Huyo azizi umtajae ni mwafrika kuliko wewe huyo, huyo patel simjuwi. au rangi yake inakutisha? ukitutajiya kabila lako tutaweza kuchambuwa ama wewe ama azizi ni mtanzania zaidi
Hivi Mwafrika wa kike haya mawazo ya Idd Amin umetayotoa wapi? jaribu kuangalia kama kuna anything good Uganda gained under this barbaric policy,may be history inaweza kukupa hint kidogo,ni issue popular ukienda kuwauzia walalahoi wenye njaa & uneducated lakini kwa mainstream Tanzanians watakuona umekata tamaa ya maisha tuu...muulize mtikila walivyomfanya baada ya kuja na siasa za kama hizi unazojaribu hapa,kama member alivyokuambia mwanzoni this is not your standard,nakushauri abandon this kind of radicals maana nothing good will come out of this!
Hivi Mwafrika wa kike haya mawazo ya Idd Amin umetayotoa wapi? jaribu kuangalia kama kuna anything good Uganda gained under this barbaric policy,may be history inaweza kukupa hint kidogo,ni issue popular ukienda kuwauzia walalahoi wenye njaa & uneducated lakini kwa mainstream Tanzanians watakuona umekata tamaa ya maisha tuu...muulize mtikila walivyomfanya baada ya kuja na siasa za kama hizi unazojaribu hapa,kama member alivyokuambia mwanzoni this is not your standard,nakushauri abandon this kind of radicals maana nothing good will come out of this!
Zomba come on .I believe you can do better than that mkuu .
Ananiudhi kunipachika jina ambalo si langu, sijuwi ana nini huyu? au alifikiri kuwa humu wote ni mapunguwani na akileta hoja za kibaguzi tutaziunga mkono tuu?
Mkuu Koba,
Alichofanya Amini ni kuwafukuza waasia wote bila kuchagua nani ana makosa na nani hana. Mtikila naye alijaribu kufanya the same thing lakini ilionekana kuwa ni vigumu (na sio vizuri).
Mimi ninachofanya hapa ni kubanana na mafisadi wa kiasia ambao kila report ya uchunguzi wa kifisadi inayokuja wanatajwa na hakuna kinachofanywa dhidi yao. Kesi ikiwa kubwa zaidi wao wanaishia nchi zingine kama vile hawana akili nzuri vile.
Hebu tazama kila skendo inayoongelewa hapa JF, utakuta kuna jina la fisadi wa kiasia linatokezea lakini baada ya muda mfupi kimyaa na hakuna trace. Nani anajua aliko Patel leo hii? Wengi hapa tunajua aliko Karamagi, Lowasa, hata Balali, lakini nani ajuae aliko Jiitu Patel?
Hii ni my new front, nitafanya juhudi za makusudi kabisa kuwafuatilia hawa mafisadi na niko tayari kuitwa mbaguzi katika hili!
Kaka Wahindi na Waarabu wa Tanzania wanatubagua big tyme mbona hulioni hili ? Kuanzia kazini , misikitini na hata mahapa pa kuishi na ajira nk .Hata juzi wahindi wametangaza nafasi ya kazi kwa Mtanzia wa Asia hili vipi ? Si ubaguzi ama unaona comments za mzalendo Mwafrika za kujenga ni Ubaguzi ?
Kaka Wahindi na Waarabu wa Tanzania wanatubagua big tyme mbona hulioni hili ? Kuanzia kazini , misikitini na hata mahapa pa kuishi na ajira nk .Hata juzi wahindi wametangaza nafasi ya kazi kwa Mtanzia wa Asia hili vipi ? Si ubaguzi ama unaona comments za mzalendo Mwafrika za kujenga ni Ubaguzi ?
Haya ni mawazo yako mkuu na siwezi kukulazimisha wewe kuamini otherwise au kuamini kile ninachoamini. Mimi naamini kuwa mafisadi wa kiasia wanapata sana breki Tanzania na mimi nimeanzisha kampeni dhidi yao.
Kama nitafanikiwa au kama itachukua miaka miwili (kama muda uliopita kumtoa Lowasa) au miaka mia moja hiyo haijulikani kwa sasa ila mimi na hawa mafisadi wa kiasia ni ama zao ama zangu!
Ndio haya ni mawazo yangu lakini sitakubali mtu kutafuta u-Super Star kwa kupotosha ukweli wa mambo. Tanzania ni nchi yenye wakazi zaidi ya 34 Millioni na waAsia hawafiki nusu millioni. Na kama kuna matatizo ni lazima yatakuwa ya kwetu.
Kaka Wahindi na Waarabu wa Tanzania wanatubagua big tyme mbona hulioni hili ? Kuanzia kazini , misikitini na hata mahapa pa kuishi na ajira nk .Hata juzi wahindi wametangaza nafasi ya kazi kwa Mtanzia wa Asia hili vipi ? Si ubaguzi ama unaona comments za mzalendo Mwafrika za kujenga ni Ubaguzi ?
...mnalia lia mnabaguliwa huku sheria zote mnatunga na kusimamia wenyewe sasa sijui msaidiwe vipi hapo,kumbuka ubaguzi hauishi kwa sababu ya morals za watu ila ni sheria tuu ndio zinaweza kumaliza huo ujinga tuu,jilaumu wewe na watunga sheria wako sio wahindi na hilo la kazi nafikiri hata kwa sheria zetu ni illegal,hata huku tunapoishi ubaguzi upo sana lakini unaplay in our advantage kutokana na sheria zilizopo,huku ikithibitika umebaguliwa mkuu unalipwa millions...upo hapo?
Kaka Wahindi na Waarabu wa Tanzania wanatubagua big tyme mbona hulioni hili ? Kuanzia kazini , misikitini na hata mahapa pa kuishi na ajira nk .Hata juzi wahindi wametangaza nafasi ya kazi kwa Mtanzia wa Asia hili vipi ? Si ubaguzi ama unaona comments za mzalendo Mwafrika za kujenga ni Ubaguzi ?
kwahiyo kwasababu baadhi yao ni baguzi, kwahiyo na sisi tu-revenge kwa kuwafanyia ubaguzi!!?? unataka kusema jino kwa jino ndio way to go??
soln ya business zinazobagua waajiriwa kama hiyo iliyotoa tangazo la kazi, jeuri yake ni kui-boycott, kama Rosa Parks na mabasi ya Montgomery........name calling and finger pointing, doesn't solve problems.
Haya ya kuwa na sheria na kuhakikisha kuwa zinafanya kazi ndio moja ya vitu vya kufanyika sasa hivi. Kumbuka pia kuwa ukishatunga sheria ya kubana wageni ndio unaelekea kule kule kwa kuitwa mbaguzi.
katika Hili, Mimi kama nilivyosema kwenye post yangu ya mwanzo, ninakubali kuitwa mbaguzi na I will be proud of it. Hawa wasipoona kuwa watu wamechukizwa na wanachofanya basi wataendelea tu kufanya ufisadi huku wakitoa kashfa kama za Manji kuwa hakuna koko (mwafrika mweusi) anaweza kuwafanya kitu.
Endelea kufuatilia news za nyumbani, kipindi hiki hapewi breki mtu hapa kwa vile ana pesa. Akibanwa Lowasa, Patel naye anabanwa kama kawaida!
Oyaaa...wewe rudi kule kwenye kijiwe chetu cha election....haya ya siasa za bongo yatakushinda
MWAFRIKA WA KIKE
Mimi kama nilivyosema kwenye post yangu ya mwanzo, ninakubali kuitwa mbaguzi na I will be proud of it. Hawa wasipoona kuwa watu wamechukizwa na wanachofanya basi wataendelea tu kufanya ufisadi huku wakitoa kashfa kama za Manji kuwa hakuna koko (mwafrika mweusi) anaweza kuwafanya kitu.
Hilo nakuunga mkono 100%.Ila wasiwasi wangu kesi nyingi za ufisadi huwa zinakwisha kimya kimya lakini ebu nenda uibe shillingi 500 tu next day umehukumiwa moja kwa moja segerea.Endelea kufuatilia news za nyumbani, kipindi hiki hapewi breki mtu hapa kwa vile ana pesa. Akibanwa Lowasa, Patel naye anabanwa kama kawaida![/
I don't think playing race card is a good idea.Kumbuka kuwa hawa watu hawatafuti hizo deal bali ni hawo viongozi wetu wanawepelekea hizo deal, trust me
Hilo nakuunga mkono 100%.Ila wasiwasi wangu kesi nyingi za ufisadi huwa zinakwisha kimya kimya lakini ebu nenda uibe shillingi 500 tu next day umehukumiwa moja kwa moja segerea.
Una maana gani kwenye bold?