Roma: Boss Ruge amehangaika na sisi kuanzia asubuhi mpaka sasa tupo pamoja naye

Roma: Boss Ruge amehangaika na sisi kuanzia asubuhi mpaka sasa tupo pamoja naye

Albert Mangwea = Ruge
Roma mkatoliki = Ruge
Ruge ndie wa kwanza kuwapata na amekuwa nao tangu asubuhi......Mmmhhhhh!!!!
Wataalamu wa intelijensia mtusaidie.
RC alithibitisha upatikanaji kabla ya jumapili Kisha hasimu wa RC anawapata mateka na kuwa nao tangu alfajiri??????
Hii gemu sio nyepesi nyepesi .....
Albert Mangwea alipofariki wa kwanza kuripoti taarifa zake ndio aliesemwa na kutuhumiwa kuhusika lakini ilipotea tu na kuyeyuka hadi leo....
Kazi kweli kweli
 
Bashite hachelewi kukudhoofisha au kukupoteza. Kwa yaliyomkuta Manji simshauri Ruge kujiingiza ktk vita na Bashite
 
hivi hata hao watekaji kwKweli mioyoni yao wanajiskiaje wakiwa wanachukua watu waliokosa hatia?Jaman huyi Bashite.ndo aiendeshe nchi namna hii?CCM mnakubali kupakwa matope na huyu mpuuz mmoja?Hapana kwakweli he is just too much..mnamkalia kimya akitoka kwa wasanii atakuja wateka wake zenu nyie mleeni tu
 
Huyu Ruge naye anakoelekea mhhhh naona anakuza jina lake kipindi hiki....
 
Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego ni mmoja kati ya wasanii waliofika hapa Oysterbay polisi jijini Dar es salaam kumsubiria rafiki yake Roma Mkatoliki ambaye anahojiwa na jeshi la polisi muda mchache baada ya kupatikana.





Rappa huyo alitekwa Alhamisi iliyopita akiwa studio pamoja na wenzake watatu.

Akiongea na Bongo5 jioni hii akiwa Oysterbay polisi, Nay amesema anashukuru Mungu kupatikana kwa wasanii hao kwani ni tukio ambalo lilikuwa linawaumiza kichwa.

“Nimepata nguvu sana baada ya kusikia mwenzangu wamefika hapa baada ya kupatikana, mimi naamini polisi ni sehemu salama, kwahiyo binafsi nimepata hata nguvu ya kula, hili ni jambo la heri kwa kila mtanzania anayependa muziki,” alisema Nay wa Mitego.

Roma na wenzake bado wanahojiwa Oysterbay polisi.
 
hivi hata hao watekaji kwKweli mioyoni yao wanajiskiaje wakiwa wanachukua watu waliokosa hatia?Jaman huyi Bashite.ndo aiendeshe nchi namna hii?CCM mnakubali kupakwa matope na huyu mpuuz mmoja?Hapana kwakweli he is just too much..mnamkalia kimya akitoka kwa wasanii atakuja wateka wake zenu nyie mleeni tu
Kila lenye mwanzo lina mwisho
 
mimi jamn sjaelewa hapo kuhusu kutajwa kwa ruge na mnayoyaongea???
mimi nilivyosikia kuwa walipatikana saa 9 usiku so na kwa kuwa j murder alimuomba boss rg amsaidie basi ndo maana akasaidia nao tangia asubuhi na ndo maana ametajwa kiivo

ebu nisaidieni kwa mlio elewa zaidi ya hapo jinsi ya ku connet dots
 
Back
Top Bottom