Pre GE2025 Roma aeleza hisia zake Vyama vya Upinzani kuwatenga wasanii katika shughuli zao

Pre GE2025 Roma aeleza hisia zake Vyama vya Upinzani kuwatenga wasanii katika shughuli zao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi nikiona mtu analaumu wasanii kwenda kwenye events za CC EM kufanya show huwa namshangaa sana!!Wasanii ni wafanya biashara, wame invest kwenye hiyo biashara ya muziki na wanahitaji return….

Kama ambavyo wewe umewekeza kwenye biashara yako, huwezi kubali upate hasara!!Show moja ya CC EM msanii analipwa 5M hadi 15M, na huyo ni msanii wa kawaida kabisa!!Wale A list, show moja wanakunja 25Mmpaka 50M na kuendelea!!

Unawezaje kukataa biashara kama hiyo, tena kwa kwenda kuimba dakika 2 tu hadi 10!! Unalipiwa accommodation plus transport tena na per DM unapewa!!Hata ungekuwa wewe ungekataa?Tuwe tu wakweli….Wangapi mngekataa?

Huu ni ukweli mchungu ambao wengi humu hawapendi kuusikia!! Na nimekuwa nikiusema sana for years….. Wapinzani hawatoi mchele ndomana wasanii hawaji huku!! Huku ni KUNJA NGUMI….Tusonge mbele MAKAMANDA…Since 2010 hizo ndio kauli zao!!Unadhani upinzani hawana pesa?

Sio kweli wanazo sana….si wanalipwa Ruzuku Billions per year!!Basi tu wasanii sio priority kwao!Na kama sio priority sasa kwanini wanawalaumu wakienda upande ule?Ujue sisi mnatuona tuna support upinzani ni kwasababu tu tuna PASSION na hii kitu, We are born to do this!!

Mimi & Kala Jeremiah tuliwahi kufanya show za upinzani tunapewa tu hela ya mafuta laki 1 tunaambiwa Safari njema KAMANDA, no Accomodation!!So inabidi upige iende irudi hiyo….Trip shamba Trip garage….Famasiala nini!!Tuko njiani tunawapigia simu wenzetu walioko upande ule sasa CC EMwanatuonyesha wanalipwa 5M show moja!!

Kampeni zinaisha upande ule wenzetu wote wana gari mpya, kiwanja na wengine wamejenga!!Sisi tunamaliza kampeni ***** tuko teee….tumechoka vipi!!Hatuna hata pesa ya luku home!!Na ukiwapigia simu hao wapinzani kuwaomba hata pesa za kushoot video mpya uendelee kuwepo kwenye ramani HAWAOKOTI KONGA!!

Haya mambo ndomana yalimshinda Kala Jeremiah akabwaga….na ndomana watu wakimsemaga huwa naruka nao kimlalomlalo Coz I know what we went through with my boy!!Wengine tumebakia basi tu tuna SOLID HEART….

tushaumizwa tushateswa na kutiwa vilema ila tupo tu mpaka watuueHakuna maslahi yoyote tunayopata, ila kule wenzetu wanafanya maisha Na siku tukifa maskini ndio nyie nyie mtatucheka na kutukebehi!!

Tukidata kwa depression tukawa mateja ndio nyie nyie mtatudhihaki!!Acheni madogo waimbie TAWALA wapige hela walee familia zao!!

Upinzani hela wanazo sema wameamua tu na hawajali!!Basi kama hamjali msiwaseme wasanii wale!!Endeleeni kimya kimya na sisi tulioamua kuchagua kufa maskini!! #RomaMkatoliki2025


wasanii ni Iron boys, wenye akili kidogo, and their function in the state is to Entertain the citizens of the state! Entertainers!

Plato alisema
In a society, people’s intellectual abilities are naturally divided into three groups;
golden boys,
silver boys
and iron boys.


Plato alisema
So, the education system should sift them for providing education that matches their abilities.


Golden boys (the bright ones): their education should fit positions of philosopher kings, rulers, policy makers and planners.Responsible in making the society to be calm and prosperous.

Silver boys, the less bright group but physically fit: would be trained to be defenders of people as well as supervisors for ensuring that the policies made are followed.

The iron boys, the dull ones were to be prepared for intellectually less demanding jobs; farmers, carpentry or iron smiths.
 
Ishauri wangu kwa wasanii ni kwamba wajiepushe na shughuli za kisiasa kwani wanawakwaza mashabiki wao ambao sio mashabiki wa siasa
Msanii lazima uwe makini sio kila fedha ni ya kukimbilia nyingine ni za kujidhalilisha
Msanii unaitwa Kitumbuiza Kwenye pati ya wezi, majambazi, mashoga au wasagaji.
Hata kama unalipwa fedha kiasi gani ziepuke
Ni kheri uende ukatumbuize kwenye pati ya watoto yatima bure kulipo kwenye pati hizo tajwa hapo juu
 
Mimi nikiona mtu analaumu wasanii kwenda kwenye events za CC EM kufanya show huwa namshangaa sana!!Wasanii ni wafanya biashara, wame invest kwenye hiyo biashara ya muziki na wanahitaji return….

Kama ambavyo wewe umewekeza kwenye biashara yako, huwezi kubali upate hasara!!Show moja ya CC EM msanii analipwa 5M hadi 15M, na huyo ni msanii wa kawaida kabisa!!Wale A list, show moja wanakunja 25Mmpaka 50M na kuendelea!!

Unawezaje kukataa biashara kama hiyo, tena kwa kwenda kuimba dakika 2 tu hadi 10!! Unalipiwa accommodation plus transport tena na per DM unapewa!!Hata ungekuwa wewe ungekataa?Tuwe tu wakweli….Wangapi mngekataa?

Huu ni ukweli mchungu ambao wengi humu hawapendi kuusikia!! Na nimekuwa nikiusema sana for years….. Wapinzani hawatoi mchele ndomana wasanii hawaji huku!! Huku ni KUNJA NGUMI….Tusonge mbele MAKAMANDA…Since 2010 hizo ndio kauli zao!!Unadhani upinzani hawana pesa?

Sio kweli wanazo sana….si wanalipwa Ruzuku Billions per year!!Basi tu wasanii sio priority kwao!Na kama sio priority sasa kwanini wanawalaumu wakienda upande ule?Ujue sisi mnatuona tuna support upinzani ni kwasababu tu tuna PASSION na hii kitu, We are born to do this!!

Mimi & Kala Jeremiah tuliwahi kufanya show za upinzani tunapewa tu hela ya mafuta laki 1 tunaambiwa Safari njema KAMANDA, no Accomodation!!So inabidi upige iende irudi hiyo….Trip shamba Trip garage….Famasiala nini!!Tuko njiani tunawapigia simu wenzetu walioko upande ule sasa CC EMwanatuonyesha wanalipwa 5M show moja!!

Kampeni zinaisha upande ule wenzetu wote wana gari mpya, kiwanja na wengine wamejenga!!Sisi tunamaliza kampeni ***** tuko teee….tumechoka vipi!!Hatuna hata pesa ya luku home!!Na ukiwapigia simu hao wapinzani kuwaomba hata pesa za kushoot video mpya uendelee kuwepo kwenye ramani HAWAOKOTI KONGA!!

Haya mambo ndomana yalimshinda Kala Jeremiah akabwaga….na ndomana watu wakimsemaga huwa naruka nao kimlalomlalo Coz I know what we went through with my boy!!Wengine tumebakia basi tu tuna SOLID HEART….

tushaumizwa tushateswa na kutiwa vilema ila tupo tu mpaka watuueHakuna maslahi yoyote tunayopata, ila kule wenzetu wanafanya maisha Na siku tukifa maskini ndio nyie nyie mtatucheka na kutukebehi!!

Tukidata kwa depression tukawa mateja ndio nyie nyie mtatudhihaki!!Acheni madogo waimbie TAWALA wapige hela walee familia zao!!

Upinzani hela wanazo sema wameamua tu na hawajali!!Basi kama hamjali msiwaseme wasanii wale!!Endeleeni kimya kimya na sisi tulioamua kuchagua kufa maskini!! #RomaMkatoliki2025
wewe ni mTz usiyejitambua. unashangilia matumizi mabaya ya feza za walipa kodi!

unafahamu leo ni wangapi wanakufa mahosipitalini kwa kukosa pesa za kupata huduma? Unajua ni waTz wangapi hawana maji safi na salama?

...
 
Roma asichojua ni kuwa wasanii hawawezi kujihusisha na wapinzani kwani watashughulikiwa, hivi amesahau nini kilimkuta na kwanini.
Kama ndio hivyo mbona hata hawa waliojipambanua na kusimamia upinzani hamuwajali pamoja na uchache wao? Kuna tatizo hapo.
 
1737347184549.png
 
Back
Top Bottom