Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ndio hapo sasa, kwani walimpa pesa ya kubadilisha hayo maudhui? Na kwani ni lazima? Kama walifungia usichezwe hiyo inatosha, ilibidi wawabane wenye vyombo vya habari, sio kumuadhibu yeye..KUTII KIVIPI? yeye ana studio ya matangazo tuseme bado anaucheza huo wimbo? Kama hana hela ya kufanya hayo marekebisho akaamua aachane na huo wimbo sabababu ishafungiwa kuna kosa hapo?... Aisee hii serikali ya sasa inahamasisha machafuko aki.
YeahWameufungia na Bongo bahati mbaya?!!
Ulikwaza kwenye nini mkuu???Ule wimbo wa halelujah uliwakwaza wengi sana...
Wewe utakuwa Bongo bahati mbaya!mlianza na wanasiasa wa upinzani, mkaja kwa vyombo vya habari, makenda kwa nyumba za ibada, mkafungia bunge live, mkafunga mikutano ya siasa,
leo ni zamu ya wasanii.
serikali ya wamu ya 5 ni katili kwa kila mtanzania.
watu mna maneno aisee,Wafungie na wimbo wa Taifa, maana yale maneno wabariki na viongozi wake, viongozi wenyewe vilaza tupu.
huyo mke wa mtu akikujibu tu niwahi PMNtajie tusi kwenye yale mashairi ni lip?
Sijaelewa??!Mtoa post hata ww haupo salama. Siku yako ikifika FidQ anazaa na ww tu!
Nilisafiri nikaacha simu nyumban" keshashinda kesi ...hiv hawajui ofisi zao zilipo wawe wanapeleka barua za wito?Ofisi inaendeshwa kwa simu? Huo wito wangempa kwa barua...akija sema hakua na simu ila alikua amejifungia stdio watabisha??
Hakuna aliye salama.Sijaelewa??!
Hakuna alie salama nimeelewa ila pale pa - Fidq kuzaa???Hakuna aliye salama.