Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
mfano mzuri kigari changu Toyota Sienta....teh teh tehUmaarufu bwana, gari yenyewe hata mvuto haina kabisa. Kuna magari yanapendeza sana hata kwa kutazama tu kwa macho. Lakini anyway....ni pesa zake, anaamua atakacho mwenyewe.
Peleka tuu utajua [emoji28] [emoji28]Kukoje huko kwenye thread za kenya?
Nicomment nini mama?? Hiyo ndinga ilishanuniliwa muda tu, ilibakia tu kuwa shipped kuja Tanzania basi.. Nashangaa watu wanashangaa as if ni habari mpyaSiamini mpaka sasa sijaona comment ya The bold hapa.
Nina mashaka na hii habari!
Daaabh Mkuu wacha niseme tu! Umemkomalia sana huyu mrembo aisee [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya bana [emoji38]
Nilidhani inakuja kwa ndege!Wataalam wa TRA tupigieni hesabu za kodi yetu hapo Bandarini
Duh!kama ndo hivyo bora niendelee kula tembele na kufanya mazoezi ya kutembea huo Ujinga siwezi fanya!Hapo hata uambiwe uongeze dozi ya kulala na aliekuzaa unaongeza inakuwa si jumatano bali wiki nzima mali zinaongezekaje?
Mkuu ukiwa huna unakuwa na mawazo mazuri sanaBig mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
Ingia Google uangalie sifa za hilo gari,au nenda YouTube utizame,usiangalie rangi na taa zake mukubwaUmaarufu bwana, gari yenyewe hata mvuto haina kabisa. Kuna magari yanapendeza sana hata kwa kutazama tu kwa macho. Lakini anyway....ni pesa zake, anaamua atakacho mwenyewe.
We apartment zako ziko wapi nataka nipangishe?Big mistake . ..tungetakiwa kujifunza kutoka kwa waamerika weusi wanavyochanganyikiwa na vitu kama hivi . .gari ni liability . ..heri angejinunulia apartments zake masaki au oysterby akapangisha kwa ajili ya kizazi chake pia kuliko kumtajirisha rolls Royse . .anyway kila mtu anamtazamo tofauti wa maisha . .
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya bana [emoji38]
Wenzio wanafanya tena zaidi ya hayo halafu kwenye maneno yao hawaachi kumtanguliza MUNGU kuwa anawasaidia sana. Umaskini ni mbaya sana.Duh!kama ndo hivyo bora niendelee kula tembele na kufanya mazoezi ya kutembea huo Ujinga siwezi fanya!
Haya baba,ila nyie nawajua...Nicomment nini mama?? Hiyo ndinga ilishanuniliwa muda tu, ilibakia tu kuwa shipped kuja Tanzania basi.. Nashangaa watu wanashangaa as if ni habari mpya
Ulitaka aagize PASSO au PORTE?Umaarufu bwana, gari yenyewe hata mvuto haina kabisa. Kuna magari yanapendeza sana hata kwa kutazama tu kwa macho. Lakini anyway....ni pesa zake, anaamua atakacho mwenyewe.