Tetesi: Rolls Royce la Diamond liko njiani kutua Dar punde

Watu wengine mnaogopa sn maisha yani usinunue kitu kizuri leo kisa eti baadae sijui mambo yatabadilika....watu wanamiliki ndege bwana

Dogo kajitahidi kufika hapo alipo wacha ale maisha bwana

Ww kama unataka viwanda jenga tu
 
TRA, pigeni mzigo wa nguvu hapo. Wanasema limenunuliwa shs milioni 900.
 
Wataalam wa TRA tupigieni hesabu za kodi yetu hapo Bandarini
Je likija kwa ndege ya mizigo au likapitia Namanga mkuu itakuwaje!
Ngoja nikaombe kuingia ccp ili nisomee utrafiki maana naona dili nje nje hapa.
 
Kila mtu na vipaumbele vyake
 
Dah hongera zake...Ukipita nayo kamanyola pale lazime ukwanguliwe kwanza!!
 
Mbona nimeangalia kwenye acc yake insta sijaona hizo posts
Hizo zitakuwa siri za chumbani na mkewe sema mke mwenyewe hana kifua kazivujisha hapa...
Ndio tatizo la kuwa na wake wengi na mbaya zaidi wanakiwa vilaza zaidi ya zari....
Unadhani zari angevujisha siri hii.... Tungemuona nalo kitaa ndio tungejua lake kama walivyoingia kwenye nyumba yao ya south.
Hawa dada zetu wa kiswahili ndio matatizo yao mboyoyo mingiii.
 
Reaches a speed bump/ramp and the front of that is banjaxed - or even by a pot hole. Might need to think about fixing the infrastructure before we can have cars like this on the roads
 
Ayo matusi bro
 
Utajiri huu una maswali mengi ya kujiuliza.Akumbuke kwamba Shetani hana cha bure.Ni vema akajifunza kutoka kwa akina Michael Jackson,John Lennon,Kanumba,Aaliyah,Tupac Shakur,Peter Tosh,Bob Marley,Zappa nk.Illuminati waliwatoa kafara walipo ona inafaa.Tamaa ni mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…