "tukimwacha mwenzetu" kwa Rostam Aziz.

Mimi nakuuliza walikufanya nini hawa wakina Rostam Aziz? sema kweli wacha kuzunguka zunguka.
 
Hili ulilosema lina ukweli asilimia mia moja. Lakini swali ni kuwa, je ni vyema tukijiangalia sisi wenyewe tu (kumshikia bango Lowasa) huku tukiwaacha wenzetu (Rostam Azizi) wakipeta kwa kuogopa kuitwa wabaguzi?

Watakaosema hayo ni wajinga....Tuombe MUNGU hawa jamaa akina Jitu,Manji,Mohamed Enterpprise,Rostam and co wafikishwe mahakamani and i will suggest kesi yao iwe KUHUJUMU UCHUMI.
 
Watakaosema hayo ni wajinga....Tuombe MUNGU hawa jamaa akina Jitu,Manji,Mohamed Enterpprise,Rostam and co wafikishwe mahakamani and i will suggest kesi yao iwe KUHUJUMU UCHUMI.

Amen Mkuu,

Huu ni mwanzo tu na haya mambo lazima yafikiwe na wahusika wooote wafikishwe kunakohusika. Pamoja na mengine yote nitakayofuatilia in the coming days. This will be on top of my list.
 
Kwa nini wasichukiwe mafisadi, full stop? Hakuna upendeleo au uonevu. Fisadi ni fisadi ni fisadi. Awe mmatumbi au maasia au mzungu. Kama amehusika, ashughulikiwe bila kujali rangi, gender au itikadi.
 
Mimi nashangaa, wewe mwafrika wa kike, unaushahidi gani wa kuwa Rostam Azizi ni muasia? rangi yake? jina lake? au nini?
Mimi nakuuliza walikufanya nini hawa wakina Rostam Aziz? sema kweli wacha kuzunguka zunguka.

Ni kweli Rostam Aziz ana asili ya kiasia

Rostam Aziz ametajwa sana ktk report ya Richmond na there are very close to Lowassa, it is simple maths put one and one and you get fisadi squared
 
Hili ulilosema lina ukweli asilimia mia moja. Lakini swali ni kuwa, je ni vyema tukijiangalia sisi wenyewe tu (kumshikia bango Lowasa) huku tukiwaacha wenzetu (Rostam Azizi) wakipeta kwa kuogopa kuitwa wabaguzi?

laaah, MWK.....kujiangalia sisi ni kukata mizizi yao!! hao wakina rostam azizi wanamea kwasababu wana watu wanaokubaliana na kukumbatia upuuzi wao!! narudi palepale, kwamba tatizo ni sisi na si waasia. vijidudu vya maradhi hupenda uchafu,unyevunyevu na giza.....dawa ni kuondoa hizo suitable conditons kwa vyenyewe kumea!!! kwenda after wahindi ni sera za zima moto au kuvaa "soksi" kujikinga na miwaya wakati tayari umesha athirika!!
kama ajisemeavyo Double N, miafrika ndivyo tulivyo......badala ya kujiangalia sisi na ku-solve problem from the roots, sisi tunaangalia nani wa kulaumiwa!!
inabidi kuwa na sheria kali dhidi ya wala rushwa, halafu utaona hao watoa rushwa watampa nani!!!
 
Kwa nini wasichukiwe mafisadi, full stop? Hakuna upendeleo au uonevu. Fisadi ni fisadi ni fisadi. Awe mmatumbi au maasia au mzungu. Kama amehusika, ashughulikiwe bila kujali rangi, gender au itikadi.

Hawa wenye asili ya kiasia ni waoga sana kuwachapa fimbo kadhaa hawatojaribu tena.

Tatizo lipo kwetu haswa tukabane koo sisi kwa sisi ,tukiweza kujithibiti sisi wenyewe tukawa watoto wema hawa wa mafisadi wa kiasia ni fimbo kadhaa wanatulia kabisa.
 
laaah, MWK.....kujiangalia sisi ni kukata mizizi yao!! hao wakina rostam azizi wanamea kwasababu wana watu wanaokubaliana na kukumbatia upuuzi wao!! narudi palepale, kwamba tatizo ni sisi na si waasia. vijidudu vya maradhi hupenda uchafu,unyevunyevu na giza.....dawa ni kuondoa hizo suitable conditons kwa vyenyewe kumea!!! kwenda after wahindi ni sera za zima moto au kuvaa "soksi" kujikinga na miwaya wakati tayari umesha athirika!!
kama ajisemeavyo Double N, miafrika ndivyo tulivyo......badala ya kujiangalia sisi na ku-solve problem from the roots, sisi tunaangalia nani wa kulaumiwa!!
inabidi kuwa na sheria kali dhidi ya wala rushwa, halafu utaona hao watoa rushwa watampa nani!!!

Kuanzia mwanzo wa huu mjadala, nimekuwa nakubaliana nawe kabisaa katika hoja zako na mtizamo wako katika hili. lakini kwa vile kwa muda sasa tumepigana vita sana hapa mpaka kumtoa Morani na majina yote yaliyomfuata huko alikoenda, nimeamua kula sahani moja na upande mwingine wa hii crime ambao mara nyingi unapewa sana pass na justice system ya Tanzania.

Vit-rada hajulikani halipo sasa hivi, Patel inasemekana kuwa amekimbia, na wengine wengi wanapeta day after day pamoja na makubwa wanayofanya. This now has to stop.

Najua kuna njia nyingi za kufanya hili na mapendekezo yako na wengine hapa yanasomwa na wanabodi na wanaohusika ila mimi mkuu nimeamua kuanza na hili la criminal profiling kwa sasa.......
 
Ni kweli Rostam Aziz ana asili ya kiasia

Rostam Aziz ametajwa sana ktk report ya Richmond na there are very close to Lowassa, it is simple maths put one and one and you get fisadi squared

Hayo ya ufisadi sikukatalii, inawezekana ikawa kweli na inawezekana ikawa si kweli kwani katajwa kuwa richmond wametumia anuwani ya ofisi ya kampuni anayomiliki Rostam, sawa.

Ninacho-ongea mimi ni kuwajumuisha "waasia mafisadi" hilo ndio tatizo lililopo, jee lowassa tuseme "wamasai mafisadi" ni sawa hivyo?
 
Back
Top Bottom