Kakashi uchiha
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 604
- 415
Au anagombea urais 2020 [emoji33] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu Tandale boy mbona anafanya mambo ya upeo mkubwa-hapa lazima Zari anatumia exposure yake kumuweka Tandale boy juu-before we know it tutakuja stukia Diamond ni international icon
kwn n tsh mpk useme hawez, au ww ndo unamshikia walet yake...Wewe elewa kwamba jamaa yenu hana uwezo wa kununua hilo gari.
km aliweza kulipwa tsh bil 2 na kulipa tsh mil 35 tra, atashindw kununua hyo gari, au kwsabab yy n diamond na anatokea tanzania ndio maana ww unaona km awez... tujifunze kuthamin vya kwetu na kuwapa sapoti pale watu wetu wanapo fanya vizur...Sina hasira maana jamaa yenu anipunguzii kitu wala haniongezee kitu simdai wala hanidai nachopinga ni timu yenu kutuletea habari za uzushi humu JF wakati tupo watu wenye akili timamu ambao tunajua kabisa ni uongo wa kiwango cha lami,Kuna njia nyingi za kuboost KOKORO maana imebuma.
Acha Maneno Tunataka Rozi Rozi,Hata akillipwa Bilioni 100,Nyie ndio mmeleta uzi kwamba kanunua Rozi Rozi,Sie tukasema Dimond ana pesa ya kibongo tu ila kuvuta ndiga hiyo lazima uwe na Arab Money na sio Dafu Zetu hizi za kusumbua mjini.km aliweza kulipwa tsh bil 2 na kulipa tsh mil 35 tra, atashindw kununua hyo gari, au kwsabab yy n diamond na anatokea tanzania ndio maana ww unaona km awez... tujifunze kuthamin vya kwetu na kuwapa sapoti pale watu wetu wanapo fanya vizur...
Linauzwa Milioni 800 CIF na TRA wakilamba zao inafika hadi hadi Bilioni 1 nucta 3.....Mtafute Davis Mosha ana Lambogini ya njano alinunua 1.5B,Kisha angalia Utajiri wa Davis kisha Mlinganishe na Dimond wenu anayelipwa mili 20 huku akiwa na msusulu wa watu kama20 wanasubiri karata!! #HuuMChezoHauhitajiHasira_TunasepanaKijiji.kwn n tsh mpk useme hawez, au ww ndo unamshikia walet yake...
Sawa kabsaWataalam wa TRA tupigieni hesabu za kodi yetu hapo Bandarini
Umemaliza vzur ktk sentensi yako ya mwisho....... Nani atumie hzo gar kama si yy?Big mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
We ndo unawaza nyumba, mwenzako anayo mpk southBig mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
You have no clue unaongea na nani. ...We ndo unawaza nyumba, mwenzako anayo mpk south
Hajafika bado. ...na kama mwendo wenyewe ndiyo huu...kuna watu wenye wealth na rich. ..sasa bado Hajafika huko kabisa ndugu yanguUmemaliza vzur ktk sentensi yako ya mwisho....... Nani atumie hzo gar kama si yy?